Kenya yapiga marufuku uingizaji wa gesi(cooking gas) kutoka Tanzania kupitia mipakani

Kenya yapiga marufuku uingizaji wa gesi(cooking gas) kutoka Tanzania kupitia mipakani

Zanzibar kabisa ni nchi huru!..Unguja...hilo kabisa ni nchi lina raisi wake, wapeeni uhuru wao enyi makaburu wa kitanganyika.
bila shaka umerogwa. tanganyika na zanzibar ni nchi tu. hatibaguani sie. hangaikeni na ukabila wenu huko. tanzania is one, do not refer to petty politics. we are same country

I LOVE TANZANIA.
 
somalia inawashindeni inawatoa kamasi tanzania mutaiweza😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
We are in Somalia for other reasons. Long term reasons. Tanzania ni weak sana kijeshi. Askari polisi wa Kenya pekee wanaiweza Tanzania.
 
andrew kamau anaichukia tanzania baada ya kuchukuliwa pipeline from hoima uganda to tanga port sasa anatafuta visa hajui tanzania ina natural gas of over 441 trillion cubic feet na inajengwa LPG plant ambayo cost yake ni 30 billion usd
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
ukiona wanahangaika ujue kuna kitu kimewagusa😛😛😛😛😛😛😛😛😛
 
We are in Somalia for other reasons. Long term reasons. Tanzania ni weak sana kijeshi. Askari polisi wa Kenya pekee wanaiweza Tanzania.
😀😀😀😀😀😀😀😀 umeona munavokufa somalia na ikiwa somalia inakutoeni kamasi tanzania mutaiweza🙂🙂🙂🙂🙂
 
Somalia itakuwa part of Kenya na Ethiopia in the near future. Then tunakujia Mlima wetu Kilimanjaro na waMasai wote.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 ethiopia kakimbia tayari ikiwa kwake kunamshinda ataweza somalia
hio ndoto unayoota wewe ni ya alinacha alishindwa america baba yako wewe utaweza😵😵😵😵😵😵😵
 
Somalia itakuwa part of Kenya na Ethiopia in the near future. Then tunakujia Mlima wetu Kilimanjaro na waMasai wote.
mlima wenu hahahahahahha😀😀😀😀😀😀😀😀😀 kazi munayo safari hii tunasubiri vita ya uchaguzi maana ya mwaka huu itakua kubwa zaidi
ndio maana ethiopia kakimbilia port of dar es salaam mapema anajua safari hii vita sio ndogo
 
Back
Top Bottom