Kenya yapiga marufuku uingizaji wa gesi(cooking gas) kutoka Tanzania kupitia mipakani

Kenya yapiga marufuku uingizaji wa gesi(cooking gas) kutoka Tanzania kupitia mipakani

Go and invade migingo island if you have the balls to do so...
mighty Kenya is no longer exist in our daily lives so,learn to live with a new reality........

Learn to have some senses
Museveni Akikohoa wakenya hufyanta
 
Hii habari ina walakini maana gas yetu haijawa processed kwa matumizi ya kupikia nyumbani ndiyo maana hata gas tunayotumia inatoka nje
 
Wivu wa kukataa kufungua Bolongoja gate unawawasha! Ntafurahi Museveni akitangaza rasmi Uganda kujiunga na SGR project ya Tanzania
Dude naona this East Africa thing unarudisha Kenya nyuma, tukibembeleza watoto wadogo kusighn contracts Kenya inajiweza pekee yake
 
Tuwazuie sportpesa maana nawaona wNakuja juu kweli wataua betting zote za wabongo tuanze na hao nasikia pia wanataka kuwadhamini yanga sasa tuwapige chini wakawadhamini golmahia
 
Dude naona this East Africa thing unarudisha Kenya nyuma, tukibembeleza watoto wadogo kusighn contracts Kenya inajiweza pekee yake
mbona janga la njaa limewashinda sasa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Tuwazuie sportpesa maana nawaona wNakuja juu kweli wataua betting zote za wabongo tuanze na hao nasikia pia wanataka kuwadhamini yanga sasa tuwapige chini wakawadhamini golmahia
nyinyi kwisha. Sportpesa iko mpaka U.k na ina sponsor Hull City na iko in partnership with Arsenal F.C. saasa Yanga ni kitu kidogo sana. hilo haliwezi kuwakosesha usingizi
 
Watakaa tu jpm siyo mwepesi kama wanavyodhani ni Rais anayejiamini kuliko marais wote Africa.
 
si ata nyinyi wa bongo munaexport waganga Kenya.... semeni ng'we tufunge biashara zenu za uchawi
 
uhuru kenyatta asibembeleze hawa wajinga....nadhani kenya inajiweza...ban all imports from stupid tanzanians...
 
i support you on this
It is true, because Tanzania did not get the real effect of colonialism, mara Waingereza mara wejurumani, I do agree, that Tanzania needs to be colonized, and be taught a few lessons especially on capitalism. Kenya should play this role of bringing this to reality
 
Back
Top Bottom