komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Jaribuni tu ndio mtaona...mkishtukizia ardhi tumeshaipora yote, manake sio kw uvivu huoHalafu hii kenya kwanini isiunganishwe na tanzania iwe ni mkoa wa tanzania ili ifaidike na wingi wa chakula tulio nao,naona kwa hali walio nayo, mwaka 2025 mbali sana wakenya wote watakuwa wamemalizwa na njaa
Sent using Jamii Forums mobile app