Kenya Yazindua Reli yake iliyojengwa na China

Kenya Yazindua Reli yake iliyojengwa na China

We jamaa una kichwa kizito kishenzi kuelewa!!! Hivi umeambiwa mizigo ya Zambia na Malawi au umeambiwa Wachina wana projects za bandari sehemu kadhaa Afrika kwa ajili ya ku-facilitate biashara zao?!

Hebu rudia kusoma hapa:Halafu ona tena unavyoropoka!! Umeambiwa bandari ya Tanga haiwezi kuchangia mapato au umeambiwa suala la bomba la mafuta kupita Tanga lilikuja by chance baada ya Total kushituka dakika za mwisho kutumia Mombasa? Again, soma tena hapa:
Wapi nimezungumzia suala la bandari ya Tanga kuingiza kipato kidogo au kikubwa?

Hilo suala la Bandari Huru ya Zanzibar na Muungano wapi na wapi?! Umeambiwa bandari ni suala la muungano?!

Angalia kiroja chako kingine! Eti mbona sijazungumzia suala la bandari ya Mtwara! Ulitaka nizungumzie kitu ambacho hakikuwa sehemu ya mjadala??!! Kama ni mara yako ya kwanza kuingia kwenye mijadala ya bandari; kwangu mimi nishafanya hiyo mijadala mara kadhaa na ndio maana wala sikuona sababu ya kufungua hyo link uliyoweka kwa sababu hakuna cha maana utakachoniambia ambacho sikifahamu!! Ikiwa unachanganya madesa kwa mambo yaliyo wazi kabisa hayo yaliyojificha sijui utajadili vipi!!!

Investment projects ni topic of my interest!! Nishajadili sana humu jamvini masuala ya bandari, reli, madini na gas na kwa kawaida, huwa siongei kabla ya kufanya utafiti!!!

Hata suala la bandari ya Mtwara nishawahi kulijadili hapa mara kibao tu siku za nyuma! Post yangu ya karibuni kabisa kuhusu bandari ya Mtwara ni ile ya February 19! Hii hapa:Hapo nilizungumzia bandari ya Mtwara kwa sababu hoja ilihusu bandari ya Mtwara!!

Hapa hoja ni bandari ya Bagamoyo we unataka nizungumzie bandari ya Mtwara... wapi na wapi! Ndo maana nikakuambia unaleta siasa!!

Unaleta siasa kwa sababu unahangaika kuonesha nini serikali inafanya na matokeo yake; unachanganya madesa! Unaambiwa biashara za Wachina, wewe unaleta habari za copper ya Zambia! Unaambiwa kutakuwa na impact ndogo kwenye ujenzi wewe unaleta habari za kuingiza kipato!!!

Soma uelewe kabla hujakurupuka ku-comment!!!
Hivi unashindwa kujieleza bila kutukana mtu, kichwa changu kikiwa kizito au chepesi kina kusaidia nini.

Unanishangaza sana kuona unasema mijadala ya bandari unaijuwa na unashindwa kuona kwanini Total walichaguwa bandari ya Tanga na kuiacha Mombasa. Kama umeshindwa kufunguwa link kwa kuogopa ukweli basi pitia hata comment zangu za zamani uone nilivyojadiliana na wakenya hapa JF kuhusu swala zima la bandari ya Tanga Vs bandari za Kenya.

Tanga ilichaguliwa kutokana na geographic location yake. Bandari ya Tanga inakingwa na visiwa vya Pemba na Unguja kutokana na mawimbi makali ya kipindi cha mvua za monsoon zinazo toka mashatiki ya mbali. Bandari ya Tanga ina uhakika wa kuweza kupokea meli mwaka mzima na majira yote. Rais Museven mwenyewe na Total walikataa kwenda Mombasa kwasababu wangekuwa na uhakika wa miezi tisa tu ya kupakia mafuta yao kinyume na bandari ya Tanga inayotoa uhakika wa miezi yote kumi na mbili. Najuwa hupemdi kusoma link labda nikuwekee picha ya hayo maneno.
b1161cb569a679230ea9ffdeec8cd69c.jpg


Kama wewe mjadili mkubwa wa hayo mambo ungelijuwa hili na kulitamka. Katika kanda hii ya Afrika Mashariki, ni Tanzania na Djibouti tu ndio wanabadari iliyo na maji yalio tulia. Wengine wote Kenya, Somalia, Mozambique wana mabahari yenye dhoruba na mushkeli ya hali mbaya ya hewa.

Unag'ang'ania kuwa wakenya wanakimbili kuchukuwa fursa hapa Afrika Mashariki, lakini hutaki kusema kwa gharama gani. Are they really getting value for money. Sijawai kuona mfanyabiashara ananunua bidhaa na kujaza duka bila kuwa na uhakika kama alichonacho kitauzika. Hivyo ndivyo wakenya wanavyofanya hivi sasa, no consensus kama bidhaa wanazo ziweka dukani zitanunulika au la, na reli ikiwa ni moja ya hizo bidhaa. Lamu port inategemea sana Ethiopia na South Sudan huku nchi hizo zinajiweka mkao wakula na Djibouti.

Narudia kule nilikoanza, niliweka badari zote hapa Tanzania pamoja na Mtwara kuonyesha fursa zilizokuwepo, na kwanini hatutaki kukimbilia mikopo isiyokuwa na mbele wala nyuma ilimradi na sisi tuonekane tupo. Hivi unajuwa na sisi Tanzania tuna mafuta yanayosubiri kuthibitishwa, Congo na wao wanayo wanasubiri kuthibitishwa na kukubaliana na Uganda ili waanze kuyavuna na kuyapitisha Tanga. Sasa ukisema mafuta hayataleta revenue kubwa kwanini nchi zinaigia gharama kubwa kujenga mtandao wakuwezesha biashara hiyo kufanyika?? Hivi unajuwa hata watu wangapi wataajiriwa kwenye mradi huo, au supporting companies ngapi zitaanza kutokana na mradi huo?

Sasa ukija kwenye badari ya Bagamoyo, unasema ulijadili, what was the conclusion of that discussion??. Kwanini hiyo bandari haijajengwa mpaka leo?? Ndio maana nikwambia hatuwezi kuwa ndio mzee kwa wachina kila siku huku tunawauza wajukuu zetu kwa bila kujiangalia kwenye kioo. Bagamoyo is still ongoing project lakini striking points ndio zinakwamisha, na sitaki kuingia kiundani kwasababu majadiliamo bado yanaendekea.
 
Hivi unashindwa kujieleza bila kutukana mtu, kichwa changu kikiwa kizito au chepesi kina kusaidia nini.
Ukishaanza kutumia lugha zisizo za kiungwana; usilalamike ukijibiwa kwa lugha zisizo za kiungwana! Kumbuka post yangu ya kwanza kabisa nilimjibu mtu mwingine kabisa lakini wewe ukaibuka from nowhere na kuniambia:
Hii ni ndoto ya mchana au sijuwi miseme usiku. Kwahiyo unatuaminisha shaba ya Zambia itabebwa juu mpaka badari ya Mombasa au Lamu
Umeniona mpumbavu hadi nitake kuaminisha watu kwamba shaba itabebwa kichwani?!
Unanishangaza sana kuona unasema mijadala ya bandari unaijuwa na unashindwa kuona kwanini Total walichaguwa bandari ya Tanga na kuiacha Mombasa. Kama umeshindwa kufunguwa link kwa kuogopa ukweli basi pitia hata comment zangu za zamani uone nilivyojadiliana na wakenya hapa JF kuhusu swala zima la bandari ya Tanga Vs bandari za Kenya.
Again, unachanganya mambo! Nimesema mijadala ya bandari naijuwa sana au nimesema mijadala ya bandari tushaifanya sana?!

