Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya na ngano wapi na wapi kwanza kupika mapishi ya kutumia ngano amjui hiyo serikali imezuia ngano ila na sisi tuta zuia mahindi siku mkipungukiwa mana mnapenda ugalisiuwa mnasema mnatupatia chakula bure nyinyi...mbona mnalialia sasa.kaeni nahiyo ngano yenu uko tuwaone kama mtaifanyia nni
Mbona unaanza kujiharishia mapema. Wewe subiri tuwajibu. Soma barua ya katibu mkuu wa viwanda na biashara. Hatuna cha kupoteza tukiamua kubana wakenya watajikojolea. Na sasa wameanza kuisoma namba.Unapo ingilia masuala ya siasa nchi nyengine ndo matokeo yake haya.
Ni wazi mkuu anamsaidia rafikiye raila kushinda urais , matokeo yake ni haya.
Tusilaumu lakini tujiulize jee kenya na uhuru wangeweka msimamo uchaguzi wetu 2015 hasa kule znz na kumtambua Seif kuwa mshindi halali ingekuwaje ?
Consequently we are going to ban all goods from Kenya to enter into our country... Am sure with this, all of your factories are going to collapse...siuwa mnasema mnatupatia chakula bure nyinyi...mbona mnalialia sasa.kaeni nahiyo ngano yenu uko tuwaone kama mtaifanyia nni
huna habari kumbe...mlizuia kitambo mahindi na hatujalia.mnafanya biashara kwa majugu...lisheni nguruwe iyo ngano.alafu ngono tuka nayo kibao..nkishuka pale mombasa marikiti ni shawarma kwa sana,,mapochopocho uswalini lazima ujirambe vidoleWakenya na ngano wapi na wapi kwanza kupika mapishi ya kutumia ngano amjui hiyo serikali imezuia ngano ila na sisi tuta zuia mahindi siku mkipungukiwa mana mnapenda ugali
heheee...you cant.tunawaletea mpaka pipiConsequently we are going to ban all goods from Kenya to enter into our country... Am sure with this, all of your factories are going to collapse...
Soma taarifa vizuri. Ngano na Gas mlifungia since April na sasa ya mahindi ni ishara tu. Nyie mmevunja makubaliano sasa tutawajibu ipasavyo. Hii ni taarifa tu tumewapa.mlize nani nyinyi ldc.....juzi mlifungia mahindi kuja kenya mbona hatukulia.mlifungia mahindi ndio mjue sisi nyangau,,tumewambia bakini na ngano pia.....heheheeee.pumba zenu
Haya mambo hayataki matusi...kila mtu ana muhitaji mwenzake...tukilipa watalipa...sawa wao wanafanya biashara zao nyingi kwetu...ila na sisi hizo kidogo basi ndani yake ni mapato na ajira kubwa.Mbona unaanza kujiharishia mapema. Wewe nyang'au subiri tuwajibu. Soma barua ya katibu mkuu wa viwanda na biashara. Hatuna cha kupoteza tukiamua kubana wakenya watajikojolea. Na sasa wameanza kuisoma namba.
hahaa....mahindi yanapandwa dunia nzima.as long as tunapesa tunanunua kwa raha zetu.yawekeni kwenye magala yaoze alafu kumbe nitaarifa ya zamani ata sikushughulika kuisomaSoma taarifa vizuri. Ngano na Gas mlifungia since April na sasa ya mahindi ni ishara tu. Nyie mmevunja makubaliano sasa tutawajibu ipasavyo. Hii ni taarifa tu tumewapa.
Makubaliano mlitia sign wenyewe sasa mnavunja hayo makubaliano. Ni muda wa kuwapatia uhuru wakenya.
