UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
[HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] ameiharibu sana chadema, ameua kabisa reasoning capacity.
Ni nchi gani unayoweza kuingiza viumbe hai bila kuwa na documentation? Ebu jaribu kwenda hata na embe tu usa uone kama watakuruhusu kuliingiza!
Huyo mwingizaji hakuwa na documents zozote za vipimo wala importation, eti watu wanataka aruhusiwe tu kwa kuwa vimetoka Kenya. Damn, .....!
Ni nchi gani unayoweza kuingiza viumbe hai bila kuwa na documentation? Ebu jaribu kwenda hata na embe tu usa uone kama watakuruhusu kuliingiza!
Huyo mwingizaji hakuwa na documents zozote za vipimo wala importation, eti watu wanataka aruhusiwe tu kwa kuwa vimetoka Kenya. Damn, .....!