Kenya yazuia Unga wa ngano na Gas ya kupikia toka Tanzania

Kenya yazuia Unga wa ngano na Gas ya kupikia toka Tanzania

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Katika hali ya kushangaza Serikali ya Kenya imezuia unga wa ngano na gas ya kupikia kutoka Tz.

Hata hivyo Serikali ya Tanzania imetoa taarifa na kueleza itakishughulikia na ikizingatiwa Kenya imevunja makubaliano ya EAC.
MICHUZI BLOG: Taarifa Kuhusu zuio la kuingiza gesi asilia na unga wa ngano nchini Kenya

Kenya imeanza kulia lia kama mtoto na kuvunja makubaliano ya EAC. Naona wivu mkali ukionekana waziwazi kutoka kwa ndugu zetu wakenya. Chuki dhidi ya Tanzania kutoka kwa wakenya inakomaa siku baada ya siku. Hii ni kutokana na Tanzania kutangaza kuingia ktk mpango wa viwanda. Vita ni vita mura. Subirini na sisi tutawajibu.
 
Hawa wakenya ni watu wenye roho mbaya sana kama mlikuwa hamjui.Wao wana bidhaa kibao huku na pia wako wengi na hawana vibali.Sasa wewe nenda kwao utarudi na jibu
Hiyo sasa ndio roho halisi ya wakenya. Wanaanza kujionesha waziwazi. Eti sasa wanasema tufanye biashara nao. Hawa watu wanaroho mbaya sana. Nafurahi sana serikali ya Tanzania inaenda nao sambamba.
 
Hiyo sasa ndio roho halisi ya wakenya. Wanaanza kujionesha waziwazi. Eti sasa wanasema tufanye biashara nao. Hawa watu wanaroho mbaya sana. Nafurahi sana serikali ya Tanzania inaenda nao sambamba.
Niliwahi ishi isbania pale mpakani mwa kenya na tanzania ebana jamaa wana roho mbaya sana wale
 
kwani na wao wanachimba huko kwao? kama hawachimbi itawabidi tu kununua hawana namna
 
Magufuli dhaifu kuna biashara nyingi ambazo tunaweza kuwabana makende Kenya bila kuwa na athari! Fungia KQ na mabenki yao kwanza halafu tuone..
 
kwani na wao wanachimba huko kwao? kama hawachimbi itawabidi tu kununua hawana namna
Unajua issue ni makubaliano ya EAC tulikubaliana na wenyewe wakaweka sign. Sasa hivi wanavunja makubaliano tuliojiwekea. Wanatia hasara wafanyabiashara wetu. Na sisi tutawajibu ipasavyo.
 
africa-map-wheat-production.jpg
 
Ikiwa watu wenyewe kwa wenyewe wanabaguana tena majirani kabisa ktk ardhi ya nyumbani kwao ndani ya nchi yao tutegemee kuwa sambamba na sisi kweli!hao ni wakora wakenya wamejaa ubinafsi!
 
Magufuli dhaifu kuna biashara nyingi ambazo tunaweza kuwabana makende Kenya bila kuwa na athari! Fungia KQ na mabenki yao kwanza halafu tuone..
Geza ni kama tulivyo mpiga nduli Idd Amin. Kwanza tunawaonesha makosa yao waziwazi kisha tunawapiga waziwazi bila ganzi.
Maana uwezo tunao, nguvu tunayo na nia tunayo. Sababu ya kumpiga nduli Nyang'au hii hapa.
 
siuwa mnasema mnatupatia chakula bure nyinyi...mbona mnalialia sasa.kaeni nahiyo ngano yenu uko tuwaone kama mtaifanyia nni
Tukiwajibu msianze kulialia.
 
Back
Top Bottom