Kenya yatajwa kuongoza kijeshi nchi za Afrika Mashariki

kaka vitani awalushagi matofali ya mchanga ni only one bullet utumbo njee [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmechekaaa kwa sauti.wanazan vitani kuna kupga pushapu na matofari mgongoni
 
Kama ulikua hujui hata hao burundi wako na wanajeshi wengi zaidi ya kenya huko Somalia. Ni vile tu hua hauwasikii....
Vita vya kigaidi ni mchezo mwengine kaka.. Kama jeshi lenu halijawai kupigana vita aina hio kaa mbali..

Wale wa Kule middle east kina al-Qaida,Taliban ni hao hao tu wa yeboyebo na sapata, lakini majeshi yote ya NATO yakiongozwa na marekani yamepigana zaidi ya miaka 15 na hawakushinda....sahii hata ni kubaya zaidi huko M.E, ISIS inanguvu kushinda kina AQ..

Hawa walishikwa na jeshi la Iraq.... AQ



Angalia viatu, wengi wao ni yebo yebo...pale wanapoua jeshi la serikali halali hapo ndo huiba viatu vya kijeshi.. Vito bingo ukipigana na hawa watu vinatokana na mite go ya bomu au kujitoa mhanga wakitumia gari lilojazwa vilipuzi au hao wenyewe wakivaa vilipuzi alafu wanajilipua mbele yako,
 
Imebidi hata polisi wetu wajihami ipaswavyo....hawa wanaitwa Rural Border Patrol Unit RBPU.... Watakua wanashika Doria kule vijijini kwenye watu wanaishi karibu na mpaka wa somalia




RBPU- Administration Police

 
Naamini tanzania iko rank ya juu sana kwa Africa na Kenya haifui dafu kwa TZ
 
Una kipimo gani cha kuamua kuwa Alshabab wamekubuhu?
Jeshi ni nidhamu na nyenzo.Sasa kwa nyenzo walizo nazo wakenya,wanapigwa na wahuni wanaotumia AK-47,hawana ndege wala vifaru,hata kama wamekubuhu vipi kama jeshi imara wanafyekwa tu
Kuna nini kinatokea kibiti sasa hivi?
 
Yafaa mjue alshabaab wanapigana kitu inaitwa insurgency. Yaani ni raia wa kawaida... Baadaye anakugeuka na kukumaliza halafu anarudi kuwa raia. Sheria za jeshi ni kuwa hakuna kugusa raia. Vita hivyo ni vigumu. KDF kule El Adde kweli walishindwa lakini ni jamaa alifanikiwa kulipua VBIED katikati ya kambi na miili ya majeshi zilichomeka hata hazikupatikana. Ndani ya kambi kulikuwa na askari 160. Walionaswa ni 12. Waliokufa kwa risasi ni 68 ambao Alshabaab walihesabu mara ya kwanza. Hao wengine kwa sababu miili yao haitambuliki inasemekana wako Missing in Action. 36 pekee ndo walifanikiwa kufika nyumbani.
 
Ndio maana nasema wao ni jeshi bora kwa makaratasi ila sio tactically au strategically... kwa sababu vita walizopigana rwanda na uganda hao kenya hawawezi toboa kabisa even though rwanda na uganda hawana bajeti au vifaa kma kenya. Kma vifaa ni kigezo marekani isingewahi kupigwa na vietnam au cuba!!!!

Shida sio resources shida is how u maximise ur resources.... hao kenya hta kma wakiwa na vifaaa vingi if they cant maximise them to the full potential then kuwa na vifaa vingi wont have any meanin. Mkuu jeshi ni techniqes,tactic and strategies whether una vifaa or not kma huna tactics nzuri basi huwezi kuwa best army

