Kenya Yazindua Reli yake iliyojengwa na China

Kenya Yazindua Reli yake iliyojengwa na China

Tukiondowa udaku na utoto, still unashindwa kutoa majibu ya kuridhisha. Nimekuuliza mkataba si ndio umewekwa saini juzi ?? Ulitegemea kuona impact siku ya pili?? Nimekuuliza kwako wewe impact ni kuona more container terminal au?? Have you heard offshore terminal??. Hapa umeacha yote na kukimbilia data ndio uvune from me. I ain't that stupid. Wewe hujibu swali hata moja una recycle nilicho sema na kukiweka hapa. Hesabu mwenyewe how many times nimekuuliza hoja yako ya msingi ni ipi, na wewe imechuluwa post ngapi mpaka kujieleza vitu ambavyo to be honest they don't make sense for 2017. Labda nikuchomeke swali na najuwa sitapata jibu. Bandari ya Tanga inafanya kazi hivi sasa au haifanyi.
You're wasting my time
 
hio target yao sio abiria japokuwa watakuwemo ila hio ni kwa ajili ya mizigo kutoka bandari ya mombasa. na project hii ina connect south sudan , uganda na rwanda.
Bandari ya Mombasa imechaguliwa kuwa moja katika project ya Marine silk route kwahiohio treni wachina wamesaidia kwa sababu zao na watafaidika sana wakenya waganda na south sudan pamoja na rwanda
Kwa vituo vya abiria walivyojenga nadhani watakuwa wana-target both mizigo na abiria.
 
Kwa vituo vya abiria walivyojenga nadhani watakuwa wana-target both mizigo na abiria.
Vituo vya abiria lazima waweke na lazima wabebe lakini kimsingi kama alivyosema Mzee_Wa_Conspiracy, hiyo inakuwa sio target... ni kama kutoa socio-economic service!!!

Kama wangekuwa wana uwezo wasibebe kabisa abiria basi wangeshukuru, lakini ni nani atakayeelewa?! Just imagine behewa moja la abiria linatoa mapato kiasi gani na kama ingekuwa ndo mzigo, ingekuwa mapato kiasi gani!!!
 
Back
Top Bottom