Mkwere Sumbawanga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 744
- 660
..hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
Hahaaa wakenya watia dole kwenye sera na maslahi ya masuala ya gesi ya Tanzania ... ha haaaaMimi hapo walipo tia Dole kwenye gesi wakati Dangote hana gesi pale Mtwara nikashindwa kuelewa.
Umeenda mbali mno...binafsi siamini Kama Mhe. Rais Samia anachukiwa.....hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
Kwa sababu anaturudisha tulikotoka, tawala za akina JK...hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
Ni mnafiki kama walivyo Wakenya...at least hao walitokana na uchaguzi.
..unaweza kusema walikuwa wanachukiwa na walioshindwa uchaguzi.
..sasa huyu mama kosa lake ni nini? Je ni kwasababu ya kabila lake, dini yake, jinsia yake,..tatizo ni nini?
Yaani awamu ya nne. Mzee kijana wa Msoga amerejea. Yuko benet na mama. Mnafiki kama mama.mi nahisi watu wengi wanaona kama awamu flani imerudi kwa njia nyingine
Nani anajua ?2 Kwani Mama Samia amekwenda Kenya kufanya ufunguzi wa Bomba la Gas au wamekwenda kuweka mipango tu sawa?
TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA
Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.
Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.
Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).
Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.
Tutarajie
Hakuna mtu anayemchukia mama ,sema tu yeye mama ndo anazingua...hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
Uoga ni tatizo. Hii dunia huwezi kuendelea kwa kumuogopa jirani yako aliyekwisha kukuzidi maendeleo...hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
nyinyi mbuzi hamjui hata potential yenu ukanda huu.Kwa hiyo miaka mitano ya hilo sijui jembe lenu(meko)baada ya kufanya hizo figisu kitu gani cha maana kiuchumi alifanikiwa kukifanya, ?jamaa alikuwa na siasa za kishamba sana!!unajidai kutaka kuwa dona cantrii kwa kumkumbatia Burundi!!!
Mfumo dume na pia kutokutaka kubadilika kifikra...hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
Chadema mmeanza, nani kamchukia? Kusema ukweli iwe nongwa..hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?