Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,300
Kwa nini Watanzania huwa hatupendi kuheshimu mawazo ya watu wengine!? Na kusimama pamoja inapokuja katika masuala ya TAIFA kwa manufaa ya Watanzania wote kwa ujumla!? Inasikitisha sana.Dah hata Mimi nashangaa mkuu