Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1303414
Donation ya mipira toka marekani iliwafikia?
Hahahaha, umeshikwa pabaya sana. Condom za Kazi gani, wanalazimisha kutupatia condoms lakini utayakuta yamejazana ktk vituo vya Afya, hatuyatumii, sisi tunatumia " Perfumed condoms".View attachment 1303414
Donation ya mipira toka marekani iliwafikia?
Msimu huu mahindi yetu tumepeleka zimbabwe,ndio maana unaona jirani zetu nuksi njaa imetamaraki kwao,yan inabidi wajue waihitaji TZ than TZ inavyowahitaji waoKumbe Ksh imeimarika kwenye makaratasi wananchi wanaishi bila mlo kamili. Msimu huu hatuwauzii mahindi, tunawauzia unga ili tuheshimiane.
Wanaohitaji condom ni wale walioshibaView attachment 1303414
Donation ya mipira toka marekani iliwafikia?
Mkubwa bila shaka walisha kuumiza hawaMsimu huu mahindi yetu tumepeleka zimbabwe,ndio unaona jirani zetu nuksi njaa imetamaraki kwao,yan inabidi wajue waihitaji TZ than TZ inavyowahitaji wao
HahahaShukrani kwa Marekani kwa kuwasaidia wanyonge, Kenya.
Mbwigambwiga in Google search engine, ukiona neno liko struck out maana yake unachotafuta hakipo kwenye habari husika!View attachment 1303414
Donation ya mipira toka marekani iliwafikia?
Hahaha. Wameleta wenyewe ili kujipendekeza hatukuwaambia tunataka hivo vidude. Si unajua Marekani wana wivu kwa sababu sisi na China ni chanda na pete.Tony254 tuishukuru marekani kuwaletea msaada wa chakula nchi ya uchumi wa kati
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaha. Wameleta wenyewe ili kujipendekeza hatukuwaambia tunataka hivo vidude. Si unajua Marekani wana wivu kwa sababu sisi na China ni chanda na pete.
Ukweli huyo wanasemaga wenyew uwanjani mambo tofauti na matarajioKumbe Ksh imeimarika kwenye makaratasi wananchi wanaishi bila mlo kamili. Msimu huu hatuwauzii mahindi, tunawauzia unga ili tuheshimiane.