Kenya: Zifahamu jamii mbili zenye nguvu nchini Kenya

[emoji87] [emoji86]

Kumbe ndiyo maana weusi mpaka wanatisha....
Dah sisteh, wanatisha eti? We acha bana angalia hela sura sisi tunatumiaga tu kujitambulisha kwenye I.D! Hehehe! Wah, kwa maneno haya, wenzangu wataniua aisee!πŸ™‚
 
Khaa najua kabila la Kaskazini Magharibi unaloliongelea ila suala la usomi ni nadharia tu..nilipokuwa chuo ratios za Kikuyu, Luhya na Jaluo zilikuwa sawa tu.

Sasa mbona hujatoa ufananisho wa Wakikuyu Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Geza umesoma Kenya? Basi mbona hupendi Kenya hata kidogo?
 
Hahahahaaa,umenikumbusha jana Balile kwenye press conference anamtolea mfano eti mtoto wake anaingia chuo kikuu sijui kamuuliza nini eti,wahaya kwa kujisifu bwana.Ndo itakuwa wahaya unawafananisha na wajaluo.
 
[emoji31] [emoji30] [emoji119] [emoji119]
Hela ninazo nataka sura nzuri.
Ushapata, ukoo wangu unatoka Israel kwa hiyo sura si ya kikenya!πŸ˜€ Una mambo we dada, itakuwa wewe ni wale wa Rombo, nakualika ntakupokea pale Namanga nikutembeze mitaa ya Nairobee! Si hela umesema unazo?Hehe!
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ Kwikwikwikwikwiiiiii... umenichekesha sana...
 
Ahaaa ,kumbe wewe ni msapere ? Nyinyi watu bwana mmetushika koo kabisa kiuchumi hata pale kwetu nyumbani North Imenti kwa sisi waMeru.
Halafu nikija Nairobi nyumba ni yenu ,kampuni ya maji ni yenu ,maduka ni yenu ,magari ya usafiri ni yenu na mara nyingine unapata hata mwajiri kazi ni mkikuyu.Aisee sasa pesa zote unazo ingiza zinarudi tu kwa mkikuyu.
 
Eti wajaluo ni watanashati?hilo nimesikia na wewe
 
Eti wajaluo ni watanashati?hilo nimesikia na wewe
 
Naatia mukuru? Muuga? Keke! Naatia ukuthithia eeh? Uriuga vionthe hadharani mukuru?Aiii!
 
Kweli kabisa, ukiondoa wale walio danganywa, waliobaki ni wahagaikaji wazuri. Halafu hao jamaa sio watu wa kulalala hovyo hovyo, kutwa wako macho.
pia wapo wengine kutoka Kigoma wanakuja kwa kasi sana...ni Waha hawa jamaa ni wavumilivu sana kwenye biashara...japo biashara zao maeneo mengi ni ndogo ndogo wengi wamejipanga vizuri...hata mbuyu ulianza kama mchicha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…