Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imesema uchunguzi umebaini kuwa mahindi yayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa matumizi ya wakenya...
Kweni wakiacha sisi tuna shida gani? Tutakula wenyewe au tutauza nchi zingine.

Anacho hangaika nacho mKenya anajaribu kutafuta namna kwa miaka ijayo kuona kama ataongoza kwa mambo mengi ktk nchi za A. Mashariki kitu ambacho atachemka tu.

Hatutapishana hata kidogo yamkini angekua bara Ulaya.
 
Agriculture and food authority of kenya ni experts kwa hii field wewe unabisha kwa lipi?
So because a certain kenyan regulatory says so Tz must believe? Who trusts kenyan experts at the first place? Hata wewe tu huna imani with the so called experts, right?

Besides kama sio janjajanja where were they for decades mmekuwa mkila mahindi from Tanzania.

Remener you guys sorely rely on tz for grains, legumes, fruits, spices etc.
 
Hapa nakiri
Mkenya mfisadi...
Mtanzania mzembe....
Hii ndio inatuhatarisha kwetu Kenya na ndio maana mnaingia na corona mkitukoholea kwa sababu watu wetu pale mkapani mafisadi ya kijinga, huniuma sana walahi.
You funny guy nah, imagine mimi nikuuzie kitu feki halafu niwe mzembe tena?
 
Kilimo cha mahindi ukibahatika kuona haki hutokaa ule ugali hasa hasa dona,,

Ili mahidi yastawi vizuri lazima upulizie dawa (sumu) ya kuuwa viwavi jeshi zaidi ya mara mbili

Kuhifadhi pia yanatiwa sumu, simu ambayo inatakiwa iwe inabadilishwa kila baada ya miezi mitatu fikiria kama mahindi yalihifadhiwa mwaka mzima kusubiri soko liimalike yatakuwa yametiwa sumu mara nne

Nadhani hapo saratani lazima ituhusu tu sisi wa Tanzania ukijumulisha na sumu zinazotumika kukuzia mboga mboga kama nyanya, kabeji spinachi n.k
 
Duh! Na nilivyo mpenzi wa ugali dona, sasa suluhu nini, hivi kabla kusaga mahindi kuna uwezekano wa mimi kufanya jitihada za kuondoa hiyo sumu?
Nahisi kukoboa kwanza kunapunguza sumu mkuu japo inaweza kubakia ila ni kidogo hivyo sembe inaweza kuwa salama kidogo
 
Tunapanda mahindi wenyewe na pakiwa na upungufu tunaweza kuagiza kutoka Mexico. Nyinyi hatuwahitaji sana.
Ha ha ha,naona watanzania wamejigeuza kuwa wakenya ,sawa agizeni kutoka mexico ila principle za uchumi zitawanyoosha tu, kuingia gharama kwa sababu ya wivu wa kike itawagharimu wananchi wenu
 
Unauhakika kwa hilo, sio kila unachoambiawa unakubalitu.
Wakenya sio watu wa kuaminika moja kwa moja, hawatutakii Mena hao viumbe.
Yawezaikawa kweli au mbinu za kimkakati tu
Nikweli kabisa

Inaweza kua kweli au ni vita vya kiuchumi ....mpaka kenya waban kitu kinacho wafanya waishi basi jua wamesha pata plan B....
 
Ukiskia maskini jeuri ndio huyu

Home njaa kali afu anasusa mwindi

Unasusa? Susaaaaa
 
Nahisi kukoboa kwanza kunapunguza sumu mkuu japo inaweza kubakia ila ni kidogo hivyo sembe inaweza kuwa salama kidogo
Mkuu achana na wivu wa kike wa wakenya, mahindi yetu ni mazuri mno,mahindi kama ya katavi,ruvuma,rukwa yana quality zuri kweli, hata hivyo nchi zinazotunguka karibia zote wanahitaji mahindi yetu, wakenya wana jambo lao
 
Nikweli kabisa

Inaweza kua kweli au ni vita vya kiuchumi ....mpaka kenya waban kitu kinacho wafanya waishi basi jua wamesha pata plan B....
Hawana plan B hawa, Kenya ni kati ya serikali za hovyo sana na zenye rushwa iliyokomaa kuanzia kwenye mizizi ya wakikuyu,
Mahindi yataendelea kuuzwa Kenya kama kawaida.
 
Kenyans huwa wananifurahisha sana, bidhaa zao zinapatikana zinapatikana na sumu huko soko la EU alafu wanazirudisha kwenye local markets wanatafuna tu, jejejejeje, wanatafuta angle ya mafarakano ya kidiplomasia tu lkn nafikir hawana jipya, na ninafikir Kenya ina uadui na nchi nyingi zaidi kuliko Tz kwa sbb mbili kuu 1. Kunyenyekea kuliko pitiliza kwa hao mabeberu na matajiri wa uarabuni alafu wanapigwa shits za kufa mtu huko yaani they are taken for granted sana tu huko mbele 2. wanajiona superiors kwa majirani zao sijui kwa kipi zaidi lkn nafikir kwa sbb wanajua kuongea kimombo zaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu na sie tunawaona ma-vi tu gani hayooo

My take: punguzeni kiburi cha uzima majirani, kama chanjo mmemeza msijue kwamba humo kwenye chanjo kuna nini, yaani kana kwamba hamna maabara? chanjo inafika leo kesho mmetumia, hata kuipima tu mnashindwa? Lol.. yaani mmewaabudu wazungu kupita kiasi majirani. Alafu kwenye mahindi ya Uganda na Tanzania ndio mna experts et[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]





Screenshot_20210306-083538.jpg
 
Wakenya ni wasenge ila ni kweli kabisa sisi tunagifadhi mahindi kwa sumu wale wapenda dona kuweni makini.
Sumu inyozungumzwa hapa sio pesticides au za kuhifadhia mahindi, ile ni volatile na hazina Madhara kiasi hicho

Sumu inayozungumzwa hapa ni aflatoxin inayozaliswa na fungus ikiwa mahindi hayakukaushwa vizuri, hayakuwa treated au yamekuwa contaminated na hao fungus wakati wa storage au transportation.
 
Back
Top Bottom