Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

Subirini siku mkivileta vifaranga vyienu vya kuku hapa Namanga.Tutavichoma moto hadi kwenye makalio.
 
Kenya wanavisa sana si ndio wametuletea na Nzige ila tunashukuru serikali ya Awamu ya 5 kupitia kwa PM Majaliwa tumewatokomeza.
 
Ashakum si matusi, ila itabidi niwaite wapumbavu nyie mnaotupia porojo zenu za kipumba dhidi ya maamuzi haya ya nchi ya Kenya. Maanake upumbavu wenu huo ni sawa na kuona sifa kwamba nyinyi wenyewe mnatumia mahindi hayo hayo ambavyo yana aflatoxin. Mahindi ambayo yatazidi kuwaangamiza wengi kwa ugonjwa hatari wa kansa.
 
Even a Broken Clock is Right twice a Day....

Kwahio sio mbaya tukafanya uchunguzi zaidi kwa manufaa ya raia wetu..., si kuna log za mizigo fulani fulani na sehemu yalipotoka sio vibaya kama wakazunguka kwa hao wakulima baadhi na kuangali labda kuna some pesticides wanatumia au tatizo lipo wapi...

Ndio maana nikasema waKenya washirikishwe ili kuona / kubaini hao unaowaita watia sumu ili nao washughulikiwe...., sababu maharamia ni maharamia tu no matter kama ni wananchi wenzako au majirani zako.... When its Profit at All Costs..., Human Lives plays a Second Fiddle....

Pia inawezekana mizigo kabla ya kuondoka hapa sampuli zipimwe na sample ipelekwe kule..., hili sio tatizo la Afrika tu...., Amini nakwambia tunalishwa makapi sio ya kawaida...

No! A broken clock is good for nothing!

Hayo yote mbona yamefanyika!??? Kenya hasa never been our loyal ally tangu afunge ndoa na London &Washington
 
Ni wakati wa kuujenga ukuta ktk boda ya Tanga bahari ya hindi hadi shirati ktk ziwa victoria ili tusiingialiane kabisa.Nazani itifaki itazingatiwa.Sawa mk24?
 
mkuu acha tu, humu nimegundua kuna watu wanachangia ila hawajui hata shamba kukoje....!


sisi tunaolima ndio tunajua upepo unavoenda, mfano saizi angalia mpunga umedoda huko kwenye maghala alafu anakuja mjinga na blah blah zake!
Kuna Ndama mmoja hapo juu kaandika ujinga mtupu anadai Zimbabwe na SA ndio watumiaji wakubwa wa mahindi yetu. Mimi nilishakaa Zimbabwe kabla ya yule kichaa Mugabe hajaharibu nchi. Jamaa wanalima aisee tena walikuwa na mbegu inaitwa SASAKAWA GLOBAL 2000 shina moja la muhindi linabeba watoto wanne. Jamaa wale wazungu walilima wakawa wanalisha Afrika. Sisi tunajidanganya na siasa zetu za mapambio. Akamuulize Summry mahindi yanavyomdodea. Kuna sehemu mchele ni shilingi 900 mpaka muda huu. China anataka sana muhogo tunachezacheza tu Zambia kachukua hiyo kazi.
 
Kenya wanavisa sana si ndio wametuletea na Nzige ila tunashukuru serikali ya Awamu ya 5 kupitia kwa PM Majaliwa tumewatokomeza.
Hivyo ndio Jiwe lenu limewaaminisha? Kwamba Kenya ndio wamewaletea nzige? Mna ushamba mwingi sana nyie viumbe. Nzige waliingia Kenya kutoka Somalia na Ethiopia. Kabla ya kuingia Somalia walifika Yemen baada ya kuvuka mpaka kutoka jangwani Saudi Arabia.
 
Ila batu bakenya bakishakunywa chang'aa banakuwa na maamuzi ba kibee sana na porojo ba mingi mno.
 
Hivyo ndio Jiwe lenu limewaaminisha? Kwamba Kenya ndio wamewaletea nzige? Mna ushamba mwingi sana nyie viumbe. Nzige waliingia Kenya kutoka Somalia na Ethiopia. Kabla ya kuingia Somalia walifika Yemen baada ya kuvuka mpaka kutoka jangwani Saudi Arabia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tuachie Mutu Kufu wetu
 
Kuna Ndama mmoja hapo juu kaandika ujinga mtupu anadai Zimbabwe na SA ndio watumiaji wakubwa wa mahindi yetu. Mimi nilishakaa Zimbabwe kabla ya yule kichaa Mugabe hajaharibu nchi. Jamaa wanalima aisee tena walikuwa na mbegu inaitwa SASAKAWA GLOBAL 2000 shina moja la muhindi linabeba watoto wanne. Jamaa wale wazungu walilima wakawa wanalisha Afrika. Sisi tunajidanganya na siasa zetu za mapambio. Akamuulize Summry mahindi yanavyomdodea. Kuna sehemu mchele ni shilingi 900 mpaka muda huu. China anataka sana muhogo tunachezacheza tu Zambia kachukua hiyo kazi.
tuwasamehe tu...... hii nchi ingekua na viongozi wanaojua majukumu yao tusingekua hapa!
 
