joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wanayapitisha wapi hayo mahindi ya Zambia?, mbona hatuoni yakipita Tanzania au wanasafirisha kwa ndege?Siyo kweli, Wakenya waliacha kitambo kutegemea mahindi ya Tz wakawa wanachukua Zambia, toka hapo bei yetu ikaporomoka kutoka 1000/kg mpaka 300[emoji22]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app