JPM could hit you Kenyans. This guy is a different man!
Tihahahhaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM could hit you Kenyans. This guy is a different man!
tutaacha kuwapa mahindiWhat the government did.. Sioni shida nayo I wonder how tz are going to hit back
Shida ni kwamba when we practice YOUR game ya protectionism mnalalamikaWhat the government did.. Sioni shida nayo I wonder how tz are going to hit back
We should invade this LDC country. And colonise them
Everything is a competition to themWako na nyefnyef nyingi sana... They sound like children of a lesser God.
Shida ni kwamba when we practice YOUR game ya protectionism mnalalamika
Shida ni kwamba when we practice YOUR game ya protectionism mnalalamika
Si kunya anye kuku ila bata kaharisha...
Tanzania ikifanya kitu ni INFERIORITY COMPLEX ila Kenya ni BUSINESS....
EAC itakuwa na manufaa kama kila nchi itaamua kuwa kivyake ila kushirikiana katika masuala yatakayoinufaisha kila pande bila kutishia ustawi wake....
Kwa nini tung'ang'anie kufungua mipaka ilhali tunajua kuwa kwa hili Tanzania itapoteza zaidi kwa mlengo wa EAC lakini what will EAC compesate for our loss????....
NOTHING
Go and invade migingo island if you have the balls to do so...We should invade this LDC country. And colonise them
Umebring up point ya maana sana. Compensation mechanism for countries that will lose more than they will gain from integration. EU wanayo. Sisi huku ile protocol ya kuanzishwa soko la pamoja haisemi chochote kuhusu hicho kitu.Si kunya anye kuku ila bata kaharisha...
Tanzania ikifanya kitu ni INFERIORITY COMPLEX ila Kenya ni BUSINESS....
EAC itakuwa na manufaa kama kila nchi itaamua kuwa kivyake ila kushirikiana katika masuala yatakayoinufaisha kila pande bila kutishia ustawi wake....
Kwa nini tung'ang'anie kufungua mipaka ilhali tunajua kuwa kwa hili Tanzania itapoteza zaidi kwa mlengo wa EAC lakini what will EAC compesate for our loss????....
NOTHING
Unaogopa nini sasa?What the government did.. Sioni shida nayo I wonder how tz are going to hit back
Tunaongelea Jumuiya hapa. It is very obvious kwamba Tanzania has more to lose. Nashauri uanzishwe mfuko wa compensation & equalization wa EAC. Mbona hata wenzetu wa EU wanao?Kila mwanachama ana cha kupoteza na cha kufaidi, sio Tz tu!
Siku zote angalia faida sana sana, kisha ujaribu kuiimarisha faida madhubuti,iwe mara 10 ya hasara/utakachopoteza, hiyo ndio siri ya kuijenga uchumi mkubwa.
Yaani specialization, chagua sehemu ambayo una comparative advantage, kisha tia bidii hapo hapo ili uiteke soko lote ikiwezekana bara lote hata ulimwengu wote,kwa mfano Mjerumani ana Mashine/gari...Msaudia ana Mafuta,Mchina ni bidhaa za kawaida,Mmarekani ni silaha na kadhalika.
Kenya anaiuzia dunia nzima maua pamoja na chai, Tanzania je?
Kila mwanachama awe na kinachombeba.
wote mliojibizaka kwa mlengo huu wa uhasama ni wapumbavu. kenya na tanzania hatuna uhasama wowote. kenya inajaribu kulinda raia wake na uchumi wake katika hatua hii. tanzania pia ingeweza kufanya hilo bila kulenga kuiumiza kenya. muwe makini kwa ujinga mnaopostGo and invade migingo island if you have the balls to do so...
mighty Kenya is no longer exist in our daily lives so,learn to live with a new reality........
Learn to have some senses
you are the best of all idiots on the earth. keep entertaining such impoverished mindWe should invade this LDC country. And colonise them
Tunaongoza katika ufuta,tunazalisha maua pia lakini sisi hatujaegemea katika mazao ya kibiashara ila ya kilimo na kwa sasa watu ndo wanaanza kuwa na muamko wa kuzalisha kwa ajili ya export na processing for small industries....Kila mwanachama ana cha kupoteza na cha kufaidi, sio Tz tu!
Siku zote angalia faida sana sana, kisha ujaribu kuiimarisha faida madhubuti,iwe mara 10 ya hasara/utakachopoteza, hiyo ndio siri ya kuijenga uchumi mkubwa.
Yaani specialization, chagua sehemu ambayo una comparative advantage, kisha tia bidii hapo hapo ili uiteke soko lote ikiwezekana bara lote hata ulimwengu wote,kwa mfano Mjerumani ana Mashine/gari...Msaudia ana Mafuta,Mchina ni bidhaa za kawaida,Mmarekani ni silaha na kadhalika.
Kenya anaiuzia dunia nzima maua pamoja na chai, Tanzania je?
Kila mwanachama awe na kinachombeba.
gesi inayozungumzwa hapo ni ile inayotoka nje ya tanzania, kuptita dar es salaam port au tanga na kupenyeza kenya. huenda hata hapa tanzania inapita kinyemela. sehemu kubwa ya gesi tunayotumia majumbani hapa tanzania inatoka nje ya nchi bila shaka
We should invade this LDC country. And colonise them
Umeona uhasama Wapi katika chapisho langu halafu ADA YA MJA HUNENA MUUNGWANA NI KITENDO... je wewe umeonesha uungwana kwa kuwaita watu wapumbavuwote mliojibizaka kwa mlengo huu wa uhasama ni wapumbavu. kenya na tanzania hatuna uhasama wowote. kenya inajaribu kulinda raia wake na uchumi wake katika hatua hii. tanzania pia ingeweza kufanya hilo bila kulenga kuiumiza kenya. muwe makini kwa ujinga mnaopost
Najua Profesa Nkenda atajibu mapigo, na sie tutatafuta any product ambayo kwao ina faida tutazuia tuWhat the government did.. Sioni shida nayo I wonder how tz are going to hit back