Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Mimi ni Mtanzania, lkn Mombasa wanasema Pwani si Kenya!
Zanzibar kabisa ni nchi huru!..Unguja...hilo kabisa ni nchi lina raisi wake, wapeeni uhuru wao enyi makaburu wa kitanganyika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni Mtanzania, lkn Mombasa wanasema Pwani si Kenya!
Una ubavu huo!!?mingingo tu inawashinda sembuse Tz!?kapime akili we ndorobo wa kiberaMimi kama Mkenya. We should invade your country.
Kama nyinyi mlivyo wakoloni wa pwani.Zanzibar kabisa ni nchi huru!..Unguja...hilo kabisa ni nchi lina raisi wake, wapeeni uhuru wao enyi makaburu wa kitanganyika.
bila shaka umerogwa. tanganyika na zanzibar ni nchi tu. hatibaguani sie. hangaikeni na ukabila wenu huko. tanzania is one, do not refer to petty politics. we are same countryZanzibar kabisa ni nchi huru!..Unguja...hilo kabisa ni nchi lina raisi wake, wapeeni uhuru wao enyi makaburu wa kitanganyika.
Any land occupied by Maasai's inafaa ichukuliwe na Kenya.Una ubavu huo!!?mingingo tu inawashinda sembuse Tz!?kapime akili we ndorobo wa kibera
We should aid Zanzibar wapate uhuru from Tanganyika. We should show them our mightZanzibar kabisa ni nchi huru!..Unguja...hilo kabisa ni nchi lina raisi wake, wapeeni uhuru wao enyi makaburu wa kitanganyika.
hivi wewe huna kazi ya kufanya eee?Any land occupied by Maasai's inafaa ichukuliwe na Kenya.
help the wasomali kupata utulivu na sio kwenda kule kuuza mirungi, miraaWe should aid Zanzibar wapate uhuru from Tanganyika. We should show them our might
somalia inawashindeni inawatoa kamasi tanzania mutaiweza😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Mimi kama Mkenya. We should invade your country.
what about pwani ya mombasa😀😀😀😀😀😀😀 simuwape nchi yaoWe should aid Zanzibar wapate uhuru from Tanganyika. We should show them our might
We are in Somalia for other reasons. Long term reasons. Tanzania ni weak sana kijeshi. Askari polisi wa Kenya pekee wanaiweza Tanzania.somalia inawashindeni inawatoa kamasi tanzania mutaiweza😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😀😀😀😀😀😀😀😀 umeona munavokufa somalia na ikiwa somalia inakutoeni kamasi tanzania mutaiweza🙂🙂🙂🙂🙂We are in Somalia for other reasons. Long term reasons. Tanzania ni weak sana kijeshi. Askari polisi wa Kenya pekee wanaiweza Tanzania.
the strong kenyan army saves a planned westgate terror attack. reports the Daily NationWe are in Somalia for other reasons. Long term reasons. Tanzania ni weak sana kijeshi. Askari polisi wa Kenya pekee wanaiweza Tanzania.
yes we know. you are there to secure miraa mega dealers.We are in Somalia for other reasons. Long term reasons. Tanzania ni weak sana kijeshi. Askari polisi wa Kenya pekee wanaiweza Tanzania.
Somalia itakuwa part of Kenya na Ethiopia in the near future. Then tunakujia Mlima wetu Kilimanjaro na waMasai wote.😀😀😀😀😀😀😀😀 umeona munavokufa somalia na ikiwa somalia inakutoeni kamasi tanzania mutaiweza🙂🙂🙂🙂🙂
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 ethiopia kakimbia tayari ikiwa kwake kunamshinda ataweza somaliaSomalia itakuwa part of Kenya na Ethiopia in the near future. Then tunakujia Mlima wetu Kilimanjaro na waMasai wote.
eti mlima wenu kilimanjaro. are you kidding? wamaasai wako hadi mbeya na songea. we mbulula endelea kujidanganya.Somalia itakuwa part of Kenya na Ethiopia in the near future. Then tunakujia Mlima wetu Kilimanjaro na waMasai wote.
mlima wenu hahahahahahha😀😀😀😀😀😀😀😀😀 kazi munayo safari hii tunasubiri vita ya uchaguzi maana ya mwaka huu itakua kubwa zaidiSomalia itakuwa part of Kenya na Ethiopia in the near future. Then tunakujia Mlima wetu Kilimanjaro na waMasai wote.
I dont know where Mbulula or Mbeya is but hapo ndio tutafikisha mipaka yetu. Tunaskia waMasai wamechoka kukaa Tanzania, tunawakujia na their land hatuiwachieti mlima wenu kilimanjaro. are you kidding? wamaasai wako hadi mbeya na songea. we mbulula endelea kujidanganya.