Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Umenena kweli kabisa. Serikali yetu ilifanya kuna kipindi ilikosea sana, yaani maafisa kilimo wale wa mpaka vijijini waliondolewa, kwa sehemu kubwa kwa sababu ya maslahi binafsi ya wanasiasa wachache, so wakulima wameendelea kulima with no utalaamu na uhifadhi na matokeo yake ndiyo hayo.

Wewe cheki tu hata Tanzania, yaani cancer mpaka vijijini, kuna hiki kituo cha ufafiti ya kilimo ukiwatembelea hakika utaacha kula ugali. Mimi tangu nijue hilo nilishaacha kula ugali wa mahindi ni muhogo kwenda mbele.

Nadhani wizara ya kilimo waweke mkakati maalumu, wawarejeshe au waajiri maafisa kilimo waende vijijini wasaidie wananchi namna ya kuvuna na kuhifadhi chakula. Yaani hata kwenye maghala yetu ni tatizo.

Kuna jamaa yangu mzigo wake wa tani moja ya karanga ulizuiliwa kuingia UK, ikabidi urudi bongo na kuuteketeza.
Yapoje kwani mkuu hayo mahindi? Tudadavulie
 
Yapoje kwani mkuu hayo mahindi? Tudadavulie
Mkuu kuna kitu kinaitwa sumu kuvu, ni hatari sana. Waambie kama una ndugu kijijini wakikuta mahindi yameweka ukungu wasile kabisa watupe, yaani yakikauka yanakuwa na rangi kama ukungu au rangi inabadilika, siyo chakula hayo. Wengi wamekufa huko vijijini. Kibaya wazungu walituletea hizo mbegu, zamani ilikuwa ukivuna mahindi mbegu unaweka nowdays eti unaenda kununua. kenya walichokifanya ni sahihi kabisa wala siyo ugomvi, let us put together our house before condeming others, tunapaswa kuchukua hatua kwa hilo la sivyo kizazi kinaangamia. Wewe kama unajifanya kula eti ugali, my friend your life is at danger. Kula ndizi au muhogo, safe safe ndizi, viazi etc
 
Wabongo watu wakushangaza kweli, kila siku wanatutishia humu eti wataacha kutuuzia mahindi. Sahii tumekataa mahindi yao ndio hawa wanalalamika na kulialia. 🤣 🤣 🤣
 
Ifike mda sisi watanzania tubadilike.Sisi tumekua na bidhaa nyingi ambazo sio bora.Kenya wenzetu bidhaa zao nyingi kwa kweli ziko poa sana ww nenda hata supermarket vitu vingi vya kenya vina ubora.Mimi km mtanzania naona tuanze kubadilika tuboreshe bidhaa zetu pia wao kutusema ni moja ya changamoto ktk biashara .Kwani km kweli hayo mahindi yana hiyo sumu si hata sisi watanzania waetusaidia kuepuka vifo vinavosababishwa na kansa.
 
..Watanzania wenzangu tuzingatie kanuni hizi tatu.

1.GDP ya Kenya ni kubwa kuliko ya Tanzania.
2.The Customer is always right.
3.Tajiri au mwenye pesa hanuniwi.

..Tukielewa kanuni hizo tatu hapo juu hatutapata shida ku-deal na ndugu zetu wa Kenya.
Wala hawatokusikiza ,Wala haitatokea wakafaulu kibiashara.
 
Siyo kweli, Wakenya waliacha kitambo kutegemea mahindi ya Tz wakawa wanachukua Zambia, toka hapo bei yetu ikaporomoka kutoka 1000/kg mpaka 300[emoji22]
Vitisho na ubabe wa Magufuli unawaumiza wakulima wa Tanzania. Kila mara mimi huambia watanzania humu the buyer is the boss hawasikii. Wao zao ni kujidai eti wanatulisha eti wakiacha kutuuzia tutakufa njaa. Ona sasa. Wengi humu hawaelewi economics kabisa.
 
..sasa tangu jana asome hizo taarifa kwenye mitandao kwanini hajamtafuta waziri wa kilimo au biashara wa kenya kutatua suala hili?

..Mheshimiwa Bashe anafanya nini hapo mpakani? Inatusaidia nini Watanzania kujua kwamba serikali yetu haijapokea taarifa rasmi toka Kenya?

