mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
kutoboa kwenda wapi!!!Acha mambo ya kishamba. Ulitaka Tanzania iendelee kuwa na Mahusiano na
1. Burundi
2. Commoro
3. Sudani ya Kusini
4. Zimbabwe
Unafikiri Tungetoboa????
kenya imetoboa wapi??