Kenya yamuita balozi wa Tanzania akafafanue sakata la vifaranga na kupigwa mnada kwa ng'ombe

[HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] ameiharibu sana chadema, ameua kabisa reasoning capacity.

Ni nchi gani unayoweza kuingiza viumbe hai bila kuwa na documentation? Ebu jaribu kwenda hata na embe tu usa uone kama watakuruhusu kuliingiza!

Huyo mwingizaji hakuwa na documents zozote za vipimo wala importation, eti watu wanataka aruhusiwe tu kwa kuwa vimetoka Kenya. Damn, .....!
 

Wakenya ni watu wa ajabu sana, alafu hizo claim zao za Mlima Kilimanjaro ukifatilia kiundani ni conspiracy tupu hazina valid document hata mmoja... But one thing for sure kenya coastline was part of Zanzibar
 
Yeye Magufuli mbona hafuati utawala wa sheria ??!!
 
Hahahaaaa! Kesho utasikia aliyechoma moto kapandishwa ...!
 
Jamani uzalendo ni muhimu. Vile vifaranga vilikuwa vigonjwa na hamna namna nyingine ya kutreat viral case.
Kwan walishindwa nini kuvirudisha kwa kufuata utaratibu maalum au kushirikisha nchi wahusika ktk kfanya maamuzi?!!!
 
Sio Lissu kuna Wajinga wa Kikenya humu ndani
 
Uzalendo ni muhimu na UNAFIKI ni DHAMBI.

Mamlaka zenyewe tu zimesema HAZIKUPIMA sababu si kazi yao, wewe usie na haya unaleta fix...shame on you!
Walizuia unga wa ngano ya Azam bila sababu huku wakiwatisha kuwa Kampuni ambazo zitapeleka nafaka Kenya ndio zitaruhusiwa tu. Hawa safari hii wamepata muarobaini wao wataelewa tu.
 
Wewe mwambie aliyekutuma pole. Mimi kwenye point yangu kuna udaku upi? Umesafiri kwenda Kiteto kuona Punda wanavyoibiwa na machinjio yake? Siwezi ongea kitu bila fact. cc mshana jr.
 
Jamani uzalendo ni muhimu. Vile vifaranga vilikuwa vigonjwa na hamna namna nyingine ya kutreat viral case.
Nani kakwambia vilikuwa vigonjwa wakati waliochoma wamesema hawakuvipima ila walisema vinaweza kuwa na ugonjwa. Walimkomoa tu yule dada. Mbona ng'ombe hawachomi moto?
 
Huku kwetu naona jamaa wamekausha si idara ya mpakani,taasis yenyewe waLa wizara iliyotoa tamko.kama ishu ni vibali yule dada alipata wapi guys za kuleta vifaranga hao kama sio kuna ka mchezo huwa kanachezwa ? Na haya mambo ya EAC kwenye biashara yanasemaje ?
 
Tanzania hatujaribiwi.

Lazima heshima ya nchi yetu irudi hakuna kuwa shamba la bibi tena.

Ngoja muisome namba hadi huko Kenya.
 
Wakenya vifaranga huku ni tatizo leteni tanzania ujirani ni wa watu sio vibali.sehemu ya kutotoleshea zipo mje na vifaa tena kodi hakuna maofisa waacheni huko mipakani wale mishahara bila kazi ya kufanya
 
Magufuli kiboko yao , sio Kenya tu , mifugo toka Rwanda ,Uganda ,Burundi ikikamatwa inapigwa mnada

Magufuli Make Tanzania Great Again
Heh hiyo slogan si ya kubwa Trump au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…