..Watanzania tunataka kuuza mahindi yetu Kenya, kwa hiyo viongozi wetu wanatakiwa kuwasiliana haraka sana na viongozi wa Kenya ili zuio hili liondolewe.
 
hawa nao ni mabingwa wa kuanzisha vita wasiyoweza kupigana.

africa nzima tunaweza kuwatenga kwa upuuzi wao.
ndio maana imeanza kupitwa pitwa kiuchumi kizembe sababu ya ujinga ujinga huu.
Nani katupita kiuchumi? Angola iliyokua mbele yetu, tumeipiku. Morocco tumeikaribia. Ethiopia iliyokuwa mbele yetu, tumeipiku. Wacha bangi. 🤣 🤣 🤣
 
What is the capacity of your local farmers, provided that ugali is a staple food to Majority of you Kenyans,
By the way, bei ya gunia la mahindi kwa mkulima 100kg Tz ni 2500-3500ksh depending with the season,
Hiyo 700ksh Labda Uganda.
From what I know Kenya will always need maize from Tz and UG.
We don't need maize from Ug and Tz, we need maize and we can get it from wherever we choose. Ndio maana mnalialia. 🤣 🤣
 
So because a certain kenyan regulatory says so Tz must believe? Who trusts kenyan experts at the first place? Hata wewe tu huna imani with the so called experts, right?

Besides kama sio janjajanja where were they for decades mmekuwa mkila mahindi from Tanzania.

Remener you guys sorely rely on tz for grains, legumes, fruits, spices etc.
Wewe uliacha akili kwa kibeti ama huna? The authority is speaking for Kenyans, not Tanzanians. Tanzanians are free to eat the maize if they wish to otherwise Kenyans won't or did you expect Kenyans to rely on Tanzanian authority?

Secondly, we don't rely on your grains, we buy your grains and we can choose to buy elsewhere if we wished. It is due to good neighborliness we buy from you. If we relied on you, you wouldn't be complaining this much. Your minister of Agriculture wouldn't rush to Namanga just by hearing on social media that Kenya is rejecting your maize. We are your bosses here, not the other way round.
 
Hakuna sumu yeyote, mahindi yenyewe hata mbolea ya viwandani hayatumii, sumu itoke wapi

Sababunya kishamba, siku wakiwa na njaa utasikia wanalilia Tanzania ipeleke mahindi, wakiwa na njaa sumu inakimbia?
Siku Kenya italilia mahindi kutoka Tanzania niambie nikutumia thao tano.
 
Even a Broken Clock is Right twice a Day....

Kwahio sio mbaya tukafanya uchunguzi zaidi kwa manufaa ya raia wetu..., si kuna log za mizigo fulani fulani na sehemu yalipotoka sio vibaya kama wakazunguka kwa hao wakulima baadhi na kuangali labda kuna some pesticides wanatumia au tatizo lipo wapi...

Ndio maana nikasema waKenya washirikishwe ili kuona / kubaini hao unaowaita watia sumu ili nao washughulikiwe...., sababu maharamia ni maharamia tu no matter kama ni wananchi wenzako au majirani zako.... When its Profit at All Costs..., Human Lives plays a Second Fiddle....

Pia inawezekana mizigo kabla ya kuondoka hapa sampuli zipimwe na sample ipelekwe kule..., hili sio tatizo la Afrika tu...., Amini nakwambia tunalishwa makapi sio ya kawaida...
Kwan wao walitushirikisha mkuu?
 
Kwan wao walitushirikisha mkuu?
Hivi jirani yako kama ni mchawi akikwambia kwako kuna panya amewaona utapuuzia sababu ni mchawi au utamuuliza amewaona wapi ili mosi kama ni mwongo umshauri ajirekebishe na kama ni kweli utafute paka ?

Tatizo mambo yamekuwa so politized tunasahau kwamba when all is said and done we are just humans dependent on each other..., Kwahio kabla ya chochote kile ni kujua authenticity ya habari husika
 
the real issue hapa ni kama kweli mahindi kutoka uganda na Tanzania zina level ya juu ya hizi mycotoxins....tuache hizi shallow minds kuona kila kitu ni vita. In civilized societies matters health wanazichukulia serious sana
Miaka mingapi wameagiza mahindi toka Tz na tulivyowapiga ban wakalia sana....sasa wamepata toka Mexico ndo wanajidai ya Tz yana sumu
 
Mwaka gani mlituban tukalia? Acheni kuwaskiza wanasiasa sana. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Tanzania ni masikini jeuri, huwa tunanyamaza pumbavu anadhani basi yeye ni mbabe[emoji23][emoji23], hatupigani na ngurue kwa matope, tuna mpembeleza kisha tuna mkula.[emoji23][emoji23][emoji23].,
 
Back
Top Bottom