Btw, hivi huu mjadala ulikuwa ni kwanini Total wamechagua bandari ya Tanga?! Oh! Tatizo lako ni lile lile... unataka nizungumzie jambo ambalo halipo kwenye mjadala!!

Nakukumbusha! Mjadala ambao wewe ulini-quote ni kuhusu Bandari ya Bagamoyo... hayo mengine yalikuja tu!!!

Na hata mengine yakijitokeza watu wanaeleza kile kilichojitokeza na suala la kwanini TOTAL "waliachana" na Bandari ya Mombasa halikuwa sehemu ya mjadala!!

Neno waliachana nimeliweka kwenye kifunga na kifungua semi; WHY? Originally TOTAL walikuwa na lengo la kutumia Bandari ya Mombasa lakini wakaja kushituka mwishoni kabisa ndipo wakageukia Tanga!

Tukiacha sababu za kijiografia za Bandari ya Mombasa na Tanga ambazo akina Muhongo walizisema as if hao TOTAL walikuwa hawafahamu hapo kabla; lakini sababu nyingine ni gharama na security concern.

Route to Kenya isn't only expensive kutokana na ukweli kwamba ardhi ya Kenya ni more expensive compared to Tanzania lakini hata landscape yenyewe sio rafiki ukilinganisha na route to Tanga ambayo ni flat!

Al Shabab nao bado hawatabiriki... si tu baada ya kuwa mradi umeshakamilika na kuanza kusafirisha mafuta, bali hata wakati wa ujenzi.

Na hayo yote watu tushayaongea sana humu jamvini...!
Kama wewe mjadili mkubwa wa hayo mambo ungelijuwa hili na kulitamka. Katika kanda hii ya Afrika Mashariki, ni Tanzania na Djibouti tu ndio wanabadari iliyo na maji yalio tulia. Wengine wote Kenya, Somalia, Mozambique wana mabahari yenye dhoruba na mushkeli ya hali mbaya ya hewa.
Ulitaka niongelee why Tanga instead of Mombasa wakati haikuwa sehemu ya mjadala?!
Unag'ang'ania kuwa wakenya wanakimbili kuchukuwa fursa hapa Afrika Mashariki, lakini hutaki kusema kwa gharama gani
Hoja ya ajabu kabisa hii!

Wapi nimesema Wakenya wanakimbilia kuchukua fursa! Nimekuambia Wakenya wanakimbilia fursa au nimesema mtu kama Kenyatta au hata kama akija Odinga sio watu wanaoweza kuacha opportunity zi-skip kirahisi?!!!

What what happened baada ya Uganda na Total kuamua kuachana na Mombasa?! Kenyatta hakusafiri hadi Ufaransa; TOTAL Headquarter?! Alikutana hadi na Rais wa Ufaransa; Francois Hollande?!
Are they really getting value for money. Sijawai kuona mfanyabiashara ananunua bidhaa na kujaza duka bila kuwa na uhakika kama alichonacho kitauzika. Hivyo ndivyo wakenya wanavyofanya hivi sasa, no consensus kama bidhaa wanazo ziweka dukani zitanunulika au la, na reli ikiwa ni moja ya hizo bidhaa. Lamu port inategemea sana Ethiopia na South Sudan huku nchi hizo zinajiweka mkao wakula na Djibouti.
Again, unachanganya mambo kwa mambo ambayo nishayasema!!!

Narudia kwa kirefu!!!! Lengo la China ni kuhodhi biashara Afrika... export and import businesses na ndio maana kila anako-participate mradi wa bandari; anahakikisha na reli inajengwa!!

Nimesema hapa mwanzoni! Along Eastern Part of Africa, alianza na Bandari ya Djibouti ambayo akaiunganisha na reli hadi Ethiopia. Kwahiyo hoja yako ya Ethiopia hapo juu haina maana yoyote!!!

Bagamoyo lengo ilikuwa ni kujenga mega port na ndio maana unaambiwa ingekuwa ndo the largest port in Africa!! It's very possible ingetumika as African transshipment port for cargo consolidation and deconsolidation kama ilivyo Singapore duniani!

Mega-ports means can handle megaships ambazo si kila bandari inaweza kuzi-handle!

Kwamba, megaships (not just a big ship) zinachukua cargo (say) from Mashariki ya Mbali to Bagamoyo. Kutoka hapo, zile meli za kawaida badala ya kwenda hadi Mashariki ya Mbali, zinafuata mzigo Bagamoyo... that's deconsolidation-- mzigo unatoka kwenye meli kubwa na kuingizwa kwenye meli za kawaida tayari kupelekwa kwenye bandari mbalimbali!

Kwa upande mwingine, badala ya meli za kawaida 5 kutoka Africa to Far East; zote zinakuja na mzigo hadi Bagamoyo na mzigo huo kupakizwa kwenye one mega ship to Far East... that's consolidation!!!

Ukubwa wa Bandari ya Bagamoyo uliwahi kuripotiwa na The East African:
Kenya faces renewed pressure to expand at the port of Mombasa and boost efficiency after Tanzania started construction work on a new $10 billion port and a special economic zone, that aims to transform the country into the regional trade and transport hub.

The project, backed by China and Oman, will dwarf Kenya’s port at Mombasa as Tanzania aims to capitalise on growth in a region seeking to exploit new oil and gas finds.

Bagamoyo will have the capacity to handle 20 million containers a year when completed, compared with Mombasa’s 600,000 and Dar es Salaam’s 500,000 containers.
Sasa angalia mwenyewe jinsi tunavyoiona Mombasa ni bonge la bandari halafu linganisha hiyo containers handling capacity yake na ile iliyotarajiwa kuwa ya Bagamoyo!!!

Na Wakenya huu mradi ulikuwa unawapa pressure kweli kweli; WHY? Wenzetu wako too focused in economics issues!!!

Bandari ya Durban ambayo sidhani kama unaweza kuilinganisha na bandari yoyote ya Africa, ndo kwanza ina-range about 5 Million TEU na hii ni one of the largest port in southern hemisphere... among top 5!!

Sasa endelea kudhania watu wanazungumzia kusafirisha shaba ya Zambia na mizigo ya Malawi wakati watu wanaangalia miaka 100 ijayo!!
Narudia kule nilikoanza, niliweka badari zote hapa Tanzania pamoja na Mtwara kuonyesha fursa zilizokuwepo, na kwanini hatutaki kukimbilia mikopo isiyokuwa na mbele wala nyuma ilimradi na sisi tuonekane tupo
Tushazungumzia fursa za kila bandari including Tanga na Mtwara!!
Hivi unajuwa na sisi Tanzania tuna mafuta yanayosubiri kuthibitishwa, Congo na wao wanayo wanasubiri kuthibitishwa na kukubaliana na Uganda ili waanze kuyavuna na kuyapitisha Tanga. Sasa ukisema mafuta hayataleta revenue kubwa kwanini nchi zinaigia gharama kubwa kujenga mtandao wakuwezesha biashara hiyo kufanyika?? Hivi unajuwa hata watu wangapi wataajiriwa kwenye mradi huo, au supporting companies ngapi zitaanza kutokana na mradi huo?
Ukimbiwa huelewi unalalamika!! Unaweza kuonesha ni wapi niliposema mafuta hayataleta revenue kubwa?! Hivi kwanini huwa unakimbilia ku-post kabla hujaelewa kilichoandikwa?!

