Kenya yapiga marufuku uingizaji wa gesi(cooking gas) kutoka Tanzania kupitia mipakani

Kenya yapiga marufuku uingizaji wa gesi(cooking gas) kutoka Tanzania kupitia mipakani

I dont know where Mbulula or Mbeya is but hapo ndio tutafikisha mipaka yetu. Tunaskia waMasai wamechoka kukaa Tanzania, tunawakujia na their land hatuiwachi
wataishi vipi kenya na kuna janga la njaa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
unataka wale nyasi
 
mlima wenu hahahahahahha😀😀😀😀😀😀😀😀😀 kazi munayo safari hii tunasubiri vita ya uchaguzi maana ya mwaka huu itakua kubwa zaidi
ndio maana ethiopia kakimbilia port of dar es salaam mapema anajua safari hii vita sio ndogo
On a serious note. How will Ethiopia use prt ya Tanzania?
 
I dont know where Mbulula or Mbeya is but hapo ndio tutafikisha mipaka yetu. Tunaskia waMasai wamechoka kukaa Tanzania, tunawakujia na their land hatuiwachi
khaaaaa, mbulula maana yake ni mjinga. wamasai watakataaje kukaa tanzania wakati kenya mnaukabila unaonuka? mtawatenga kama kinyesi. tena huku hakuna ukame. wanachungia watakavyo na malisho ni makubwa. kenya watakaa wapi? wasambulu tu mmeshindwa kuwalea
 
On a serious note. How will Ethiopia use prt ya Tanzania?
ndio hapo utaona wapi utapita,kwanza malizeni vita ya miezi inayokuja 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
huku wasomali wanawataka hehehehehehe
 
Northern Tanzania ni sehemu ya Kenya. All Maasais are Kenyans. Tutawainvade soon
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 walioko kenya wanataka kuja tanzania, kenya kuna njaa wanaogopa kula nyasi
 
khaaaaa, mbulula maana yake ni mjinga. wamasai watakataaje kukaa tanzania wakati kenya mnaukabila unaonuka? mtawatenga kama kinyesi. tena huku hakuna ukame. wanachungia watakavyo na malisho ni makubwa. kenya watakaa wapi? wasambulu tu mmeshindwa kuwalea
Ndio maana tutachukuwa part of Tanzania yenye wamasai wanaishi. As you know, all Maasais are Kenyans by default
 
Ndio maana tutachukuwa part of Tanzania yenye wamasai wanaishi. As you know, all Maasais are Kenyans by default
kwanza malizeni vita, vita vya uchaguzi alafu vita na somalia alafu uje tuongee😀😀😀😀😀😀😀
 
ndio hapo utaona wapi utapita,kwanza malizeni vita ya miezi inayokuja 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Tanzania and Ethiopia have nothing in common. Nikama Kenya kuchapa deal na Malawi. Labda other trades but its uneconomical Ethiopia kutumia port ya Tanzania. Djibouti is closer, ata Somaliland na kuna peace Somaliland
 
We are in Somalia for other reasons. Long term reasons. Tanzania ni weak sana kijeshi. Askari polisi wa Kenya pekee wanaiweza Tanzania.
Hahahah mgambo wa alshabab wanawaua kama inzi huko somalia,wanawavizia kambini kwenu wakiondoka wanajeshi 200 wa idf slained
 
New Kenyan map. Wacha tumalizane na Somalia kwanza
map.PNG
 
Ndio maana tutachukuwa part of Tanzania yenye wamasai wanaishi. As you know, all Maasais are Kenyans by default
We mwenyewe fukara unauwezo wakujaza kifurushi tu,sijui unatoa wapi mawazo pori kama hayo[emoji38]
 
Alshabaab tu mmewashindwa wanawaua wakenya na wanajeshi wenu kama vipanya.mtaweza kuiinvade Tanzania? Unawajua JWTZ wewe? Kawaulize M23 wakupe habari yao hawa jamaa. watu wana hasira hawapamban kivita sana sasa chokozeni muone wajeshi wa bongo wanavyomkula tigo first lady wenu mbele ya uhuru Anyway hii ndo fact wanajeshi wawili wa Kenya ni sawa na mgambo mwanamke mmoja kwa Tanzania
 
Ndio maana tutachukuwa part of Tanzania yenye wamasai wanaishi. As you know, all Maasais are Kenyans by default
Leo nimeangalia kipindi cha HARD TALK cha BBC nikamsikia huyo babu wenu "Richard Leakey "mwenye uso umejiskrach kama CD za kichina anakwenda kutangazia ulimwengu eti Tanzania tuache Ujenzi wa miundombinu kupitia SERENGET eti tutaharibu eco system na wanyama watakoswa kuishi vizuri... Kenyans should stop idiotic interferences in our economic reforms..zee lina matongotongo hadi aibu. Hivi sisi hatuna Wasomi na wabobezi wa mambo ya ikolojia mpaka mkatusemee kwa waume zenu UK? Ngojeni mkuu amalize umwenyekiti wa EAC mtatujua
 
Leo nimeangalia kipindi cha HARD TALK cha BBC nikamsikia huyo babu wenu "Richard Leakey "mwenye uso umejiskrach kama CD za kichina anakwenda kutangazia ulimwengu eti Tanzania tuache Ujenzi wa miundombinu kupitia SERENGET eti tutaharibu eco system na wanyama watakoswa kuishi vizuri... Kenyans should stop idiotic interferences in our economic reforms..zee lina matongotongo hadi aibu. Hivi sisi hatuna Wasomi na wabobezi wa mambo ya ikolojia mpaka mkatusemee kwa waume zenu UK? Ngojeni mkuu amalize umwenyekiti wa EAC mtatujua
Hapa aatoa maoni yake kama a conservationist si kama mKenya. Serengetti inafaa kuwa untouched. Ama mtatufanya tukasirike tuikujie pia hio
 
Back
Top Bottom