Kenya yapewa msaada wa chakula na USA

Kenya yapewa msaada wa chakula na USA

Hahahaha, umeshikwa pabaya sana. Condom za Kazi gani, wanalazimisha kutupatia condoms lakini utayakuta yamejazana ktk vituo vya Afya, hatuyatumii, sisi tunatumia " Perfumed condoms".

Lakini kumbuka kwamba ni MTU aliyeshiba ndiye mwenye kuhitaji kondom, ni kosa kubwa kumpa kondom MTU ambaye hajapata chakula kwa siku tatu anakaribia kufa. Hivi huko Kenya mnawezaje kufanya "Sex" mkiwa na njaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Excuses kibao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's "thubutu" n not "subutu" I know many Kenyans can't pronounce "thu" but make a mistake even at writing the word!

Niliona siku ile ulikua na shaulu mpka ukamuuliza ichoboy alipoandika subutu na akakwambia ni sawa ukanywea...leo umekuja kivingine, kiswahili si lugha km vile kifaransa buda, maneno yalitoholewa kutokana na maeneo tofauti tofauti...


Na hayo maneno nayatumia vizuri sana...
Screenshot_20191225-215620_Opera%20Mini%20beta~2.jpeg
Screenshot_20191225-215812_Opera%20Mini%20beta~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi kwenye mada
 
Aibu Sana, 60 yrs baada ya kupata Uhuru bado mbapewa msaada wa chakula, hata Burundi hawajafikia hatua hii, pamoja na kwamba wamewekewa vikwazo na EU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukuwaomba, wameleta wenyewe jomba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui ndio waonekaniwe na wao katika miradi..
Aibu ni ile hukuomba condom lkn unaletewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nimeanza kuelewa faida ya trip za Uhuru. Jamaa akipaa huwa anaenda kuomba msosi kwa ajiri ya wananchi wake. Ila jamaa atakua ana lugha tamu sana kila anapotua lazima apate gunia kadhaa.
Niliona pia Russia walikuwa na mpango wa kuwawapa wakenya msaada wa chakula [emoji23][emoji23][emoji23] sijui walishawapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yamenikuta makubwa zaidi ya unavyofikiria kijana..
Ushalalia uji wa unga wa mohogo wenye chumvi tu? Ushalalia maji vikombe 6? Ushakula mashina ya mahindi ukalala?
pole sana. yote hayo ni mapito.
 
Back
Top Bottom