Nilichosema ni hiki hapa:
Huo mradi wa bomba la mafuta utakuwa na impact ndogo sana katika ujenzi wa bandari... zaidi tu ya kupanua miundombinu ya hapa na pale.
Au kwako wewe kusema mradi utakuwa na impact ndogo kwenye ujenzi wa bandari ni sawa na kusema mafuta hayataleta revenue kubwa?!

Kama hoja yangu sio sahihi, kuna ujenzi mkubwa wa bandari unaoendelea pale Tanga hivi sasa wakati pipeline project inatarajiwa kukamilika ndani ya miaka 2?! Kama mradi wa bomba ungekuwa na impact kubwa kwenye ujenzi wa bandari, si tayari pale hivi sasa pangeshakuwa busy kufanya ujenzi au upanuzi mkubwa!!!
Sasa ukija kwenye badari ya Bagamoyo, unasema ulijadili, what was the conclusion of that discussion??. Kwanini hiyo bandari haijajengwa mpaka leo?? Ndio maana nikwambia hatuwezi kuwa ndio mzee kwa wachina kila siku huku tunawauza wajukuu zetu kwa bila kujiangalia kwenye kioo. Bagamoyo is still ongoing project lakini striking points ndio zinakwamisha, na sitaki kuingia kiundani kwasababu majadiliamo bado yanaendekea.
Unachosha aisee manake maswali yako yanakuwa majibu yake yapo wazi!!! We ushaambiwa kuna miradi kadhaa ya bandari ambayo ilikuwa au ipo kwenye pipeline... kuna wowote miongoni mwa hiyo ambayo angalau tofali limeanza kuwekwa?
 
Hongera nyingi sana kwa Kenya na President Kenyatta.

Tanzania tumeweka jiwe la msingi la SGR kwa mbwembwe kumbe hata hela za ujenzi wa hiyo reli hakuna.

Kila Rais anaekuja kutembelea Tanzania hata kama ametokea Chad anaombwa mkopo.

Wa mwisho kumuomba hapa karibuni ni Zuma.. tunasubiri atuombee hela za mkopo kwa washirika wake...!!

Very shame.
Ndugu hivi wewe kweli ni mtanzania?
Nani amekwambia ujenzi wa std gauge umesimama toka uzinduliwe?
Je umefuatilia na kufahamu nini kinaendelea?
Unafikiri huyo "jamaa" unayemsema ni mjinga kiasi hicho azindue kitu ambacho hata fedha za kuanzia hana?
Sawa its true kwamba tunakopa kila mahali na ndio zetu Africans hatuna fedha za ku-financemiradi mikubwa(hata hawa unaowasifia wamekopa toka China), lakini hilo lisikufanye useme kwamba "walizindua kwa mbwembwe hakuna linaloendelea".
Jaribu kuwa mzalendo kidogo kwa nchi yako hata kama viongozi hawafanyi vizuri. Kumbuka na wewe una wajibu pia wa kujenga nchi yako.
Samahani kama nitakua nimekuudhi.
 
e84ddd6c-45ec-11e7-935d-dac9335a3205_1280x720_230112-300x169.jpg





MOMBASA, KENYA

NI mwanzo mpya kwa sekta ya usafirishaji nchini hapa baada ya Rais Uhuru Kenyatta kuzindua huduma za treni mpya ya kisasa mjini Mombasa juzi.

Msisimko ulikuwa mkubwa katika mitandao ya jamii, ikiwamo Facebook na Twitter, huku wengi wakionekana kusifia hatua hiyo ambayo inaonekana kuwapunguzia Wakenya gharama za usafiri.


Lakini kilichowasisimua Wakenya zaidi ni tangazo la Rais Kenyatta kuwa nauli mpya kwa abiria watakaotumia treni hiyo itakuwa Sh 700 za Kenya (sawa na Sh 14,000 za Tanzania) kutoka Mombasa hadi Nairobi kwa daraja la kawaida.

"Abiria yeyote asilipishwe zaidi ya Sh 700 kutoka Mombasa hadi Nairobi au Nairobi hadi Mombasa," alisema Rais Kenyatta huku wengi wakishangilia tangazo hilo.

Awali Waziri wa Uchukuzi, James Macharia, alisema kuwa nauli kati ya Mombasa na Nairobi kwa kutumia treni mpya itakuwa nusu ya viwango vinavyotozwa na mabasi.

Alisema kwa watumiaji wa daraja la kawaida, yaani economy class, watalipa Sh 900 za Kenya (sawa na Sh 18,000 za Tanzania) kwa njia hiyo.

Wale wa daraja la kibiashara watalazimika kulipa Sh 3,000 za Kenya (sawa na Sh 60,000 za Tanzania) kwa njia hiyo hiyo.

“Tuliangalia viwango vya nauli sokoni, na viwango bora kwa wananchi na biashara. Tunataka viwango vitakavyowawezesha wananchi kufurahia huduma na wakati huohuo viwango vinavyoendeleza huduma hiyo,” alisema.

“Aina ya pili ya treni inatarajiwa kuzinduliwa Desemba na nauli itakuwa chini zaidi,” alisema Macharia.

Safari ya kutoka Mombasa kuelekea Nairobi na treni ya kisasa itachukua saa nne na nusu, ikilinganishwa na saa tisa kwa kutumia basi na saa 12 kwa kutumia treni ya zamani.

Rais Kenyatta alionekana kuipunguza nauli kwa Sh 200 na ikizingatiwa ni wakati wakampeni za uchaguzi, Serikali itatumia kila jambo kuwavuta wapigakura kuichagua tena hapo Agosti 8.

Aidha, uzinduzi huo ulipata wakosoaji wengi mtandaoni, hasa wa upinzani, waliodai kuwa hiyo ni mbinu tu ya kujipigia debe.

Walisema kuwa mradi huo wa reli ya kisasa (Standard Gauge – SGR) ulianzishwa na Rais mstaafu Mwai Kibaki, hivyo Serikali ya Kenyatta haipaswi kujitapa eti imewaletea Wakenya maendeleo.

Kilichowaudhi zaidi ni kuzuiwa kwa Gavana wa Mombasa, Hassan Joho, kuhudhuria uzinduzi huo baada ya kutaka kuelezwa sababu ya gharama ya ujenzi wa SGR kupandishwa kwa Sh bilioni 100.

Chanzo: Mtanzania
 
Ukishaanza kutumia lugha zisizo za kiungwana; usilalamike ukijibiwa kwa lugha zisizo za kiungwana! Kumbuka post yangu ya kwanza kabisa nilimjibu mtu mwingine kabisa lakini wewe ukaibuka from nowhere na kuniambia:Umeniona mpumbavu hadi nitake kuaminisha watu kwamba shaba itabebwa kichwani?!Again, unachanganya mambo! Nimesema mijadala ya bandari naijuwa sana au nimesema mijadala ya bandari tushaifanya sana?!

Btw, hivi huu mjadala ulikuwa ni kwanini Total wamechagua bandari ya Tanga?! Oh! Tatizo lako ni lile lile... unataka nizungumzie jambo ambalo halipo kwenye mjadala!!