tuwasamehe tu...... hii nchi ingekua na viongozi wanaojua majukumu yao tusingekua hapa!
Tungegawanya kikanda katika kilimo na kuacha CCM na ulafi wetu tungekuwa mbali sana tena hasa. Nyerere na maovu yake ila alijiyahidi. Hivi Big 5 bado ipo
 
Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imesema uchunguzi umebaini kuwa mahindi yayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa matumizi ya wakenya

Wamesema mahindi hayo yana kiwango kikubwa cha mycotoxins, hasa aflatoxins na fumonisins ambazo yanajulikana kusababisha saratani

Sumu hizo zimesababisha vifo vya wakenya wengi kwa miaka, hali iliyosababisha wachukua hatua ya kuacha kupokea mahindi kutoka Tanzania na Uganda

Aidha wamesema wataendelea kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na nchi wazoshirikiana nazo kibiashara na wanasubiri kuona washikadau wakilizungumzia tatizo hilo
==
View attachment 1718222
Nahisi k inatuwiwa na beberu hivi
 
Tungegawanya kikanda katika kilimo na kuacha CCM na ulafi wetu tungekuwa mbali sana tena hasa. Nyerere na maovu yake ila alijiyahidi. Hivi Big 5 bado ipo
sidhani kama bado ipo hiyo big 5......


ila kugawa kikanda haitasaidia maana shida ni mindset za watawala wetu na wenye mamlaka,


ndio utazalisha sana mazao, then mtapeleka kuuza wapi wakati kuuza nje lazima uwe na kampuni, na hapa kwetu kuanzisha kampuni urasimu wake utaona bora uendelee kulima kienyeji tu!
 
sidhani kama bado ipo hiyo big 5......


ila kugawa kikanda haitasaidia maana shida ni mindset za watawala wetu na wenye mamlaka,


ndio utazalisha sana mazao, then mtapeleka kuuza wapi wakati kuuza nje lazima uwe na kampuni, na hapa kwetu kuanzisha kampuni urasimu wake utaona bora uendelee kulima kienyeji tu!
Kitendo cha kuua NMC na GAPEX nikajua sasa hakuna kitu. Huyu wakala wa chakula ni hovyo kbs.
 
Wapumbavu mbona imewachukua muda mrefu hivi kubaini hili, tunawalipa mishahahara ili mtulinde, mpaka Wakenya wafe ndio leo mnasema. Sitisheni kabisa uagizaji wa haya mahindi, majirani kwa uzembe wao hawawi makini, wanavuna na kuuza tu.
Nyie ndio wapumbavu na malazy wakubwa,ardhi yote yenye rutuba tuliyobarikiwa afrika lakini kwa undezi wenu mnategemea chakula cha kununua na aibu zaidi karne ya 21 bado mnaomba hadi misaada ya chakula,mahindi haya haya mnayodai yana sumu kama mkipewa msaada kutoka america pamoja na sumu yake mngekuja kuanzisha thread ya kujitapa,hata ethiopia iliishaachaga mambo ya kuomba misaada ya chakula
 

Attachments

  • 2706444_K.jpg
    2706444_K.jpg
    63.8 KB · Views: 1
Tatzo lpo kwa wakenya wenyewe mahindi huwa wananunua mahindi kutoka kwetu yapo vzuri kabsa yakifika kwao huwa wanatia maji ilikuongeza uzito tatzo ndpo ninaanzia hapo

Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
 
Nyie ndio wapumbavu na malazy wakubwa,ardhi yote yenye rutuba tuliyobarikiwa afrika lakini kwa undezi wenu mnategemea chakula cha kununua na aibu zaidi karne ya 21 bado mnaomba hadi misaada ya chakula,mahindi haya haya mnayodai yana sumu kama mkipewa msaada kutoka america pamoja na sumu yake mngekuja kuanzisha thread ya kujitapa,hata ethiopia iliishaachaga mambo ya kuomba misaada ya chakula
Inaogopesha sana, hawa watu ni ombaomba wa viwango vya juu sana, yule k ana matatizo sana.
 
Nyie ndio wapumbavu na malazy wakubwa,ardhi yote yenye rutuba tuliyobarikiwa afrika lakini kwa undezi wenu mnategemea chakula cha kununua na aibu zaidi karne ya 21 bado mnaomba hadi misaada ya chakula,mahindi haya haya mnayodai yana sumu kama mkipewa msaada kutoka america pamoja na sumu yake mngekuja kuanzisha thread ya kujitapa,hata ethiopia iliishaachaga mambo ya kuomba misaada ya chakula

Jeuri ya hela ndio husababisha tuagize mahindi wapi, lini na kwa nani na yawe ya kiwango gani, hivyo tumewashtukia wazembe mnaosindika tu bila kujali ubora, sasa mtayakula wenyewe huko, hela tunazo za kuagiza popote duniani.
 
Back
Top Bottom