Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Tunapanda mahindi wenyewe na pakiwa na upungufu tunaweza kuagiza kutoka Mexico. Nyinyi hatuwahitaji sana.
Mkuu, unavyosema hivyo sijuwi unawawakilisha wakina nani! Sisi wakulima tunahitaji soko lisilo na vikwazo ili angalau bei ichangamke.
 
Huu mwaka hata wafanyakazi wa mashambani wanasumbua/wanaringa kufanya kazi. tatizo chakula kimekuwa kingi sana hakuna njaa.

Hata hili litapita. Tunashukuru ndugu zetu wakenya.
 
Wapumbavu mbona imewachukua muda mrefu hivi kubaini hili, tunawalipa mishahahara ili mtulinde, mpaka Wakenya wafe ndio leo mnasema. Sitisheni kabisa uagizaji wa haya mahindi, majirani kwa uzembe wao hawawi makini, wanavuna na kuuza tu.
 
Wapumbavu mbona imewachukua muda mrefu hivi kubaini hili, tunawalipa mishahahara ili mtulinde, mpaka Wakenya wafe ndio leo mnasema. Sitisheni kabisa uagizaji wa haya mahindi, majirani kwa uzembe wao hawawi makini, wanavuna na kuuza tu.
Kwahiyo githeri hamtokula tena?
 
Wapumbavu mbona imewachukua muda mrefu hivi kubaini hili, tunawalipa mishahahara ili mtulinde, mpaka Wakenya wafe ndio leo mnasema. Sitisheni kabisa uagizaji wa haya mahindi, majirani kwa uzembe wao hawawi makini, wanavuna na kuuza tu.
Hehehe, kwahiyo miaka yote hiyo mmekula sumu na mna mamlaka?
 
Tunapanda mahindi wenyewe na pakiwa na upungufu tunaweza kuagiza kutoka Mexico. Nyinyi hatuwahitaji sana.
Na mahindi, mtama na karanga za Kenya pia zina afla hatari...itabd muagize kila kitu from mexico..but ithink pia hili lilipaswa kuwa suala la kimkakati across EAC na si kisasa kana navyooona sasa...na maziwa yenu pia yana afla M1
 
Hehehe, kwaiyo miaka yote hiyo mmekula sumu na mna mamlaka?

Inauma, maana watu wetu wanakufa kwa saratani halafu mijinga inapokea hela ili ihakikishe ubora wa kile tunanunua kutokea kwenu huko, na kwa mlivyo wazembe mnasindika magunia tu, wala hamkai mfikirie au kutumia ubongo.
 
TFA????????????????????
Hizi mambo zinakera sana.
 
Silinilisikia juzi Kenyatta kaongea na Biden? labda ndo mwendelezo wa vikwazo ili amfurahishe beberu mwandamizi, lakini nadhani bado ni malipizo ya kulikosa bomba la Ohima maake alimshawishi sana M7 na mzee akamkataa kidesign, btw Congo na Zambia kuna soko la kufa mtu, nafikir na S.Sudan na Somalia kikubwa waache magari yetu yapite.
 
Silinilisikia juzi Kenyatta kaongea na Biden? labda ndo mwendelezo wa vikwazo ili amfurahishe beberu mwandamizi, lakini nadhani bado ni malipizo ya kulikosa bomba la Ohima maake alimshawishi sana M7 na mzee akamkataa kidesign, btw Congo na Zambia kuna soko la kufa mtu, nafikir na S.Sudan na Somalia kikubwa waache magari yetu yapite.


Zambia wana mahindi mengi ya kutosha na kupitiliza mkuu labda labda DRC
 
Inauma, maana watu wetu wanakufa kwa saratani halafu mijinga inapokea hela ili ihakikishe ubora wa kile tunanunua kutokea kwenu huko, na kwa mlivyo wazembe mnasindika magunia tu, wala hamkai mfikirie au kutumia ubongo.
We faller huna lolote na very soon mtabadili mtazamo su mfe njaa
 
Back
Top Bottom