Nakukumbusha! Mjadala ambao wewe ulini-quote ni kuhusu Bandari ya Bagamoyo... hayo mengine yalikuja tu!!!

Na hata mengine yakijitokeza watu wanaeleza kile kilichojitokeza na suala la kwanini TOTAL "waliachana" na Bandari ya Mombasa halikuwa sehemu ya mjadala!!

Neno waliachana nimeliweka kwenye kifunga na kifungua semi; WHY? Originally TOTAL walikuwa na lengo la kutumia Bandari ya Mombasa lakini wakaja kushituka mwishoni kabisa ndipo wakageukia Tanga!

Tukiacha sababu za kijiografia za Bandari ya Mombasa na Tanga ambazo akina Muhongo walizisema as if hao TOTAL walikuwa hawafahamu hapo kabla; lakini sababu nyingine ni gharama na security concern.

Route to Kenya isn't only expensive kutokana na ukweli kwamba ardhi ya Kenya ni more expensive compared to Tanzania lakini hata landscape yenyewe sio rafiki ukilinganisha na route to Tanga ambayo ni flat!

Al Shabab nao bado hawatabiriki... si tu baada ya kuwa mradi umeshakamilika na kuanza kusafirisha mafuta, bali hata wakati wa ujenzi.

Na hayo yote watu tushayaongea sana humu jamvini...!
Ulitaka niongelee why Tanga instead of Mombasa wakati haikuwa sehemu ya mjadala?! Hoja ya ajabu kabisa hii!

Wapi nimesema Wakenya wanakimbilia kuchukua fursa! Nimekuambia Wakenya wanakimbilia fursa au nimesema mtu kama Kenyatta au hata kama akija Odinga sio watu wanaoweza kuacha opportunity zi-skip kirahisi?!!!

What what happened baada ya Uganda na Total kuamua kuachana na Mombasa?! Kenyatta hakusafiri hadi Ufaransa; TOTAL Headquarter?! Alikutana hadi na Rais wa Ufaransa; Francois Hollande?!Again, unachanganya mambo kwa mambo ambayo nishayasema!!!

Narudia kwa kirefu!!!! Lengo la China ni kuhodhi biashara Afrika... export and import businesses na ndio maana kila anako-participate mradi wa bandari; anahakikisha na reli inajengwa!!

Nimesema hapa mwanzoni! Along Eastern Part of Africa, alianza na Bandari ya Djibouti ambayo akaiunganisha na reli hadi Ethiopia. Kwahiyo hoja yako ya Ethiopia hapo juu haina maana yoyote!!!

Bagamoyo lengo ilikuwa ni kujenga mega port na ndio maana unaambiwa ingekuwa ndo the largest port in Africa!! It's very possible ingetumika as African transshipment port for cargo consolidation and deconsolidation kama ilivyo Singapore duniani!

Mega-ports means can handle megaships ambazo si kila bandari inaweza kuzi-handle!

Kwamba, megaships (not just a big ship) zinachukua cargo (say) from Mashariki ya Mbali to Bagamoyo. Kutoka hapo, zile meli za kawaida badala ya kwenda hadi Mashariki ya Mbali, zinafuata mzigo Bagamoyo... that's deconsolidation-- mzigo unatoka kwenye meli kubwa na kuingizwa kwenye meli za kawaida tayari kupelekwa kwenye bandari mbalimbali!

Kwa upande mwingine, badala ya meli za kawaida 5 kutoka Africa to Far East; zote zinakuja na mzigo hadi Bagamoyo na mzigo huo kupakizwa kwenye one mega ship to Far East... that's consolidation!!!

Ukubwa wa Bandari ya Bagamoyo uliwahi kuripotiwa na The East African: Sasa angalia mwenyewe jinsi tunavyoiona Mombasa ni bonge la bandari halafu linganisha hiyo containers handling capacity yake na ile iliyotarajiwa kuwa ya Bagamoyo!!!

Na Wakenya huu mradi ulikuwa unawapa pressure kweli kweli; WHY? Wenzetu wako too focused in economics issues!!!

Bandari ya Durban ambayo sidhani kama unaweza kuilinganisha na bandari yoyote ya Africa, ndo kwanza ina-range about 5 Million TEU na hii ni one of the largest port in southern hemisphere... among top 5!!

Sasa endelea kudhania watu wanazungumzia kusafirisha shaba ya Zambia na mizigo ya Malawi wakati watu wanaangalia miaka 100 ijayo!! Tushazungumzia fursa za kila bandari including Tanga na Mtwara!!
Ukimbiwa huelewi unalalamika!! Unaweza kuonesha ni wapi niliposema mafuta hayataleta revenue kubwa?! Hivi kwanini huwa unakimbilia ku-post kabla hujaelewa kilichoandikwa?!

Nilichosema ni hiki hapa:Au kwako wewe kusema mradi utakuwa na impact ndogo kwenye ujenzi wa bandari ni sawa na kusema mafuta hayataleta revenue kubwa?!

Kama hoja yangu sio sahihi, kuna ujenzi mkubwa wa bandari unaoendelea pale Tanga hivi sasa wakati pipeline project inatarajiwa kukamilika ndani ya miaka 2?! Kama mradi wa bomba ungekuwa na impact kubwa kwenye ujenzi wa bandari, si tayari pale hivi sasa pangeshakuwa busy kufanya ujenzi au upanuzi mkubwa!!!Unachosha aisee manake maswali yako yanakuwa majibu yake yapo wazi!!! We ushaambiwa kuna miradi kadhaa ya bandari ambayo ilikuwa au ipo kwenye pipeline... kuna wowote miongoni mwa hiyo ambayo angalau tofali limeanza kuwekwa?

Ndugu, hii ni JF, hapa ni open forum, mtu anaweza kutowa hoja yoyote au kujibu hoja yoyote iliyokuwa ubaoni bila kumzalilisha mtu yoyote. Ukisema ulikuwa unamjibu mtu mwingine halafu nikauingikia utakuwa umevunja mila zote za JF. Hivi hapa JF umekuja kujadiliana au umekuja kuziba watu midomo.

Vyote nilivyoandika ni vitu ambavyo wewe mwenyewe ulivigusia, tokea impact ya ujenzi wa bandari Tanga, bomba la mafuta, Total, mizigo ya Zambia (japo you went out of context), bandari ya Bagamoyo, mpaka investment ya wachina hapa East Africa. Sisi tukichambuwa kwa uwezo wetu, unakuja juu na kusema wewe ulishalijadili sana siku za nyuma na tunachokisena ni insignificant.

Sasa, ikiwa topic yako ilikuwa ni economic impact ya bandari ya Bagamoyo, hebu tupe fununu kwanini serikali mpaka leo hii iko reluctant to give go ahead na huo mradi. Nina imani utatufunguwa macho na jibu hilo. Just because mradi unaonekana ni mkubwa na utakuwa na impact kubwa ndio tuukimbilie hata kama utatuumiza siku zijazo. Ndio shida tuliokuwa nayo miaka 20-30 iliyopita. Tume sign miradi mingi tuu ambayo hivi sasa tunahangaika kujitowa kwasababu haitupi faida yoyote zaidi ya kutunyonya. Usikibikie kuchora uzuri wa mradi, kama utakuwa mkubwa, utaleta meli kubwa, utasaidia kuzalisha ajira, 20million containers, etc but to who's expense??? Nikuuukize tena what are the clause (dondoo) za mradi wa bandari ya Bagamoyo?? maana ukipata jibu hilo ndio unaweza kupima economical impact ya mradi huo.
 
