Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

IMG-20210306-WA0056.jpg

Katika hili soo la mahindi Kenya wametuchokoza kibiashara.

Ati mahindi ya Tanzania yana sumu ya uoto- Aflotoxins yaweza kuwa kweli lakini lilivyotumika inaelekea kuna kitu nyuma ya pazia.
Shirika tu haliwezi kuzuia biashara kati ya Kenya na Tanzania.

Kwa mtaji huo sasa, kama shirika tu laweza simamisha biashara kati ya mataifa, nawahimiza TANROADS WAZUIE YALE MAGARI MAZITO YA KENYA ,TOKA ZAMBIA ,YANAYO HARIBU BARABARA ZETU.
 
View attachment 1718846
Katika hili soo la mahindi Kenya wametuchokoza kibiashara.

Ati mahindi ya Tanzania yana sumu ya uoto- Aflotoxins yaweza kuwa kweli lakini lilivyotumika inaelekea kuna kitu nyuma ya pazia.
Shirika tu haliwezi kuzuia biashara kati ya Kenya na Tanzania.

Kwa mtaji huo sasa, kama shirika tu laweza simamisha biashara kati ya mataifa, nawahimiza TANROADS WAZUIE YALE MAGARI MAZITO YA KENYA ,TOKA ZAMBIA ,YANAYO HARIBU BARABARA ZETU.
Endeleeni kuchoma vifaranga vyao
 
Tunapanda mahindi wenyewe na pakiwa na upungufu tunaweza kuagiza kutoka Mexico. Nyinyi hatuwahitaji sana.
Nunueni kutoka mexico kisha mtakosa nguvu za kiume tutakuja kwazalishia wake zenu.
Kwani shida iko wapi?
 
Wewe uliacha akili kwa kibeti ama huna? The authority is speaking for Kenyans, not Tanzanians. Tanzanians are free to eat the maize if they wish to otherwise Kenyans won't or did you expect Kenyans to rely on Tanzanian authority?

Secondly, we don't rely on your grains, we buy your grains and we can choose to buy elsewhere if we wished. It is due to good neighborliness we buy from you. If we relied on you, you wouldn't be complaining this much. Your minister of Agriculture wouldn't rush to Namanga just by hearing on social media that Kenya is rejecting your maize. We are your bosses here, not the other way round.
Hey buda, Hakuna kitu kama hatutaki mahindi yenu and all nonsense, it's about fair trade..
If your corrupt authorities try to play protectionism please be reminded that Tz is your inevitable market for lots of Kenyan products.. kama na Authorities za Tz zikisema hatutaki bidhaa hizi na hizi toka Kenya sababu hazina standards you'll see how things coming around.
 
Hey buda, Hakuna kitu kama hatutaki mahindi yenu and all nonsense, it's about fair trade..
If your corrupt authorities try to play protectionism please be reminded that Tz is your inevitable market for lots of Kenyan products.. kama na Authorities za Tz zikisema hatutaki bidhaa hizi na hizi toka Kenya sababu hazina standards you'll see how things coming around.
Boss, unataka tule mahindi yenye sumu ndio nini ifanyike? At least hatujayachoma kama mlivyochoma vifaranga alafu munalialia. Umesahau mlipokataa peremende za Kenya? Mnajifanya mnatulisha alafu kitu kidogo kama hiki kinawatia wasiwasi? Najua mnaumia jinsi Bei ya bidhaa ilivyoporomoka tulivyoanza kuagiza mahindi Zambia. Ambieni Magu aache ubabe kwa biashara. Ni nyinyi mnaoumia.
 
Umenena kweli kabisa. Serikali yetu ilifanya kuna kipindi ilikosea sana, yaani maafisa kilimo wale wa mpaka vijijini waliondolewa, kwa sehemu kubwa kwa sababu ya maslahi binafsi ya wanasiasa wachache, so wakulima wameendelea kulima with no utalaamu na uhifadhi na matokeo yake ndiyo hayo.

Wewe cheki tu hata Tanzania, yaani cancer mpaka vijijini, kuna hiki kituo cha ufafiti ya kilimo ukiwatembelea hakika utaacha kula ugali. Mimi tangu nijue hilo nilishaacha kula ugali wa mahindi ni muhogo kwenda mbele.

Nadhani wizara ya kilimo waweke mkakati maalumu, wawarejeshe au waajiri maafisa kilimo waende vijijini wasaidie wananchi namna ya kuvuna na kuhifadhi chakula. Yaani hata kwenye maghala yetu ni tatizo.

