Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najuwa huipendi Kenya by induction ya falsafa ya Mwendazake. Na ni vigumu ukikutana na mtu ambaye amekuwa brainwashed na Mwendazake to the fullest.tatizo hicho kinchi chenu kina mashauzi Sana.wakati hata njaa mmeshindwa kuidhibiti
Sawa ila Nyanoko.Kachunge ng'ombe usukumani
..hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
Very stupid question. Wewe kwa nini unataka apendwe na watu wote? Mitume tu hawakupendwa na watu wote. Itakuwa binadamu? Kila mtu ana haki ya kumpenda na kumchukia amtakaye usiwapangie watu. Na vigezo vya dini,jinsia, sijui nini ni vya kipumbavu. Magufuli alichukiwa na waislamu,wakristo na wasio na dini. Tegemea na mwingine naye atachukia na watu tofauti tofaut kwa sababu tofaut tofaut...hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
Hamchukii, nadhani hata Rais asingekuwa Mama Samia angeandika hivihivi...hivi kwanini mnamchukia Rais Samia?
hizi mada za kipumbavu namna hii sijui kwa nini hata zinaruhusiwa, hakuna hoja yoyote zaidi ya blah balah zinaochochewa na chuki
Nyie wafuasi wa jiwe nawapa changmoto moja.. Leteni takwimu za ukuaji wa uchumi miaka 5 ya Kikwete na miaka 5 ya Magufuli tulinganishe ni rais gani wa hovyo
Pia leteni takwimu za ukuaji wa deni la taifa miaka 5 ya Kikwete na miaka 5 ya Magufuli tuone ni rais yupi alikuwa anatuingiza shimoni
leo hii wawekezaji tena wa Kenya wanaitwa wakoloni mamboleo, ujue yul;e mganga aliiharibu sana akili za watu nchi hii
you wonder if water comodity to the compared population is not at the peak of buying and not many people distribute enough of the price why gas is able can we supply gas ?Na itapendeza zaidi na wananchi pia wakauziwa kwa matumizi ya nyumbani
Najuwa huipendi Kenya by induction ya falsafa ya Mwendazake. Na ni vigumu ukikutana na mtu ambaye amekuwa brainwashed na Mwendazake to the fullest.
Mimi nimetembelea Kenya mara nyingi sana kikazi, naifahahamu, nimekupa tool ya Google ili ikusaudie kupata takwimu mbalimbali.
Lakini ukitaka kuendelea kumtegemea mwanadamu aliyekufa na kuzikwa Chato sawa ni chaguo lako.
Hahaha hizo data umetoa wapi? Magufuli hakuacha GDP ya 70 Bilioni, uchumi wa Tanzania 2020 ulikuwa umeshukana kufikia 57B, na hapo alichukua 48 kutoka kwa Kikwete. Kikwete yeye alichukua 18.4 kutoka kwa Mkpa mpaka 2010 kwa miaka mitano tu akafikia 32 B, Magufuli kachukua 48.5 kaongeza kidogo tuKikwete amekabidhi nchi kwa magu ikiwa na GDP ya $48.5B , Mpaka magufuli anaanga dunia Tanzania ina GDP ya $~70B, hakuna nchi yoyote duniani ishawahi kufanya ivi ndan ya miaka mitano tu peke yake!!!!
- Deni la taifa bado linavumilika na mkono wa kukopa upo, sasa point yako ni falasy
Hahaha hizo data umetoa wapi? Magufuli hakuacha GDP ya 70 Bilioni, uchumi wa Tanzania 2020 ulikuwa umeshukana kufikia 57B, na hapo alichukua 48 kutoka kwa Kikwete. Kikwete yeye alichukua 18.4 kutoka kwa Mkpa mpaka 2010 kwa miaka mitano tu akafikia 32 B, Magufuli kachukua 48.5 kaongeza kidogo tu
ngoja nikuwekee na takwimu kamili kabisaView attachment 1774056
Haa haa mrundi unaejiita Sukuma GANG naona umeruka , imepiga panyewe sio😂Warundi watakutia mti mbwa ww
Tanzania Ina nafasi kubwa Sana ya kunufaika watu wamekazana kuangalia uwekezaji wa viwanda na kusahau kinachovutia wawekezaji ni sera, Kenya viwanda vingi ni vya wageni ambao wanachukulia advantage ya eac kuuza Tanzania laiti tungekuwa na sera nzuri hao wawekezaji hawawez kwenda Kenya maaana hata resources na soko si tumewazidi. Sisi tuna advantage ya soko la mpaka Kongo lakin hakuna tunachofanyaUmebase hoja zako upande mmoja tu vipi kuhusu Tanzania haitanufaika na chochote mbona hili hujalisemea ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama mzoga ulikuwa unajua kuwa utakufa kwa nini ulikuwa unaua watu na kuwamiminia risasa.
mzee nimekupa takwimu nhapo juu, wewe toa za kwako, sio0 manenoFirst things first, Tanzania gdp its always stated by the bank of tanzania not any other source
2) ukisoma vizuri nmesema ~$70B ( in simple words nmekadiria kutoka na ripoti ya bot)
3) hakuna nchi yoyote duniani ilishawahi kuachieve this growth ndan ya miaka mitano peke yake!
4) kuna uwezekano huna uelewa wa nn maaana ya GDP!
GDP hua inapanda na kushuka always kutoka na exports znavoenda, ukitumia graph yako as a sample u can clearly see 2019 was the peak na baada ya hapo ulishuka tena na ndo nchi zote duniani zmeexperience the same same! na 2019 ndo corona iliingia, tanzania keyplayers WA GDP ni tourism, sasa huezi kusema ameongeza kidogo! yaani huelewi gdp ndo tatizo linaanzia apo
Naona unafuraha mti ushaingia tayar endelea kuenjoy[emoji23]Haa haa mrundi unaejiita Sukuma GANG naona umeruka , imepiga panyewe sio[emoji23]
Mwacheni Rais Samia afanye kazi.