Ndugu, hii ni JF, hapa ni open forum, mtu anaweza kutowa hoja yoyote au kujibu hoja yoyote iliyokuwa ubaoni bila kumzalilisha mtu yoyote. Ukisema ulikuwa unamjibu mtu mwingine halafu nikauingikia utakuwa umevunja mila zote za JF. Hivi hapa JF umekuja kujadiliana au umekuja kuziba watu midomo.
Kama kawaida yako, hutaki kumsoma mtu ukamuelewa! Kuna mahali nimekuambia usijibu hoja isiyo yako?! Kuna mahali nimekuambia usini-quote?

Hiki ndicho niliandika:
Hivi unashindwa kujieleza bila kutukana mtu, kichwa changu kikiwa kizito au chepesi kina kusaidia nini.
Ukishaanza kutumia lugha zisizo za kiungwana; usilalamike ukijibiwa kwa lugha zisizo za kiungwana! Kumbuka post yangu ya kwanza kabisa nilimjibu mtu mwingine kabisa lakini wewe ukaibuka from nowhere na kuniambia:
Hii ni ndoto ya mchana au sijuwi miseme usiku. Kwahiyo unatuaminisha shaba ya Zambia itabebwa juu mpaka badari ya Mombasa au Lamu
Ulianza kulalamika kwamba nimekutukana ingawaje hakuna popote nilipokutukana zaidi ya kusema una kichwa kigumu kuelewa na kweli una kichwa kigumu!!

Ndipo nikakuambia, ingawaje nilikuwa nimem-quote mtu mwingine kabisa lakini bado uliibuka from nowhere na kuanza kutumia lugha zisizo za kiungwana!

Inashangaza kuanza lugha zisizo za kiungwana kwa mtu ambae haukuwa unajadiliana nae hapo kabla! Kama ule mjadala ningekuwa nimeuanza na wewe labda ungesema kuna mahali nilikukwaza na ndio maana ukaja na habari zako za mara oh, ndoto za mchana; mara oh, kubeba shaba kichwani!!!!
Vyote nilivyoandika ni vitu ambavyo wewe mwenyewe ulivigusia, tokea impact ya ujenzi wa bandari Tanga, bomba la mafuta, Total, mizigo ya Zambia (japo you went out of context), bandari ya Bagamoyo, mpaka investment ya wachina hapa East Africa. Sisi tukichambuwa kwa uwezo wetu, unakuja juu na kusema wewe ulishalijadili sana siku za nyuma na tunachokisena ni insignificant.
Post yangu ya kwanza hii hapa:
Wakaichagua na Bagamoyo ili kuhudumia Great Lakes Region pamoja na nchi za Malawi na Zambia. Hapa Watanzania, kama ilivyo ada; tumeleta siasa!!! Na kuna kila dalili Wachina wakaachana na Bagamoyo Project na kurudi Lamu ambako walikusudia hapo awali!!!
Hapo nilizungumzia mikakati ya Wachina na ujenzi wa bandari Afrika. Wewe unakini-quote na kuja na hii hoja:
Hii ni ndoto ya mchana au sijuwi miseme usiku. Kwahiyo unatuaminisha shaba ya Zambia itabebwa juu mpaka badari ya Mombasa au Lamu. Badari zetu za Tanzania zinanza kubadili upepo, badala kurumika kupokea mizigo zaidi, zinatumika kusafirisha mizigo nje. Tanga waneshaanza kujikita na mafuta ya Uganda pamoja na Congo, Dar viwanda vya mkoa wa pwani, Morogoro na bidhaa za nchi zingine. Mtwara wao gesi na bidhaa zinazo tokana na gesi pamoja na chuma cha Liganga. Zanzibar bandari huru. Sasa tumepungukiwa na nini au bado mnatala turudi kwenye ukoloni mambo leo wa wachina?
Suala la ndoto ya mchana hapo limetoka wapi?

Suala la Zambia na shaba kubeba kichwani limetoka wapi?

Wapi nilizungumzia masuala ya impact za ujenzi wa bandari ya Tanga? Hayo niliyagusia au ni wewe ndie uliyaleta?!

Ndipo nikakujibu:
Unajua wewe ni mtu wa ajabu kama sio mtu wa hovyo hovyo?!

Hapa tunazungumzia miradi ya ujenzi na sio political hallucination! Ndoto za Zanzibar kuwa Free Port zilianzishwa na Salmin Amour zaidi ya miaka 15 iliyopita lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika!!!

Mradi wa bomba la mafuta Tanga umekuja by chance baada ya Total kushituka dakika za mwisho kutumia bandari ya Mombasa!!!

Miradi ya Tanga ambayo ipo au ilikuwa kwenye pipeline ni mradi wa deep sea port na Mwambani port... mmoja ni mradi wa TPA na mwingine ni mradi wa VIP Engineering under Mwambani Port & Railway Corridor Company!!!

Huo mradi wa bomba la mafuta utakuwa na impact ndogo sana katika ujenzi wa bandari... zaidi tu ya kupanua miundombinu ya hapa na pale.

Narudia, msome niliyem-quote na soma nilichokiandika vinginevyo usingekuja na hoja za hovyo hovyo kuhoji "shaba ya Zambia itabebwa juu?" Nani amekuambia habari ya shaba ya Zambia hapa?! Btw, kwanihivi sasa inabebwa juu?!!

Hapa umeambiwa miradi ya China barani Afrika! Kwa wanaofuatilia masuala ya marine transportation wanafahamu what's going on.

China ni kama wameigawa Afrika into blocks ili kurahisisha biashara zao... hakuna aliyetaja habari ya shaba ya Zambia hapa wala magogo ya DRC!!!

Horn of Africa, wanapanua bandari ya Djibouti kisha wakajenga reli kutoka Ethiopia inayolenga kuunganisha na bandari ya Djibouti.

East Africa, Kenya walikuwa wanapigia upatu Wachina wajenge bandari mpya ya Lamu lakini wakachomoa na kuchagua Bagamoyo. Hii ingekuwa au itakuwa ndo largest port in Africa on completion.

Ili kuiunganisha na landlocked countries walikusudia kujenga reli itakayounganisha Bagamoyo na Reli ya Kati. Na kwavile lengo lao ni ku-facilitate biashara zao, walikusudia kujenga industrial zone mradi ambao ungefanywa na Oman.

Pamoja na hiyo miradi, kuna mingine kadhaa kamavile Takoradi, Ghana; Walvis Bay in Namibia, Sao Tome & Principe na miradi mingine mbalimbali!!!
Nikaamua kufafanua hiyo miradi ya Wachina na kwanini wanafanya hivyo! Nikaweka wazi kwamba Wachina wanafanya hayo ili kurahisha biashara zao!!! Na hapo ndipo nikagusia suala la Bandari ya Tanga na bomba la mafuta.

Kwa mara nyingine, ukani-quote na kuongea vitu ambavyo ni tofauti kabisa na niliyosema hapo juu! Post yako hii hapa:
Muda mwingine jaribu kufikiri nje ya siasa, nilichoandika mimi kinahusiana nini na maswala ya siasa? Umegusia Zambia na Malawi walitakia watumie bandari ya Bagamoyo, lakini wachina wamekimbilia Kenya kwasababu sisi tumeleta siasa. First of all, mizigo ya Zambia na Malawi isinge pita Bagamoyo na wala haitakuja kupita Bagamoyo. Bandari ya Bagamoyo ilikuwa na maudhui yake tofauti na unavyo fikiria wewe.