Kuna jamaa yangu mzigo wake wa tani moja ya karanga ulizuiliwa kuingia UK, ikabidi urudi bongo na kuuteketeza.
Mkuu mbona hamjawahi hata kutuanzishia thread,yaani hao watafiti wametuacha tunakufa kimya kimya kumbe wanajua?

Bora umejifungae macho napunguza kula mahindi la sivyo nachanganya na muhogo au mtama maana umetutisha boss
 
Kwanza njugu huwa ina aflatoxin sana hata kushinda mahindi ikiwa hutoihifadhi kwa njia inayostahili. Halafu wazungu wakipima wapate aflatoxin hata kidogo tu basi mzigo wako unakataliwa.
Njugu ndio nini mkuu
 
Siyo kweli, Wakenya waliacha kitambo kutegemea mahindi ya Tz wakawa wanachukua Zambia, toka hapo bei yetu ikaporomoka kutoka 1000/kg mpaka 300[emoji22]
Na huu ndio ukweli mahindi ya mwaka Jana Bado yamejaa kwenye mastoo na msimu mpya umefika,nilidhani serikali ilizuia kuuza mahindi nje kumbe biashara ilikuwa inaendelea ila soko ndio limedoda

Mwaka huu mahindi ni mengi kuzidi mwaka Jana sasa sijui wakulima watafanya nini

Ifike mahali serikali ihimize utunzaji bora na kilimo bora cha Mazao ya nataka Ili kujihakikishia soko la kimataifa la sivyo umaskini utaenda kutamalaki
 
Silinilisikia juzi Kenyatta kaongea na Biden? labda ndo mwendelezo wa vikwazo ili amfurahishe beberu mwandamizi, lakini nadhani bado ni malipizo ya kulikosa bomba la Ohima maake alimshawishi sana M7 na mzee akamkataa kidesign, btw Congo na Zambia kuna soko la kufa mtu, nafikir na S.Sudan na Somalia kikubwa waache magari yetu yapite.
Wewe hakuna unapolima unakisemesha tuu,kama Kongo kuna soko zuri mahindi yamejaa nchini kwa nini yasiende huko? Huu mwezi hunia ni 35,000-40,000 kwa Rukwa hapa na ni mpakani na Congo na msimu wa mavuno unaanza tena inamaana mahindi mwaka huu yatauzwa sh.20,000-25,000 kwa gunia,umaskini utatamalaki hatari.

Nilipanga kununua mahindi sinunui tena bora nikomae na mpunga tuu
 
My response copied from Nai Dar battle;

Biashara ya mahindi naelewa, wanabiashara wa Tz na Uganda they don't dry maize sufficiently, hata ukinunua from their farmers directly then ukienda kuuza direct kwa millars ama serials board Kenya bila kukausha tena, yakipimwa levels za aflatoxins huwa juu, zaidi ya viwango, people give bribes ili mahindi yachukuliwe, wakenya ndio wanatangeneza pesa zaidi kutoka kwa mahindi ya Tz na Ug.

Wakulima wao ni fukara wa hand to mouth hawana ability ya kufunya biashara Kenya, hapa sana sana ni middlemen na cartels wa kenya na Tz ndio wamefungiwa, pia ni tactic ya kukomboa mkulima wa Kenya kutokana na wanabiashara wajanja wa Kenya who buys cheap maize from Uganda Tanzania and sell slightly cheaper than market price, wana angusha bei, not Tanzania, na bado itaingia kimagendo Kama kawaida, especially from Uganda, gunia moja unapata na Ksh 700 to 1k from poor farmers.

Kenya market price ni Ksh 2500 to Ksh3500, inategemea na season. Good deal. Ubepari, mwenye nguvu mpishe. Hapa watanzania are reading politics, but ni economics tu, effects za capitalism kwa mnyonge, inabidi serikali imzingire mkulima from aggressiveness ya wanaojituma. Watanzania na Waganda wangekua wajanja wangekua mbali, but unfortunately hawana frame.

Mahindi itaingia tu bado, if you've ever been around the borders uone vile biashara inafanywa utaelewa. Naona mitanzania humu wenye blind patriotism wakimwaga povu bila kufikiria ama kuelewa economics behind hii biashara ya mahindi.[emoji28][emoji23][emoji23]
Lakini serikali inajua Sana uwepo wa hii wanaita sumu kuvu ndio maana wamejenga mavihenge yao Ili isaidie kukausha na kuyahifadhi bahati mbaya serikali huwa inanunua kiwango kidogo Sana
 
Back
Top Bottom