Hamna hata hiyo pesaSawa. Kwahiyo mnataka tuwalipe sh ngapi?
Leo umekula nini? AsanteGod bless you Kenyas 🇰🇪
Wakapimwe corona kwanza
Kuna pahala wamelalamika?Walipeni Mafao Wazee wenu waliostaafu Kwanza.
Nilikuwa najiuliza hiki Kiswahili umekitolea wapi.. Hongera kwa kula mashavu lakn.Kuna mkoa upi sijakatiza hiyo Bongo, mwanangu piga codes haswa ERP uone unavyolipiwa nauli, hoteli na kila kitu ukiisafi Afrika.
Unakuta unaitwa Lindi ukafanye implementation ya hotel ERP, unaishi kwen ihoteli full board miezi mitatu
Hapa nina shughuli ya Malawi ila huyu mdudu balaa.
Daima huwa naiombea mema Kenya 🇰🇪. MK254 anajua fika. Jirani yako ndio ndugu yakoLeo umekula nini? Asante
Wana bahati sana mabaharia hao,,,ingekuwa upande wetu wangepiga MAYDAY MAYDAY wala hakuna ambaye angekurupuka kuwafata...ahsante sana Kenyan marine rescue authority kuwaokoa mabaharia wetu..halafu hapo Pemba tanga pako very deep and rough sea...hata hizi boat kubwa zikifika maeneo hayo jasho linawatoka...
Hapa umesema ukweli, Tanzania kuwasaidia wengine ni ngumu sana, nakumbuka ajali mbaya ya waimbaji kutoka Rwanda, waliteseka hadi serikali yao ikatuma usaidizi na Tanzania folded their hands, Rwndese hawajasau, kuna rafiki yangu mrwanda hunikumbusha hilo sana nikitaja Tz. Pia kuna chama cha kikanisa cha akina mama kutoka Kenya walipata ajali, raiya walio kua karibu walikataa kuwasaidia eti kwa ajili ni wakenya, wengine walitaka wapewe pesa kwanza, this I watched kwa news, whatever propaganda CCM gov't fed your minds has destroyed utu ndani yenyu. Mnahitaji kutubu kwa mwenyezi Mungu ili muinuke.
Nadhani system ya hapa kwetu haipo sawa...Nina maana watu hawana maamuzi ya moja kwa moja ktk kuamua jambo.mfano....inaweza ikatokea ajali BAHARIA au ziwani ,, lakini watu husika wakawa hawapo on duty...hilo ndy tatizo ,,hata ajali ya MV bukoba inasemekana taarifa za kuzama kwa meli zilitoka nje ya inchi kama kuna meli inazama hapo kwenu.....lazima kuwe na kitengo maalumu kiwe active muda wote ktk majanga kama haya...kiwe na uwezo wa kufanya maamuzi bila kumsubiri mtuHapa umesema ukweli, Tanzania kuwasaidia wengine ni ngumu sana, nakumbuka ajali mbaya ya waimbaji kutoka Rwanda, waliteseka hadi serikali yao ikatuma usaidizi na Tanzania folded their hands, Rwndese hawajasau, kuna rafiki yangu mrwanda hunikumbusha hilo sana nikitaja Tz. Pia kuna chama cha kikanisa cha akina mama kutoka Kenya walipata ajali, raiya walio kua karibu walikataa kuwasaidia eti kwa ajili ni wakenya, wengine walitaka wapewe pesa kwanza, this I watched kwa news, whatever propaganda CCM gov't fed your minds has destroyed utu ndani yenyu. Mnahitaji kutubu kwa mwenyezi Mungu ili muinuke.
Ndio Ukweli huo MKUU.Mbona unajishtukia.....
Ndio. Na wee umemmention je ni mumeo?Unapenda kummention MK254 kaa mmeo
Astakafurululai msibaNdio.
Co quaranteen is ur source of incomeThey were taken to Kilifi where they currently being quarantined