Kenyan Doctors Go on Strike Over CBA Promise.

nimeikubali hii comment , huu ndoo u great thinker wenyewe
 
Uku unauwawa au wana Kuulimboka.
 
Reactions: BAK
Hongereni Madaktari wa Kenya kwa msimamo wenu thabiti wa kudai haki yenu.

Serikali ya Kenya imetangaza kuongeza 40% kwenye mishahara ya madaktari waliogoma nchini humo ili kumaliza mgomo uliodumu zaidi ya mwezi

 
Wafanyakazi wengi wa Tanzania wanavitambulisho vya chama na vya kazi,mgomo hata kama umeanzishwa kwa weledi na hoja za maana ikisha ingizwa propaganda za kuhujumu chama dora umgomo unaishia hapo. Wafanyakazi wanageukana na kuchongeana huku wakisubilia wateuliwe kwa ukada wao
 
Lukindo hiyo % umeitoa wapi,au stori za Mr.hewa zinakuchanganya? mimi mtumishi wa kawaida tangu 2014 till,now kiukweli sijawahi pata posho haramu.Napata tu kaovertime,kalunch mbuzi.Tangu enzi normal civil servants of Tanzania hali ngumu
 
Ikumbukwe Kenya wapo mwaka wa uchaguzi pia ni pressure ya uchaguzi umechangia ongezeko la mishahara ya madaktari
 
Lukindo hiyo % umeitoa wapi,au stori za Mr.hewa zinakuchanganya? mimi mtumishi wa kawaida tangu 2014 till,now kiukweli sijawahi pata posho haramu.Napata tu kaovertime,kalunch mbuzi.Tangu enzi normal civil servants of Tanzania hali ngumu
Mkuu unajua tena hapa hatutumii takwimu za kisayansi na ndio maana ukileta utafiti wa kisayansi unatumbuliwa.
Lakini nilivyosikia zaidi ya mawaziri wetatu na mkubwa wao wakisisitiza kuwa kulikuwa na wafanyakazi hewa karibia elfu 20 na almost kila kitu hewa ndio nikaamini kuwa hata wale wasio hewa huenda wakawa na maslahi hewa.
Na huenda wamechukulia 'hewa hewa' hizi kama ndio haki zao hivyo kushindwa kudai haki halisi!
 
Dr Ulimboka, Daud Mwangosi, Absalom Kibanda, Mwakyembe naona ni wanyakyusa tu wanapambana lakin makabila mengine hamna kitu
 
uoga wa watanzania ndio umaskini wao, kama hata katiba wamaeshindwa kudai, mtatufikiaje ss wakenya
 
Acheni kujitukana nyie watu, mnaboa sana pale mnaposifia manyangau afu wao kila kukicha wanawaponda, shit !!
 
Sasa hivi wafanyakazi wa Tanzania tunaweza kugoma bila hofu yoyote maana waliokuwa wanatuangusha ni wenye vyeti vya marehemu amabao confidence yao ilikuwa 0.01%, sasa hivi hawapo tena ila tuna imani kubwa na JPM mambo yatakaa vizuri tu maana kwenye vikosi vya ulinzi tayari wanatabasamu.
 
kwa hiyo unashauri na madaktari wa tanzania wagome? hivi wewe ndugu yetu unaishi Ughaibuni ama,na ninaomba mungu wakigoma wa kwanza kupata madhara ya huo mgomo uwe wewe maana naona hujawaza athari za njia waliyo itumia hao madaktari wa kenya kupandisha hiyo mishahara unayozungumzia hapa.
 
They have a reference to demand more! They are not stupid!
 
Wamefanya hvyo kwa kujua umuhimu wao na wanajua madoctor si kama walimu ambao unaweza kufuza wote na kutangaza kazi ukawapata wengi zaid ya idadi ile uliyowafukuza Dunian ni nchi moja tu ndo inaidadi kubwa ya madoctor ambayo ni Cuba lakini hakuna nchi yeyote yenye wadoctor wa kutosha inakuchukua miaka 5 kupata doctor mmoja na inakuchukua kuanzia mwaka mmoja mpaka mitatu kupata mwalimu walimu wakigoma madhala yake yataonekana baada ya miaka 2 au 1 lakini madoctor wakigoma madhala yake yanaanza kuonekana baada ya sec ya 2 baada ya kugoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…