Kenya yapiga marufuku uingizaji wa gesi(cooking gas) kutoka Tanzania kupitia mipakani

Kenya yapiga marufuku uingizaji wa gesi(cooking gas) kutoka Tanzania kupitia mipakani

Habari yako haina chanzo ni mawazo yako tu,gesi inayotumika majumbani haijawahi zalishwa Tanzania, gesi ya kupikia ni nzito sana ndio maana haiwezi lipuka hovyo ikivuja inatapakaa chini,gesi inayozalishwa mtwara ni nyepesi na haiwezi tumika kupikia katika mfumo unaotumika sasa, hivyo hakuna gesi ya kupikia inayozalishwa Tanzania labda useme urahisi wa bei tofauti na Kenya ndio umesababisha wakimbilie gas ya huku,nimetumia lugha nyepesi kuelezea sikuingia kwenye lugha za organic chemistry.

wewe tayari jibu unalo gesi inatoka Tanzania iwe ya popote kwa maelezo ya katibu mkuu huyo. Na hii siyo habari niliyoitoa mfukoni kwangu nenda kasome chanzo cha habari badala ya kutoa poor challenge.
 
Tunaongoza katika ufuta,tunazalisha maua pia lakini sisi hatujaegemea katika mazao ya kibiashara ila ya kilimo na kwa sasa watu ndo wanaanza kuwa na muamko wa kuzalisha kwa ajili ya export na processing for small industries....

mmekuwa mabepari kwa muda mrefu toka uhuru hivyo, private sector yenu ipo strong compared to ours which is still in growth phase...unategemea ni nani atamiliki uchumi wetu kama mabepari waliokubuhu wataachwa wazagae katika wajamaa

Comparative advantage is not achieved over a night,it takes a long process as Nyerere once said that you can not develop people but you must help people to develop themselves so, nurturing the growing SME's is our own goal and exposing them to the intensive competition will do much harm to our economy lether than good

yap tunatakiwa kujiweka katika pahala pa kupata faida na ninakushukuru kwa kuelewa hilo ila kwa sasa hatuoni hiyo faida hata tukiingia jumla so,why should you push us

Uganda,rwanda na burundi hawana say maana ni landlocked countries lakini subiri reli ya kenya na Tz zikamilike ndipo utaona makucha yao.. rejea suala la kuchagua route ya bomba la mafuta ndo utajua true colours ya waganda

Hapa tunalijadili Tz,ya hao wengine yatakuja baadae.
Kenya iliimarika kwa kuwauzia nyie bidhaa zake maalum, nanyi mkatafute ambacho hakipo Kenya mnachokipenda ,mkalizalishe kwa wingi na ustadi,mkaliteke soko la Kenya kwa kumbembeleza na kumweka karibu,hayo mataifa mengine ya ukanda huu yatafuata kiulaini....kujifungia fungia kwa woga na kutotubuthu ndilo linalowaangusha miaka nenda rudi...hakuna wa mbali atakaye watoa kimasomaso, ni lazima mliteke soko la nyumbani jirani kabisa,mfano mzuri tu... kawaulize wanamziki wenu wote jinsi walivyotoka,wote walitoka pindi tu walipoiteka soko la Kenya baadae EA nzima ikaanguka na ikafuatia bara nzima kisha na kimataifa......ni hayo tu!
 
Unaamnisha nini kwa kusema ,,We"? Je ni Muzungu ambaye anamliki Kenya, Ni Kenyata familly? Ni Kikuyu? Au ni nani? Kwa maana nijuavyo mimi hakuna kitu kama ,,we" Kenya!

Hivyo ndivyo hao maCCM wakomunisti wenu wanavyowadanganyaga!..hahah!
 
Umeona uhasama Wapi katika chapisho langu halafu ADA YA MJA HUNENA MUUNGWANA NI KITENDO... je wewe umeonesha uungwana kwa kuwaita watu wapumbavu

Hivi wewe unajua hata kinachoendelea katika umoja huu wa nchi hizi za Afrika ya mashariki na je,umeona kauli zilizotolewa na authority zao kuwa ni bora kidiplomasia!!!!!!!......

nimekujibu kwa staha ila si kwamba unastahili ila ni kwa kuwa nilifunzwa stara hasa kwa watu nisiowajua
nisamehe
huenda ni kweli kuna mambo hayaendi sawa lakini kusema eti nchi moja ivamiwe itawaliwe na kujadili kwa mtindo huo wa uhasama haikubaliki. inashtusha watu kuona kama tanzania au nchi zingine africa mashariki zinapoteza sana kwa kenya.
 
