Kenya yapata upenyo: Tanzania yajisalimisha tena mikononi mwa Kenya

Kenya yapata upenyo: Tanzania yajisalimisha tena mikononi mwa Kenya

TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA

Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.

Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.

Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).

Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.

Tutarajie

👉 Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
👉 Watalii kurejea Kenya
👉 Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
👉 Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
👉 Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
👉 na kadhalika.

Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Acheni fitina na uoga. Si siri vision ya TZ ni kuita wawekezaji nchini toka nchi za Afrika na nje ya Afrika ili kuongeza mzunguko wa pesa. Kila muwekezaji ni fursa kwa Tanzania na wananchi wake. Iwe kutoka S. Afrika au Moroko au Kenya ni sawa tu.

Vijana wako mitaani, acha wawekezaji waje Madegree yanayosaga lami yapate ajira. Leo hii uwekezaji wa Kenya umewapatia ajira watanzania zaidi ya 50 elfu. Hivi hamlioni hilo!
 
mzee nimekupa takwimu nhapo juu, wewe toa za kwako, sio0 maneno
GDP inashuka na kupanda, hata kwa kikwete ilishuka na kupanda, tunacho linganisha hapa ni final, wakatiu wa Kikwete pia kulitokea global recession na utalii kudidimia

Kingine ni kuwa hueleweki, umekataa chanzo changu cha takwimu halafu bado unakitumia tena kufanya arguments zako. weka hicho chanzo chako unachokiuamini kinachoonyesha trend ya uchumi kutoka 2005 hadi 2020 kisha ndio ufanye hizo arguments zako zako na hizo excuse. Maana hata hiyo GDP yako ya 70 bilioni haipo kwenye takwimu nilizokuonyesha

nimesema chanzo chako as a( sample) , elewa kwanza apo alafu BOT hua wanatoa annual report kila mwaka kwa maadishi sio michoro sasa ni kazi yako kwenda kwenye website na kuziona
  • nmesema ~70B kwenye huoni hio sign ya almost before ama huelewi maaana ya hio sign?
  • Mbna hata kipindi cha magu tulishawahi kua na recession, kitu cha kawaida sana hicho but pandemic this is the first
  • Hakunaga final gdp we boya! kila sku kuna effects za GDP but znachukulia tu annually
  • yaaani uende kushoto kulia juu na chini magu alinua uchumi pakubwa sana na hapo ni bado miradi ilikua haijakamilika sasa ingekamilika ingekua story ingine
 
TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA

Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.

Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.

Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).

Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.

Tutarajie

👉 Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
👉 Watalii kurejea Kenya
👉 Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
👉 Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
👉 Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
👉 na kadhalika.

Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Hizi sera za kuchoma vifaranga vya Kenya, kulangua ng'ombe wa Kenya, "kupambana na mabeberu" wanaopitia mgongo wa Kenya, Ni sera za kishamba sana, hazina mwelekeo, na zilizikwa kule Chato pamoja na kamanda wake Magu.

Tupende tusipende, Kenyan is an economic giant. Tunamhitaji naye anatuhitaji. Kama kuna mapungufu, mizania isiyokuwa sawa, marekebisho yafanyike kwa mazungumzo. Full stop.
 
Kwa taarifa yako mleta uzi ni kwamba Kenya trade more in Uganda than in Tanzania, so we Tanzania can't be on our own, Kenya ndio nchi pekee tunayo pakana nayo kwa karibu zaidi na kuwa na boda nyingi zaidi kuliko nchi yoyote ile. wafanya biashara wa Tanzania haswa wakulima wa mazao wana fanya biashara zao nyingi mipakani vivo hivyo kwa Kenya.

ni ukweli usio pingika kuwa hapakuwa na mahusiano mazuri ya kibiashara baina yetu sasa Rais Samia ameamua kufufua mahisiano ya kibiashara kwa masilahi ya wananchi.

sasa Maraisi wetu hawa amekubaliana kwa dhati kuondoa urasimu na vikwazo vyote.

kinacho fanyika hapa ni mashirikiano sio MASHINDANO.
Hii sasa ndio fursa ya sisi sote Watanzania na Wakenya kukua kiuchumi.

hivi sasa naandaa magunia yangu ya njugu mawe napeleka kenya kuuza.
 