Swala la Zanzibar kuwa bandari huru, ni swala lililo jichanganya na mambo ya muungano, kwamba kama Zanzibar ikiwa bandari huru, itachagia vipi kuzorotesha mapato ya bara. Malumbano yameenda nyuma mbele mpaka Kikwete na Sheni wakakubaliana jinsi ya kutatua tatizo zima pamoja na swala la mafuta ya Zanzibar.

Nashangaa unasema eti bandari ya Tanga haitaingiza kipato kikubwa kutokokana na mafuta ya Uganda. If that's the case kwanini wakenya wameumia sana kuukosa mradi huo?
Mafuta, sisal, perishable goods, industrial goods yote hiyo unaona hakuna kipato. Mbona hujaongelea bandari ya mtwara mbayo itakuwa na reli yake mpaka ziwa Nyasa na kuudumia mizigo ya Malawi mpaka Zimbabwe.
Hapo ukaanza na hoja kwamba "Umegusia Zambia na Malawi walitakia watumie bandari ya Bagamoyo, lakini wachina wamekimbilia Kenya kwasababu sisi tumeleta siasa." Kwenye hiyo post kuna mahali niliposema Zambia na Malawi walitakiwa kutumia Bandari ya Bagamoyo lakini Wachina wamekimbilia Kenya?!

Ukasema tena "Nashangaa unasema eti bandari ya Tanga haitaingiza kipato kikubwa kutokokana na mafuta ya Uganda. If that's the case kwanini wakenya wameumia sana kuukosa mradi huo? Kuna mahali kwenye post yangu nilisema suala la mapato ya bomba la mafuta? Hata hilo la kwamba "Mbona hujaongelea bandari ya mtwara mbayo itakuwa na reli yake mpaka ziwa Nyasa na kuudumia mizigo ya Malawi mpaka Zimbabwe." Ulitaka niongelee kitu ambacho hakikuwa sehemu ya mjadala?!

Ndipo nikakuambia:
We jamaa una kichwa kizito kishenzi kuelewa!!! Hivi umeambiwa mizigo ya Zambia na Malawi au umeambiwa Wachina wana projects za bandari sehemu kadhaa Afrika kwa ajili ya ku-facilitate biashara zao?!
Mwisoni nikahitimisha kwa angalizo:
Soma uelewe kabla hujakurupuka ku-comment!!!
Na bado nasisitiza, kabla huja-comment, soma kwa vitu, elewa kisha ndipo ujibu!!!
Sasa, ikiwa topic yako ilikuwa ni economic impact ya bandari ya Bagamoyo,
Hivi hapa topic yangu ni economic impact ya bandari ya Bagamoyo au mikakati ya China na ujenzi wa bandari across Africa ikiwa ni pamoja na bandari ya Bagamoyo, with possibility huenda wakaachana na Bagamoyo?!!! Kwenye mijadala ya nyuma ndiko niliwahi kujadili economic impact ya Bagamoyo Port lakini kwenye huu mjadala unaweza kuonesha ni wapo nimeongelea hilo suala?! Au ndo katika yale yale ya kuleta mambo ambayo sijayaongea?
....hebu tupe fununu kwanini serikali mpaka leo hii iko reluctant to give go ahead na huo mradi.
Mwanzoni ulikuja na hoja sawa na hiyo; hii hapa:
Sasa ukija kwenye badari ya Bagamoyo, unasema ulijadili, what was the conclusion of that discussion??. Kwanini hiyo bandari haijajengwa mpaka leo??
Kimsingi wala si kwamba unataka kufahamishwa sababu za kwanini haijajengwa kwa sababu tayari wewe mwenyewe ulisha-conclude kwanini haijajengwa! Kama umesahau, uli-conclude hivi:
Ndio maana nikwambia hatuwezi kuwa ndio mzee kwa wachina kila siku huku tunawauza wajukuu zetu kwa bila kujiangalia kwenye kioo. Bagamoyo is still ongoing project lakini striking points ndio zinakwamisha, na sitaki kuingia kiundani kwasababu majadiliamo bado yanaendekea.
Sasa unauliza maswali halafu unajibu mwenyewe na kisha hapo hapo unataka mwingine akujibu!!! Na si kwamba hapo mwanzoni labda ulighafirika kuuliza swali na kujibu mwenyewe huku ukimtaka mtu akujibu, lakini bado hata sasa umeendelea na staili ile ile; ona hivi sasa:
....hebu tupe fununu kwanini serikali mpaka leo hii iko reluctant to give go ahead na huo mradi.
Halafu tena unaendelea:
Nina imani utatufunguwa macho na jibu hilo.
Lakini ghafla hapo hapo mstari unaofuata:
Just because mradi unaonekana ni mkubwa na utakuwa na impact kubwa ndio tuukimbilie hata kama utatuumiza siku zijazo. Ndio shida tuliokuwa nayo miaka 20-30 iliyopita. Tume sign miradi mingi tuu ambayo hivi sasa tunahangaika kujitowa kwasababu haitupi faida yoyote zaidi ya kutunyonya. Usikibikie kuchora uzuri wa mradi, kama utakuwa mkubwa, utaleta meli kubwa, utasaidia kuzalisha ajira, 20million containers, etc but to who's expense??? Nikuuukize tena what are the clause (dondoo) za mradi wa bandari ya Bagamoyo?? maana ukipata jibu hilo ndio unaweza kupima economical impact ya mradi huo.
Hivi hapa ukiambiwa ikiwa majibu unayo kwanini basi unauliza maswali ya kinafiki ndo ulalamike kwamba unatukanwa?

TIP 1: Jifunze jinsi ya kuendesha mijadala na jifunze jinsi ya kujenga hoja then come back later!!!

Kwa kawaida sina silika ya kutojibu hoja lakini huwezi kuleta hoja unajijibu mwenyewe halafu bado unatarajia mtu akujibu wakati tayari una jibu lako!!!!

TIP 2: Hata kama unajibu lako mwenyewe; keep it for yourself for a moment! Ukijibiwa tofauti na unavyotala ndipo unafanya counterattack!!!
 
Kama kawaida yako, hutaki kumsoma mtu ukamuelewa! Kuna mahali nimekuambia usijibu hoja isiyo yako?! Kuna mahali nimekuambia usini-quote?

Hiki ndicho niliandika:Ukishaanza kutumia lugha zisizo za kiungwana; usilalamike ukijibiwa kwa lugha zisizo za kiungwana! Kumbuka post yangu ya kwanza kabisa nilimjibu mtu mwingine kabisa lakini wewe ukaibuka from nowhere na kuniambia: Ulianza kulalamika kwamba nimekutukana ingawaje hakuna popote nilipokutukana zaidi ya kusema una kichwa kigumu kuelewa na kweli una kichwa kigumu!!

Ndipo nikakuambia, ingawaje nilikuwa nimem-quote mtu mwingine kabisa lakini bado uliibuka from nowhere na kuanza kutumia lugha zisizo za kiungwana!

