Kenya yazuia Unga wa ngano na Gas ya kupikia toka Tanzania

Kenya yazuia Unga wa ngano na Gas ya kupikia toka Tanzania

IMG_1236.JPG



IMG_1235.JPG
 
Naona kuna mtu anamjaribu JPM just let us wait and see!
 
Hahahahahah ngoja nichekee tuu Kuna watu waroho mbaya afu hawaangalii madhara ya mambo wanayofanya ila mwisho wa siku tutaona ataumia Nani only tym will tel
 
Tz na Ke ndio washindani halisi EAC, hapo kia mmoja anatafuta namna ya kuweka mambo yake sawa.
Kenya na Tanzania wanahitajiana sana kuliko nchi nyingine EA
 
Waamze na Brookside
Waje Unilever produce (japo bidhaa zetu ni mbaya)
 
Magufuli dhaifu kuna biashara nyingi ambazo tunaweza kuwabana makende Kenya bila kuwa na athari! Fungia KQ na mabenki yao kwanza halafu tuone..
Nashangaa huyu jamaa kwanini yupo kimya hadi leo.
Ilitakiwa kuwe na permanent ban ya shughuli za Kenya huku Tanzania.
 
Magufuli dhaifu kuna biashara nyingi ambazo tunaweza kuwabana makende Kenya bila kuwa na athari! Fungia KQ na mabenki yao kwanza halafu tuone..
Zaidi ya hapo aanze pia kuwatimulia mbali wakenya wote wabangaizaji waliojazana kule arusha!! WaNafanya kazi za kuziba pancha! Nipo tayari kutoa ushirikiano!!
 
huna habari kumbe...mlizuia kitambo mahindi na hatujalia.mnafanya biashara kwa majugu...lisheni nguruwe iyo ngano.alafu ngono tuka nayo kibao..nkishuka pale mombasa marikiti ni shawarma kwa sana,,mapochopocho uswalini lazima ujirambe vidole
Serikali yenu inazuga tu sisi ndo tulizuia kwanza chakula kuja kwenu hivyo serikali yenu inawadanganyeni kuwa inauwezo wa kuzuia chakula kuingia Kenya kutoka tz wakati mnanjaa kishenzi
 
Tatizo ndugu husomi hata link ukipewa. Soma hiyo link inabarua toka kwa katibu mkuu wa viwanda na biashara. Hata hivyo mazungumzo yalishafanyika na wakenya wamekaidi. Sasa unategemea nini kifanyike!? Ndio maana walichoma magari ya mizigo kwenda uganda na waling'oa reli ya kwenda uganda eti uganda wasipate mizigo.
Ni wivu na chuki mbaya sana.
Mkuu punguza munkari, tukiendekeza hayo EAC itakuwa shakani. Ni ukweli kuwa Wakenya sio wa kuwaamini na wanatishiwa sana nafasi yao na Tanzania lkn sisi ni Watanzabia, sifa yetu kuu ni utu.
Ungemalilizia kabisa kuwa ndio maana Museveni akapindisha bomba hadi Tanga.

Vv
 
Mkuu wakenya toka ile jumuia ya kwanza walionesha ubinafsi wa kiwango cha kimakinikia asee


Hawa wakenya wanatikisa kiberiti wakijua huyu ni kikwete....Juzi Tanzania nayo imepiga marufuku kusafirisha mazao ya chakula kama mahindi na mchele kwenda Kenya,,na serikali ya Tz kupitia waziri mkuu majaliwa kawambia wafanyabiashara kama wanataka kufanya biashara basi wasafirishe mazao kutoka kwenye mkoa ambao una mazao mengi na kupeleka kule kuliko na mazao ya chakula kidogo na siyo nje ya nchi especially Kenya,,,,Na serikali imetoa into kwa mfanyabiashara yeyote atakayekamatwa anasafirisha mazao nje ya nchi ni kifungo na gari itakayokua imekodiwa kubeba hayo mazao itataifisha na serikali na kubaki Polisi..

Hii inaitwa ukimwaga ugali namwaga mboga....wakenya kuweni makini na kukurupuka dhidi ya Magufuli mtakufa na njaa
 
Magufuli anawalelea sana hawa wakenya, hapa kisa utakuta Magufuli kumuunga mkono Raila, ujanja ni kupiga ban KQ kuruka anga la Tanzania....
 
Serikali iwe sirias sasa ktk kuboresha mazingira mazuri kuvutia wanaotaka kujenga viwanda iache siasa za matukio na kiki za kipuuzi ili kama taifa tuweze kuuza binafsi nje ya nchi
 
Huwez kulinganisha soko la watu wengi kama Kenya na kanchi kama Rwanda ambako ukipiga filimbi tu wananchi wote wanasikia na kukusanyika
akili mufilisi kama hizi kwenye somo la uchumi hewa
 
Katika hali ya kushangaza Serikali ya Kenya imezuia unga wa ngano na gas ya kupikia kutoka Tz.

Hata hivyo Serikali ya Tanzania imetoa taarifa na kueleza itakishughulikia na ikizingatiwa Kenya imevunja makubaliano ya EAC.
MICHUZI BLOG: Taarifa Kuhusu zuio la kuingiza gesi asilia na unga wa ngano nchini Kenya

Kenya imeanza kulia lia kama mtoto na kuvunja makubaliano ya EAC. Naona wivu mkali ukionekana waziwazi kutoka kwa ndugu zetu wakenya. Chuki dhidi ya Tanzania kutoka kwa wakenya inakomaa siku baada ya siku. Hii ni kutokana na Tanzania kutangaza kuingia ktk mpango wa viwanda. Vita ni vita mura. Subirini na sisi tutawajibu.
Ukienda sokoni products asilimia 95% zilizo supermarket za Bongo zinatoka kenya

kwanini na sisi tusipige chini importation za bidhaa zao tukakomaa na products zetu na kuziimalisha

hawa jamaa wako serious na vita ya kiuchumi sisi naona tunacheka cheka
 
Back
Top Bottom