Sasa Mkuu unafurahia matatizo ya mwenzako as if walipenda tambua hizo zote ni majanga hata katika nchi yeyote yaweza fika bro be wise weee utakuwa mchawi haswaKenya inashughulikiwa kila upande na majanga tofauti, njaa imeshaanza kuwang'ata huku Corona ikiwapuliza na locust wakiwapetipeti π π π π
View attachment 1427088
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona mlikuwa mnakula mijeledi?Kwani kuna sehemu yeyote nchini Kenya ambapo kuna lockdown? Hizo ndio pumba na propaganda ambazo mnatumia kujiliwaza huko kwenu Manzese kwenye vijiwe vyenu vya kahawa, kuhusu 'kaugonjwa kadogo ka corona'? Gatuzi tano tu Kenya kati ya 47, Mandera imeongezwa leo hii, ndio zipo chini ya 'travel restrictions' za kuingia na kutoka. Nairobi Metro, Kilifi, Mombasa na Kiambu. Tena hiyo haijawabana wale ambao wapo kwenye shughuli 'essential' za kiuchumi na huduma za kiserikali.
Halafu wakajisifu ile mbaya; hawa nyang'au sijui akili zao zikoje. Za'izi wanaanza kulia njaa na kumlaumu rais wao Uhuru eti ni mlevi na mvuta bangi. Hawajui waingereza wanawachora tu.Hawa jamaa ni juzi tu wametuma tani kibao za matunda kwenda uingereza. Ifike muda waafrika tuanze kutumia akili asee!
Hko kwenu basi kuna uhuru gani, wakati mtu akisema ukwel km mitaani kuna njaa rais hujipiga kifua na kusema hao jamaa ni wapiga dili...Halafu wakajisifu ile mbaya; hawa nyang'au sijui akili zao zikoje. Za'izi wanaanza kulia njaa na kumlaumu rais wao Uhuru eti ni mlevi na mvuta bangi. Hawajui waingereza wanawachora tu.
Nimeangalia video na kuona jamaa yako anamwaga unga ardhini anafikiri utaota kama mahindi vile. Njaa kali hadi imemchanganya akili.Hko kwenu basi kuna uhuru gani, wakati mtu akisema ukwel km mitaani kuna njaa rais hujipiga kifua na kusema hao jamaa ni wapiga dili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanayachukua bure? Stop being stupid.Chakula kibao nyinyi mnaagiza Tz, iyo dola flour yenyewe bila shaka wanachukua mahindi bongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unakwepa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeangalia video na kuona jamaa yako anamwaga unga ardhini anafikiri utaota kama mahindi vile. Njaa kali hadi imemchanganya akili.
Shauri yako wewe endelea kujifaragua tu. Njaa haina utani utani.Naona unakwepa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Narudia tena, tanzania mtu akilia maisha magumu viongozi husema ya kwamba hao ni wapiga dili...
Ndio muache utani utani kuwaita wapiga dili wanaosema ukwel kuhusu hali ya maisha mitaani..Shauri yako wewe endelea kujifaragua tu. Njaa haina utani utani.
Utamwaga unga sana mtaani ukifikiri unga utaota kama mahindi; kama huyo jamaa yako kwenye video.Ndio muache utani utani kuwaita wapiga dili wanaosema ukwel kuhusu hali ya maisha mitaani..
Naona umeishiwa nahoja zee la kutoka fona kantriUtamwaga unga sana mtaani ukifikiri unga utaota kama mahindi; kama huyo jamaa yako kwenye video.
Madhara ya copy and paste kutoka kwa mabwana zao badala ya kuangalia njia zinazofaa na kuendana na hali ya nchi yako ndio haya sasa.
Njaa haitaki mchezo wala haijui kingereza.Juzi Kati apa walipigwa na wachina , kidogo Tu nzige wakawatandika, hawajakaa Sawa, korona inawatafuna, Leo tena njaa!!! Vp Kingereza hakieleweki au? Hawa c wanaongea English? Hahaaa njaa haina English matheee
Sent using Jamii Forums mobile app
We fara si ndio nilikuwa nakujibu ulivyosema hakuna chakula kilichochukuliwa bongo, umabadilisha mada unaongelea kuchukuliwa bure, bure kwa bibi yenu huku, stupid kabisa.Wanayachukua bure? Stop being stupid.
Kuna tofauti ya kuchukua na kununua wee bwege.We fara si ndio nilikuwa nakujibu ulivyosema hakuna chakula kilichochukuliwa bongo, umabadilisha mada unaongelea kuchukuliwa bure, bure kwa bibi yenu huku, stupid kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app