Inashangaza kuanza lugha zisizo za kiungwana kwa mtu ambae haukuwa unajadiliana nae hapo kabla! Kama ule mjadala ningekuwa nimeuanza na wewe labda ungesema kuna mahali nilikukwaza na ndio maana ukaja na habari zako za mara oh, ndoto za mchana; mara oh, kubeba shaba kichwani!!!!
Post yangu ya kwanza hii hapa:Hapo nilizungumzia mikakati ya Wachina na ujenzi wa bandari Afrika. Wewe unakini-quote na kuja na hii hoja:Suala la ndoto ya mchana hapo limetoka wapi?

Suala la Zambia na shaba kubeba kichwani limetoka wapi?

Wapi nilizungumzia masuala ya impact za ujenzi wa bandari ya Tanga? Hayo niliyagusia au ni wewe ndie uliyaleta?!

Ndipo nikakujibu:
Nikaamua kufafanua hiyo miradi ya Wachina na kwanini wanafanya hivyo! Nikaweka wazi kwamba Wachina wanafanya hayo ili kurahisha biashara zao!!! Na hapo ndipo nikagusia suala la Bandari ya Tanga na bomba la mafuta.

Kwa mara nyingine, ukani-quote na kuongea vitu ambavyo ni tofauti kabisa na niliyosema hapo juu! Post yako hii hapa:
Hapo ukaanza na hoja kwamba "Umegusia Zambia na Malawi walitakia watumie bandari ya Bagamoyo, lakini wachina wamekimbilia Kenya kwasababu sisi tumeleta siasa." Kwenye hiyo post kuna mahali niliposema Zambia na Malawi walitakiwa kutumia Bandari ya Bagamoyo lakini Wachina wamekimbilia Kenya?!

Ukasema tena "Nashangaa unasema eti bandari ya Tanga haitaingiza kipato kikubwa kutokokana na mafuta ya Uganda. If that's the case kwanini wakenya wameumia sana kuukosa mradi huo? Kuna mahali kwenye post yangu nilisema suala la mapato ya bomba la mafuta? Hata hilo la kwamba "Mbona hujaongelea bandari ya mtwara mbayo itakuwa na reli yake mpaka ziwa Nyasa na kuudumia mizigo ya Malawi mpaka Zimbabwe." Ulitaka niongelee kitu ambacho hakikuwa sehemu ya mjadala?!

Ndipo nikakuambia: Mwisoni nikahitimisha kwa angalizo: Na bado nasisitiza, kabla huja-comment, soma kwa vitu, elewa kisha ndipo ujibu!!!
Hivi hapa topic yangu ni economic impact ya bandari ya Bagamoyo au mikakati ya China na ujenzi wa bandari across Africa ikiwa ni pamoja na bandari ya Bagamoyo, with possibility huenda wakaachana na Bagamoyo?!!! Kwenye mijadala ya nyuma ndiko niliwahi kujadili economic impact ya Bagamoyo Port lakini kwenye huu mjadala unaweza kuonesha ni wapo nimeongelea hilo suala?! Au ndo katika yale yale ya kuleta mambo ambayo sijayaongea?Mwanzoni ulikuja na hoja sawa na hiyo; hii hapa:Kimsingi wala si kwamba unataka kufahamishwa sababu za kwanini haijajengwa kwa sababu tayari wewe mwenyewe ulisha-conclude kwanini haijajengwa! Kama umesahau, uli-conclude hivi: Sasa unauliza maswali halafu unajibu mwenyewe na kisha hapo hapo unataka mwingine akujibu!!! Na si kwamba hapo mwanzoni labda ulighafirika kuuliza swali na kujibu mwenyewe huku ukimtaka mtu akujibu, lakini bado hata sasa umeendelea na staili ile ile; ona hivi sasa: Halafu tena unaendelea:Lakini ghafla hapo hapo mstari unaofuata: Hivi hapa ukiambiwa ikiwa majibu unayo kwanini basi unauliza maswali ya kinafiki ndo ulalamike kwamba unatukanwa?

TIP 1: Jifunze jinsi ya kuendesha mijadala na jifunze jinsi ya kujenga hoja then come back later!!!

Kwa kawaida sina silika ya kutojibu hoja lakini huwezi kuleta hoja unajijibu mwenyewe halafu bado unatarajia mtu akujibu wakati tayari una jibu lako!!!!

TIP 2: Hata kama unajibu lako mwenyewe; keep it for yourself for a moment! Ukijibiwa tofauti na unavyotala ndipo unafanya counterattack!!!
Kitu nilicho jifunza so far, ni kushidwa kuja na jibu stahiki la swali lolote uliloulizwa au hoja yoyote uliyoitowa. Maana unarudia yale yale nilyo yandika na ndio kuwa majibu. Sir, ulileta swali la bomba la mafuta la Tanga kutokuwa na economical impact kwasababu kama ingekuwa na economical impact kungekuwa na activity zinazo onekana pale Tanga. Hili umeliruka na ukashuka Bagamoyo na wachina watakimbia mradi wa bagamoyo kwa kuwa tunaleta siasa. Hapo napo una unaaza kuruka na kusema majibu ninayo mimi. So why putting yourself on the lions den wakati majibu huna?? Nimekuuliza unajuwa nini kimo kwenye mkataba wachina wanaoutaka katika bandari ya Bagamoyo, jibu sijaliona. Nakumbuka umelingasha Bagamoyo ingeweza kuipita Duran but to who's expense?? Hivi ni vitu tunaweza ku afford sisi wemyewe kwa pesa yetu in few years now the line. Hivi umeshaangalia import/export figures za Durban for the last 5yrs.
Mimi sina tips za kukupa kwasababu sio mwalimu, lakini unapokuwa hapa JF your post will be commented to whoever felt to comment and that is the nature of forums.
 
Kitu nilicho jifunza so far, ni kushidwa kuja na jibu stahiki la swali lolote uliloulizwa au hoja yoyote uliyoitowa. Maana unarudia yale yale nilyo yandika na ndio kuwa majibu.
Kuna swali la maana ulilouliza hapa?! Au ile staili yako unauliza swali na hapo hapo unajijibu halafu mtu unatarajia apoteze muda kukujibu?!
Sir, ulileta swali la bomba la mafuta la Tanga kutokuwa na economical impact kwasababu kama ingekuwa na economical impact kungekuwa na activity zinazo onekana pale Tanga.
Narudia kwa mara nyingine; una kichwa kigumu kuelewa!! Nilisema economic impact au nilisema suala la ujenzi kwamba kama pangekuwa na impact kwenye ujenzi basi shughuli za ujenzi zingeonakena pale Tanga!!

Sio kwamba natudia yale yale!! Kwavile unaonekana huelewi nalazimika kukuonesha nini niliandika! Kwa mfano hapo unaposema issue za economic impact, hiki ndicho nilisema:
Huo mradi wa bomba la mafuta utakuwa na impact ndogo sana katika ujenzi wa bandari... zaidi tu ya kupanua miundombinu ya hapa na pale.
Kuna niliposema issue za economic impacts hapo?! Hiyo hoja kama sio kiroja uliileta mara ya kwanza na nikakujibu:
Au kwako wewe kusema mradi utakuwa na impact ndogo kwenye ujenzi wa bandari ni sawa na kusema mafuta hayataleta revenue kubwa?!

Kama hoja yangu sio sahihi, kuna ujenzi mkubwa wa bandari unaoendelea pale Tanga hivi sasa wakati pipeline project inatarajiwa kukamilika ndani ya miaka 2?!
Halafu tena unakuja na jambo lile lile!!!