..at least hao walitokana na uchaguzi.

..unaweza kusema walikuwa wanachukiwa na walioshindwa uchaguzi.

..sasa huyu mama kosa lake ni nini? Je ni kwasababu ya kabila lake, dini yake, jinsia yake,..tatizo ni nini?
Kwani mama ni kabila gani kwanza? hebu tuanzie hapo...
 
TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA

Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.

Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.

Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).

Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.

Tutarajie

👉 Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
👉 Watalii kurejea Kenya
👉 Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
👉 Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
👉 Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
👉 na kadhalika.

Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Kuna ubaya gani mwafrika mwenzako kunufaika ?
 
Watanzania tulivyo wapumbavu, nasema tena wapumbavu, badala ya kuwaza namna ya kuwa sehemu ya hicho kinachojadiriwa unatamani kisiwepo. Hivi mnafikiri siku zote dunia itakuwa Tanzania? Yaani Tanzania ndiyo dunia kweli?
 
nyinyi mbuzi hamjui hata potential yenu ukanda huu.

wacha watu waitumie kujinufaisha.
wakati mwenda zake anahangaika kujenga reli ya mpya kwa ajiri ya kuteka kanda hii kwa bandari mnaloloma,

tunawakumbusha tu,hakuna maslahi ya wote,kuba maslahi ya mtu mmmoja mmoja,shika kichwa chako.
Kwa siasa zake zile za kishamba, unafikiria bila kuwa na siasa safi na majirani zako huo uchumi utaujenga vipi na hao majirani?!wakati anaingia madarakani, alipokurupuka na kuweka tozo za ajabu ajabu pale bandarini nini kilitokea?hadi ana kuja shituka , watu wengi wamekimbilia mombasa, eti hata tukikosa mizigo tutakuwa tunaitumia wenyewe kweli hayo ni mawazo ya kiongozi?ulizia nini kilitokea alipotaka kuleta utaratibu wa uzito wa magari (super single)kwa nchi za SADIC?
diplomasia ya uchumi ndio inayoongoza dunia, ile ya mabavu ilishapitwa na wakati, wakikuona hueleweki wana kukwepa tu!!kama walivyotufanya kwenye COVID 19!
 
kuna watu wanalipwa haiwezekani kwa siku mtu anaanzisha mada lukuki dhidi ya mtu(kiongozi/serikali)all negative...it doesnt make sense
 
TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA

Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika linaloongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Kwa lugha nyingine, Tanzania imekuwa "koloni mamboleo" la Kenya kwa miongo kadhaa.

Hayati Rais Magufuli hakutaka Tanzania iendelee na utumwa, akaratibu mipango ya kuinasua Tanzania kutoka kwa "mkoloni mweusi". Hatua hii ya Magufuli iliikera sana Kenya na tangu hapo uhusiano wa kibiashara ukayumba.

Ikumbukwe pia kuwa Kenya ni kitovu kikubwa cha mabeberu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Makampuni mengi ya Kenya ambayo yamewekeza hapa nchini hayamilikiwi na wakenya ama yanamilikiwa na wakenya wenye asili ya kizungu (walowezi).

Kenya ambayo ilishirikiana na mabeberu wa Israel kufanikisha "Operesheni Entebbe" mwaka 1976 haiwezi kuwa mshirika wa kuaminiwa na mwenye uchungu na mtu mweusi.

Tutarajie

[emoji117] Kenya kuongoza tena katika mauzo ya madini ya Tanzanite.
[emoji117] Watalii kurejea Kenya
[emoji117] Mlima Kilimanjaro sasa kuwa rasmi mlima wa Kenya
[emoji117] Hujuma katika Shirika letu la Ndege (ATCL) ili kuikuza tena Kenya Airways
[emoji117] Hujuma katika mashirika yetu ya simu ili kuikuza Safaricom
[emoji117] na kadhalika.

Suala muhimu siyo "KAZI IENDELEE" bali "KAZI GANI IENDELEE"!
Huu ni uongo mtupu,mpuuzi wewe
 
Back
Top Bottom