Usiropoke kijana kwa sababu ya siasa kukifanya kichwa chako kisiwe na fikra kama msomi, urafiki wa Jpm na odinga una miaka zaidi ya 15,sasa iweje leo useme magu kumsaidia odinga kivipi? Umewahi kumsikia Jpm akiongelea uchaguzi wa Kenya hata mara moja? Kutompenda Jpm kusikufanye umulishe maneno yaliyokuwepo, Wakenya wana mambo ya wivu wa kike miaka yote tunawajua fuatilia mambo yao utajua kuhusu tz utajua badala ya kuropoka hovyo.Unapo ingilia masuala ya siasa nchi nyengine ndo matokeo yake haya.
Ni wazi mkuu anamsaidia rafikiye raila kushinda urais , matokeo yake ni haya.
Tusilaumu lakini tujiulize jee kenya na uhuru wangeweka msimamo uchaguzi wetu 2015 hasa kule znz na kumtambua Seif kuwa mshindi halali ingekuwaje ?
Unajua ndugu yangu tatizo vijana wengi hawajui jambo gani waongee wapi. Mimi nikiona vijana kama hawa najua ni tatizo la ki malezi. Nadhani kwa sasa hivi vijana wengi wanaenda Jkt baada ya miaka miwili tutakuwa na vijana mtaani wanaojielewa.Usiropoke kijana kwa sababu ya siasa kukifanya kichwa chako kisiwe na fikra kama msomi, urafiki wa Jpm na odinga una miaka zaidi ya 15,sasa iweje leo useme magu kumsaidia odinga kivipi? Umewahi kumsikia Jpm akiongelea uchaguzi wa Kenya hata mara moja? Kutompenda Jpm kusikufanye umulishe maneno yaliyokuwepo, Wakenya wana mambo ya wivu wa kike miaka yote tunawajua fuatilia mambo yao utajua kuhusu tz utajua badala ya kuropoka hovyo.
Naona umekuwa extreme, unacholalamika kuwa Kenya wanatuonea wivu na chuki na upande wako unayo hayo dhidi ya Kenya.Katika hali ya kushangaza Serikali ya Kenya imezuia unga wa ngano na gas ya kupikia kutoka Tz.
Hata hivyo Serikali ya Tanzania imetoa taarifa na kueleza itakishughulikia na ikizingatiwa Kenya imevunja makubaliano ya EAC.
MICHUZI BLOG: Taarifa Kuhusu zuio la kuingiza gesi asilia na unga wa ngano nchini Kenya
Kenya imeanza kulia lia kama mtoto na kuvunja makubaliano ya EAC. Naona wivu mkali ukionekana waziwazi kutoka kwa ndugu zetu wakenya. Chuki dhidi ya Tanzania kutoka kwa wakenya inakomaa siku baada ya siku. Hii ni kutokana na Tanzania kutangaza kuingia ktk mpango wa viwanda. Vita ni vita mura. Subirini na sisi tutawajibu.
Tatizo ndugu husomi hata link ukipewa. Soma hiyo link inabarua toka kwa katibu mkuu wa viwanda na biashara. Hata hivyo mazungumzo yalishafanyika na wakenya wamekaidi. Sasa unategemea nini kifanyike!? Ndio maana walichoma magari ya mizigo kwenda uganda na waling'oa reli ya kwenda uganda eti uganda wasipate mizigo.Naona umekuwa extreme, unacholalamika kuwa Kenya wanatuonea wivu na chuki na upande wako unayo hayo dhidi ya Kenya.
Hayo sio mambo ya kugombana, kidiplomasia huwa yanazungumzika, ikishindikana nasi tunaweza kuangalia upande wa kuwafinya.
Anyway, kama wanamaanisha kweli, wazuie ba mahindi kutoka Tanzania yasiingie Kenya.
Vv
Una ushahidi kwamba ana msaidia rafiki ake au unaropoka tu uonekane umeropoka?Unapo ingilia masuala ya siasa nchi nyengine ndo matokeo yake haya.
Ni wazi mkuu anamsaidia rafikiye raila kushinda urais , matokeo yake ni haya.
Tusilaumu lakini tujiulize jee kenya na uhuru wangeweka msimamo uchaguzi wetu 2015 hasa kule znz na kumtambua Seif kuwa mshindi halali ingekuwaje ?