Ni sawa na utoe mfano eti man city ndio best team in the world kisa ina resources!!! Wachezaji wa gharama na bajeti kubwa ya pesa!!!! Does it make sense to u??? Whats the essence of havin the best army then unashindwa defeat hta rebeles na terrorists!!! Mbona museveni ameweza content al shabaab wasirudi tena uganda??? Mbona rwanda walidhibiti Fdlr and likes ssa whats so big abt kenya???? fikiria upya mkuuu hizi ni statistics tu but jeshi zuri ni tactics yaani few tools but maximum results
 
Ebwanaee wale jamaa wavaahizo nini sijui wapo vzuri ndio maana wapo mpaka leo
 

Unajifanya manalyst huku unaongea tu matope. Sasa hawa Ugandan, Burundi na Etiopian army, hizo miaka yoote walikuwa Somalia kabla ya Kenya kuingia hiyo vita, ni kitu gani kiliwashinda kutwaa eneo nzima la Mogadishu, makao makuu ya Alshbb Kismayu, territory magharibi mwa Somalia iliokuwa ikikaliwa na Alshbb, kama kweli hawa ndilo jeshi lenye strategies?

Uganda na Burundi huko Mogadishu si zikikuwa zikidhibiti tu mitaa karibu na airport, presidential palace na port? Ethiopia nayo ilijikita eneo ndogo tu karibu na mpaka wao na Somalia, hawkuwa wakifanya mashambulizi ya maana ndani ya Somalia dhidi ya Alshbb.
Mambo yalibadilika pale Kenya ilipoingia vita hivi na Somalia.

1. Maeneo karibu yote, magharibi mwa Somalia ambako Alshbb walikuwa wakicontrol ilitwaliwa- na KDF.

2. Makao makuu ya Alshbb Kismayo ilijokombolewa single- handedly, by the KDF, kupitia bahari, kwa kimombo inaitwa amphibious tactic, jeshi la kwanza kabisa kutumia mbinu hilo Africa.

3. Jeshi la Kenya ulisaidia katika kuwafurusha Alshbb Mogadishu, na kuweka usalama kwenye mji huo, kiasi cha kwamba serikali ya Somalia inayokubalika dunia nzima iliweza kurudi huko kutoka Nairobi kutawala.

4. Jeshi la Kenya kupitia zana zao wamepata kuwaangamiza wanaalshbb wengi sana katika kambi zao. Na ndilo jeshi la Amisom linalotumia zana zenye nguvu zaidi kukabiliana na waasi hawa hujo Sonalia. Uganda iko fighter jets ngapi huko?


Kwanini Kenya ndio ionekane dhaifu ilhali juna majeshi mengine Sonalia, zenye idadi na miaka mingi zaidi ya kuhudumu huko? Hebu kwanza taja accompliahments zao huko?

Kwahivo acha kuropoka upumbavu hapa, unaandika mambo mengi yenye upuzi mtupu.
 
Na ninakwambia tena Mr. Kabwe, fikiria kwa ubongo. Wewe mambo ya strategy kupigana na raia wenye vilipuzi, mbona basi hata America na Russia hawajapata kuwaangamiza hawa maghaidi? Kama KDF ni dhaifu juu ya kushindwa kuwamakiza kabisa Alshbb, basi hata America ni dhaifu juu imeshindwa kuwamaliza mujahidin Afghanistan.

Wewe unajua strategy gani kwenye operation za kijeshi, unaweza zitaja gano kutumika kukabiliana na maghaidi? Unajifanya expert nyuma ya keyboard, ilhali pumba tu!
 
The reason y al shabaab has been attacking Kenya is because they knew we gavr them the biggest blow, at kenyans were a game changer to their activities, ndio kwa maana walikuja kujitoa mhanga kuua innocent lives nchini kenya wakisema serikali itoe majeshi yetu somalia, al shabaab is a regional issue kumbuka Tanzania tayari kuna sleeper cell wamenyamaza tu,juzi wameua askari sita mkawaita majambazi, haya ngojeni hao majambazi tena
 
This is so funny indeed hivi unajua uganda ilienda kucounter insurgency CAR,S Sudan, RDC na pia walipigana chini ya mwavuli wa AMISOM hapo somalia na kuweza kuhalt attacks za al shabaab hapo mogadishu !!!! Au hayo yote umeyasahau kwa ushabiki wa eti kenya WANA VIFAA!!!!