Huu ni uhasama wa kibiashara ,sijui na sisi tuzuie nini kutoka kenya?
 
Umebring up point ya maana sana. Compensation mechanism for countries that will lose more than they will gain from integration. EU wanayo. Sisi huku ile protocol ya kuanzishwa soko la pamoja haisemi chochote kuhusu hicho kitu.
Si ndo hapo brother...

Wakenya wengi wanajificha katika mwamvuli "WA WOTE TUTAFAIDIKA " na hawaachi kuihubiri hii habari lakini ni wachache wenye akili wanaojua haswa kuwa Tanzania is about to loose more haswa katika ardhi na mbona kuna masuala mengi ya kushirikiana lakini la ardhi na visa ya pamoja ndo linapigiwa upatu sana lakini nashukuru hata kikwete aliweza kujua kuwa "THIS WAS NEVER MEANT FOR US "

Pigia picha northern circuit ya Tz ikifunguliwa itakuwaje!!!!!!.....
tunaweza kuisubstitute bandari ya mombasa kwa Tanga na hata kwa utalii pia kama ilivyokuwa Zanzbar

So,what will be there in EAC to compensate for our loss or how are we going to benefit much from it?????....

I need clear answers na si blah blah
 
Unaamnisha nini kwa kusema ,,We"? Je ni Muzungu ambaye anamliki Kenya, Ni Kenyata familly? Ni Kikuyu? Au ni nani? Kwa maana nijuavyo mimi hakuna kitu kama ,,we" Kenya!
Mimi kama Mkenya. We should invade your country.
 
dunia ya ushindani nyie endeleeni kusema cjui hatuwaitaji cjui wanatuitaji ivi izo dreamliner] zimeagizwa ngapi nazinaanza kuoperate lini
 
wameanza kuiogopa tanzania lakini watakimbilia wapi zaidi ya tanzania😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Haya mambo alikuwa anayawezea JK..Kikwete basii.... Haongei ila vilio vilikuwa vinasikika....

Magu atasema safi sana hao wamezuia kwasababu walikuwa wapiga dili.... teh teh teh
 
nisamehe
huenda ni kweli kuna mambo hayaendi sawa lakini kusema eti nchi moja ivamiwe itawaliwe na kujadili kwa mtindo huo wa uhasama haikubaliki. inashtusha watu kuona kama tanzania au nchi zingine africa mashariki zinapoteza sana kwa kenya.

Nashangaa tu!

Wasichokijua ni wao ndio wamefaidika zaidi ya Kenya tangu biashara huria pamoja na mipaka zifunguliwe.
Takwimu zaonyesha,ila cha ajabu wapo kila siku wakiikemea Kenya.
Hakika hata Kenya imeshuka sana kiviwanda kwasababu baada ya umoja huu kutiwa nguvu viwanda vilihama na bidhaa za nchi jirani vikaanza kuivamia Kenya.
Leo hii tazameni analofanya Marekani, aliumia kabisa baada ya viwanda kuhamia Uchina,leo anauvunja mkataba wa biashara zote anaanza upya,vilevile Uingereza na BREXIT kule EU.
Kenya ndiye anayeumia sana na msipochunga patatokea KENEXIT....mgekua na busara kuimarisha biashara zenu pamoja na Kenya kimyakimya bila kuihangaisha Kenya ama kumletea mzongo wa mawazo.
Tuyaonayo leo hii Uropa na Marekani ndio yaleyale ya Afrika Mashariki kesho kama sio leo.
 
nisamehe
huenda ni kweli kuna mambo hayaendi sawa lakini kusema eti nchi moja ivamiwe itawaliwe na kujadili kwa mtindo huo wa uhasama haikubaliki. inashtusha watu kuona kama tanzania au nchi zingine africa mashariki zinapoteza sana kwa kenya.
Nilitaka kumuonesha kuwa nchi yao haina jeuri hiyo na ajifunze kuwa humble... there was nothing wrong with it unless you tell me where i went wrong
 
Back
Top Bottom