Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
kuwa makamu wa rais wkt huo alikuwa chini ya JPM.Binafsi simchukii ila akikosea kujifanya anaratibu njia yake as hakuwa makamu wa rais wa late Pombe na kuendeleza agenda walizozinadi wakati wa kampeni na kuzinawilisha kwa jamii hapo lazima achukiwe.
Elewa, huyu rais siyo wa kuchaguliwa na wananchi bali ni rais wa kurithi kutoka kwa aliyekuwa boss wake (kikatiba)
Papo kwa papo akienda kwa njia atakayoambiwa achana na kuisimamia nchi fanya yako 'NITAMCHUKIA'
sasa hiv ndio currently president.. hakuna hata kimoja ambacho amejenga jpm akakibomoa.
tofauti na jpm.. yeye approach yake ni diplomacy zaid sio mkono wa chuma.
hamuwez kuwa sawa kimawazo hata siku moja. kuwa tofauti si dhambi