Nasisitiza! Sio kwamba narudia yale yale! Bali unachanganya mambo na kwahiyo nalazimika kukuwekea post za awali kuonesha nini nilisema!!!
Hili umeliruka na ukashuka Bagamoyo na wachina watakimbia mradi wa bagamoyo kwa kuwa tunaleta siasa.
Angalia ulivyo mtu wa ajabu! How come unasema "hilo nimeshindwa nikarukia la Bagamoyo na Wachina kukimbia mradi wa Bagamoyo wakati suala la Bagamoyo na Wachina lilikuwa ndio post yangu ya kwanza kabisa kwenye hii mada?!

Halafu bila aibu eti nashindwa kuja na jibu stahiki la swali unaloulizwa wakati kila wakati unaongea mambo yaliyo nje na mada?!

Listen, you're wasting my time! Kama hujui kujenga hoja, am not here kujibu viroja kila wakati!!! Na kwa mara nyingine nakukumbusha kajifunze namna boar ya kujenga hoja na ku-manage mijadala ndipo urudi kwenye mjadala!!!
 
Kuna swali la maana ulilouliza hapa?! Au ile staili yako unauliza swali na hapo hapo unajijibu halafu mtu unatarajia apoteze muda kukujibu?!
Narudia kwa mara nyingine; una kichwa kigumu kuelewa!! Nilisema economic impact au nilisema suala la ujenzi kwamba kama pangekuwa na impact kwenye ujenzi basi shughuli za ujenzi zingeonakena pale Tanga!!

Sio kwamba natudia yale yale!! Kwavile unaonekana huelewi nalazimika kukuonesha nini niliandika! Kwa mfano hapo unaposema issue za economic impact, hiki ndicho nilisema:Kuna niliposema issue za economic impacts hapo?! Hiyo hoja kama sio kiroja uliileta mara ya kwanza na nikakujibu:Halafu tena unakuja na jambo lile lile!!!

Nasisitiza! Sio kwamba narudia yale yale! Bali unachanganya mambo na kwahiyo nalazimika kukuwekea post za awali kuonesha nini nilisema!!! Angalia ulivyo mtu wa ajabu! How come unasema "hilo nimeshindwa nikarukia la Bagamoyo na Wachina kukimbia mradi wa Bagamoyo wakati suala la Bagamoyo na Wachina lilikuwa ndio post yangu ya kwanza kabisa kwenye hii mada?!

Halafu bila aibu eti nashindwa kuja na jibu stahiki la swali unaloulizwa wakati kila wakati unaongea mambo yaliyo nje na mada?!

Listen, you're wasting my time! Kama hujui kujenga hoja, am not here kujibu viroja kila wakati!!! Na kwa mara nyingine nakukumbusha kajifunze namna boar ya kujenga hoja na ku-manage mijadala ndipo urudi kwenye mjadala!!!
Haha, wow hicho ni kiroja cha mwaka, post yako ya tatu lakini your just copying maelze ambayo ya nyuma na kuacha hoja ya msingi.

Listen, umejaribu kupaka matope Tanzania kwamba tunaleta siasa bila kujuwa au kuwa na fact miradi yetu imefikiwa wapi. Hii thread sio mimi na wewe tuna ona hapa, watu wengi wanaona na kusema ukweli all the issues you've raised umeshindwa kuzitetea from Tanga to Bagamoyo to wachina kuenda Kenya (which is laughable) mpaka kusema the wider plan ya wachina ni kuchukuwa ukanda wote huu wa Africa Mashariki including Zambia na Malawi, huku Tanzania inaleta siasa. Hivi have you even entertain the idea few years down the line Tanzania tutaweza kufanya miradi yote hii kwa fedha zetu wenyewe bila kumtegema mchina?? Man wewe umechoka, mimi ndio bado kabisa na mdahalo kwangu ndio umeanza. I wish ungekuwa inajibu swali japo moja badala ya Ku copy na ku paste.
 
Haha, wow hicho ni kiroja cha mwaka, post yako ya tatu lakini your just copying maelze ambayo ya nyuma na kuacha hoja ya msingi.

Listen, umejaribu kupaka matope Tanzania kwamba tunaleta siasa bila kujuwa au kuwa na fact miradi yetu imefikiwa wapi. Hii thread sio mimi na wewe tuna ona hapa, watu wengi wanaona na kusema ukweli all the issues you've raised umeshindwa kuzitetea from Tanga to Bagamoyo to wachina kuenda Kenya (which is laughable) mpaka kusema the wider plan ya wachina ni kuchukuwa ukanda wote huu wa Africa Mashariki including Zambia na Malawi, huku Tanzania inaleta siasa. Hivi have you even entertain the idea few years down the line Tanzania tutaweza kufanya miradi yote hii kwa fedha zetu wenyewe bila kumtegema mchina?? Man wewe umechoka, mimi ndio bado kabisa na mdahalo kwangu ndio umeanza. I wish ungekuwa inajibu swali japo moja badala ya Ku copy na ku paste.
Nonsense!!
 
Haha, next time ujipange, we can do this mpaka next budget 2018.
Kajifunze kujenga hoja ndipo urudi kwenye mijadala, or else, kuna MMU inasubiri watu wa aina yako!
 
Haha, next time ujipange, we can do this mpaka next budget 2018.

Achana na mkurupukaji huyo, anafuatilia blog za udaku na upuuzi wa instagram halafu anadhani kuwa ana facts.
 
Kajifunze kujenga hoja ndipo urudi kwenye mijadala, or else, kuna MMU inasubiri watu wa aina yako!
Ya badari yamekushinda unaaza mapya. Mimi Niko tarari na tushindane kwa data. Kusema mambo bila vielelezo unatudangaya tuu hapa.
 
Achana na mkurupukaji huyo, anafuatilia blog za udaku na upuuzi wa instagram halafu anadhani kuwa ana facts.
Kilam, uko sahihi. Jamaa ameruka kila hoja aliyoiazisha yeye.
 
Ya badari yamekushinda unaaza mapya. Mimi Niko tarari na tushindane kwa data. Kusema mambo bila vielelezo unatudangaya tuu hapa.
Eti yamenishinda! Hivi kuna la maana uliloongea zaidi ya kila wakati kuongea mambo yaliyo nje ya mada?! Kuna data yoyote uliyoweka hapa tangu uanze kuleta viroja vyako?! Na wala huelekei kuwa na una uwezo wa kushindana na mtu labda kama kushindana kwa viroja!!!!

Btw, onesha post moja tu uliyoweka data!!!1
 
Eti yamenishinda! Hivi kuna la maana uliloongea zaidi ya kila wakati kuongea mambo yaliyo nje ya mada?! Kuna data yoyote uliyoweka hapa tangu uanze kuleta viroja vyako?! Na wala huonekani kama una uwezo wa kushindana na mimi!!!!

Btw, onesha post moja tu uliyoweka data!!!1
Inaoneka JF umekuja kutafuta ugonvi badala ya kujadiliana na wanachama wezako. Sio kula siku upata inachokitaka.

Maana sasa hakuna chochote cha badari au wachina unaongea vimebaki vijembe
 
Hongera sana jirani, nasi soon ngosha atatufikisha huko.....just a matter of time!
pamoja na mapungufu yake lakini still he's far far better kuliko hawa matapeli wanaojiita wapinzani!!
Nakubaliana na pongezi kwa Kenya.

Ila kwamba ngosha atatufikisha sina hakika, nahisi tutarudi hatua nyingi tu nyuma chini ya uangalizi wa huyu ndugu yako
 
Back
Top Bottom