Hoja yangu ni kuwa kenya al shabaab imeingia mara nyingi na kuwahumiliate ila kampala ilihappen once na toka hapo UPDF iliweza kuzima further attacks za al shabaab huko uganda ila nyie vp?? Mpaka watoto wa shule wanachinjwa kma kuku ndio unakuja kuwasifia hawa KDF

Mimi sikatai kenya ni jeshi zuri ila kwa paperwork ila tactic hamna kitu ni sawa useme man city ni best team in the world eti kisa wana pesa na wachezaji wa bei ghali sana hapa duniani!!!! That doesnt work my friend if that was the case RPf Isingeweza kuwatwanga burundi,RDC na hutu government ya rwanda at once between 1994-1999????

Kwa tactics rwanda and uganda are so far..... ndio maana al shabaab haijaweza kupenya kwenye nchi zao kirahisi kma wanavyofanya kenya!! Eti wavamie mall kubwa kma ile kigali au kampala then warudi tena wavamie chuo kikuu leave alone kulipua basi???? Not kagame or museveni that i know.....

Anyway hapa tutadebate mpaka asbuhi kma utaamua kwenda kishabiki ila ukitaka kuwa REALISTIC kwenye jeshi its all about tactics not silaha au number of manpower u have kasome case study ya hawa watu ndio utanielewa

Field marshall karl mannerheim
Marshal Von Manstein
Marshal zhukov
Marshal montgomery

Ukimaliza ndio uje hapa na hoja eti KENYA IS THE BEST BECAUDE IT HAS HIGH MILITARY BUDGET AND VIFAA THAN THE OTHER EAST AFRICAN COUNTRIES!!!!!! SMH
 
Acheni Uganda abishane n.a. Kenya hao ndio wanatambua alshabab ni nani si takataka ya congo 20th century
 
Vzr Lakini Walichukua na tuvitu kwenye tumifuko twa nailonia westgate.
 
Mkuu kwanza niradhi mie sio kabwe ni zitto junior kabwe ni zitto . Back to topic hakuna aliesema kenya ni dhaifu nilichosema kuwa kenya is better kwenye paperwork yaani wana vifaa na manpower and money kuliko all other EA armies kwani nimekataa!!!! Ila nlichosema ni kuwa tactically hawaizidi rwanda au uganda sasa hapo upumbavu wangu ukwapi??? Nmekupa mfano wa jinsi al shabaab walivyokuwa intercepted mara kibao huko uganda ssa nisiwape credit waganda kwa hilo??? Mbona inaeleweka tu kwa akili za kawaida hakuna aliye expert hapa maana sijawahi hta shika bunduki toka nmezaliwa ila nakupa my observation tu kuendana na battles ambazo zimetokea hapa EA!!!! Whether KDF imewaweza al shabaab au haijawaweza haibadilishi kuwa jeshi is abt tactics na ndio maana kenya has the highest death toll kuliko other armies zilizopo AMISOM combined!!!!! afu ndio nije kuwasifia hapa???

Lemme make it clear again Kenya is the best army basing on resources and manpower but TACTICALLY they r not the best......... so hulazimishwi kukubali till the day kenyatta amvamie museveni or kagame ndio tutapata majibu
 
una argue kijinga sana ata unatia aibu...Hivi nkuulize,uko na any millitary experience?alafu tactics unazoongelea ni gani,maana haueleweki?unazungumzia tactics za jeshi kule somali wanakopigana au kuhusu mambo ya intelligence?sasa kupenya kwa alshabaab kenya na tactics za kupigana kule somali zinashikana vipi?chambua kitu kimoja mwanzo
 
Taarifa nyingi zinazohusu ulinzi na usalama hasa idadi ya askari, vifaa, mbinu ni geresha. Taarifa sahihi ni "CLASSIFIED".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…