Hatujaomba, hata nynyi mnaweza leta tu"dunia iishe"[emoji1787][emoji1787]Ndugu zetu mnakwamba wapi? View attachment 1303397
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo jingine, kwa nini hamsemi.majirani zenu tupo hapa karibu kabisa. Au mnaogopa tutakuwa maarufu kwa kuwapa msaada wa unga wa mahindi na ulezi?
Bwahahaa...tutanunua mexicoKumbe Ksh imeimarika kwenye makaratasi wananchi wanaishi bila mlo kamili. Msimu huu hatuwauzii mahindi, tunawauzia unga ili tuheshimiane.
Excuses kibao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha, umeshikwa pabaya sana. Condom za Kazi gani, wanalazimisha kutupatia condoms lakini utayakuta yamejazana ktk vituo vya Afya, hatuyatumii, sisi tunatumia " Perfumed condoms".
Lakini kumbuka kwamba ni MTU aliyeshiba ndiye mwenye kuhitaji kondom, ni kosa kubwa kumpa kondom MTU ambaye hajapata chakula kwa siku tatu anakaribia kufa. Hivi huko Kenya mnawezaje kufanya "Sex" mkiwa na njaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadaisha hyo ni karata wanajaribu kuicheza[emoji1787][emoji1787]Hahaha. Wameleta wenyewe ili kujipendekeza hatukuwaambia tunataka hivo vidude. Si unajua Marekani wana wivu kwa sababu sisi na China ni chanda na pete.
Inawahusu...
It's "thubutu" n not "subutu" I know many Kenyans can't pronounce "thu" but make a mistake even at writing the word!
Niliona siku ile ulikua na shaulu mpka ukamuuliza ichoboy alipoandika subutu na akakwambia ni sawa ukanywea...leo umekuja kivingine, kiswahili si lugha km vile kifaransa buda, maneno yalitoholewa kutokana na maeneo tofauti tofauti...It's "thubutu" n not "subutu" I know many Kenyans can't pronounce "thu" but make a mistake even at writing the word!
Oxford's Language Communities | Oxford Languages
Oxford Languages runs a global community-led initiative to develop data in all the world's major languages. Find out more here.sw.oxforddictionaries.com
Mlishaachana na Ubepari?, China ni mjamaa, usisahau tafadhaliHahaha. Wameleta wenyewe ili kujipendekeza hatukuwaambia tunataka hivo vidude. Si unajua Marekani wana wivu kwa sababu sisi na China ni chanda na pete.
Aibu Sana, 60 yrs baada ya kupata Uhuru bado mbapewa msaada wa chakula, hata Burundi hawajafikia hatua hii, pamoja na kwamba wamewekewa vikwazo na EU.
Hatukuwaomba, wameleta wenyewe jomba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui ndio waonekaniwe na wao katika miradi..Aibu Sana, 60 yrs baada ya kupata Uhuru bado mbapewa msaada wa chakula, hata Burundi hawajafikia hatua hii, pamoja na kwamba wamewekewa vikwazo na EU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliona pia Russia walikuwa na mpango wa kuwawapa wakenya msaada wa chakula [emoji23][emoji23][emoji23] sijui walishawapa.
kula mihogo ya kuchemsha na chai strungi usubirie D*Wanaohitaji condom ni wale walioshiba
Subirini mshibe halafu mzikose ndio mtaYES
Yeah itakuwa πππSasa nimeanza kuelewa faida ya trip za Uhuru. Jamaa akipaa huwa anaenda kuomba msosi kwa ajiri ya wananchi wake. Ila jamaa atakua ana lugha tamu sana kila anapotua lazima apate gunia kadhaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana. yote hayo ni mapito.Yamenikuta makubwa zaidi ya unavyofikiria kijana..
Ushalalia uji wa unga wa mohogo wenye chumvi tu? Ushalalia maji vikombe 6? Ushakula mashina ya mahindi ukalala?
Hii comment kwanini umeileta huku.?pole sana. yote hayo ni mapito.
this is so unfair. toka huko ldc... hapafai kabisa huko.Mkuu nimeyapitia sana hayo.. Wacha tu..
Kuna siku tulishindia mahindi mabichi na mdogo wangu.. Ajili ya njaa. Huwezi amini yaani
sikudhani kama binadamu anaweza kunywa uji wa muhogo kama chajio na kujikuta yuko freshi tu na kuja jukwaani kujitunisha kifua..... so so sad man.Hii comment kwanini umeileta huku.?