NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Kwa hivo within 3 weeks mushalima, kupanda na kuvuna chakula? Mazuzu wengine ni Kama mnatumia uji badala ya akili.Wakati jpm anatuambia tuendelee kulima mashambani, walikuwa wanatucheka kwamba tutakufa kama nzi na Corona