Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Then wananchi wa kawaida wanafidika nn kwa uchambuzi wa pande zote mbili?
 
Duuu hiyo kitu sio nzuli kwa uchumi Wa nchi kushikiliwa na kakikundi ka watu huku jamii kubwa kubaki kwenye Lindi LA umaskini, ubepari kwa njia moja ni mzuli kama taifa litakua makini ,lakini ni mbaya kama taifa halitochukua hatua nzuli, mnakua na sifa kubwaa kua mna uchumi Mkubwa lakini ndani asilimia kubwa Wa raia maskini Wa kutupwa kitu kibaya sana.
 
Cha kushangaza ni kwamba wazungu hawajafika hata 1% ya 'population' yote ya Kenya. Kwa hivyo hesabu yako ni ya kukariri tu kama ile ya 1,2,3 kwenye shule ya chekechea! Kijana, tembea ujionee kwa macho yako!
 
Cha kushangaza ni kuwa wazungu hawajafika hata 1% ya 'population' yote ya Kenya. Kwa hivyo hesabu yako ni ya kukariri tu kama ile ya 1,2,3 kwenye shule ya chekechea! Kijana tembea ujionee na macho yako!
Tatizo sio idadi kubwa ya wazungu kenya tatizo nikwamba hao hao wazungu wachache ndio wanamiliki zaidi ya nusu we uchumi wa kenya# napata shida na uelewa mdogo wa wakenya nashindwa pata kujuelewa quality of education nindogo kiasi gani # shame on You
 
black Kenyan will continue suffering until Lucifer come to them # hii ni kwakuwa kenya bado colony la mzungu na uchumi wa Kenya 90 % is white owned economy
Umetoa wapi hizi stats?? Whites are not even among the richest Kenyans, they are farmers ama Kenyan cowboys as they refer to themselves.
 
Tatizo sio idadi kubwa ya wazungu kenya tatizo nikwamba hao hao wazungu wachache ndio wanamiliki zaidi ya nusu we uchumi wa kenya# napata shida na uelewa mdogo wa wakenya nashindwa pata kujuelewa quality of education nindogo kiasi gani # shame on You
We boya tuletee mada zimefanyiwa utafiti si hisia zako za kike. Tuelezee hao wazungu wanaomiliki 90% ya Kenya's economy
 
Umetoa wapi hizi stats?? Whites are not even among the richest Kenyans, they are farmers ama Kenyan cowboys as they refer to themselves.
whites include all foreigners plus Indian # Kenya as country dont have inclusive economy unlike The United Tanzania
 
whites include all foreigners plus Indian # Kenya as country dont have inclusive economy unlike The United Tanzania
How are Indians white? This is a mere opinion btw, unless you can show us the maths, show us the stats mate
 
Tatizo sio idadi kubwa ya wazungu kenya tatizo nikwamba hao hao wazungu wachache ndio wanamiliki zaidi ya nusu we uchumi wa kenya# napata shida na uelewa mdogo wa wakenya nashindwa pata kujuelewa quality of education nindogo kiasi gani # shame on You
Hizo takwimu umetoa wapi? Kwamba watu ambao hawajafika asilimia MOJA ya wakenya wote wanamiliki Kenya nzima? Au ndo mlichokaririshwa na fisiemu wakati mnalishwa wali na kufukuza mwenge?
 
How are Indians white? This is a mere opinion btw, unless you can show us the maths, show us the stats mate
Jamaa kahama jukwaa la lavu konnekti na akili zake za kuazima. Elimu, elimu, elimu watanzania wengine bana! Yaani hata wasauzi weusi hawakuwagi na akili maandas kiasi hicho.
 
Mfano ni Wananchi wakenya
Kufikia uamuzi wa kuua watoto wao kwa mikono yao ili kuwaepusha na kifo cha mateso ya njaa
nawengine wakimuomba mungu mbwa wazaliane wapate walau maziwa yake kulishia watoto!!
Kenya hovyo kabisa
Mfano ni omba omba kutoka Tz walotapakaa kwenye miji ya Kenya. Afu kwa akili zenu mnasema wanatoroka utajiri kwenye nchi yao. Takwimu zinaonesha kuwa idadi ya maskini Tz ni kubwa kuliko Kenya. Lakini mtajuaje wakati mpo radhi kukomalia vijiweni mkila chipsi mayai na kubugia kahawa. Yaani watz kwa usingizi nawapa heshima. Hamjui kujituma wala kujinasua, nyie mmezubaa tu ndo maana Tanzanite tulizitafuna hadi basi.
 
Hizo takwimu umetoa wapi? Kwamba watu ambao hawajafika asilimia MOJA ya wakenya wote wanamiliki Kenya nzima? Au ndo mlichokaririshwa na fisiemu wakati mnalishwa wali na kufukuza mwenge?
nimeishi nchi zote hixo nafahamu vema
 
Jamaa kahama jukwaa la lavu konnekti na akili zake za kuazima. Elimu, elimu, elimu watanzania wengine bana! Yaani hata wasauzi weusi hawakuwagi na akili maandas kiasi hicho.
Jamaa kahama jukwaa la lavu konnekti na akili zake za kuazima. Elimu, elimu, elimu watanzania wengine bana! Yaani hata wasauzi weusi hawakuwagi na akili maandas kiasi hicho.
Jamaa kahama jukwaa la lavu konnekti na akili zake za kuazima. Elimu, elimu, elimu watanzania wengine bana! Yaani hata wasauzi weusi hawakuwagi na akili maandas kiasi hicho.
Jamaa kahama jukwaa la lavu konnekti na akili zake za kuazima. Elimu, elimu, elimu watanzania wengine bana! Yaani hata wasauzi weusi hawakuwagi na akili maandas kiasi hicho.
Jamaa kahama jukwaa la lavu konnekti na akili zake za kuazima. Elimu, elimu, elimu watanzania wengine bana! Yaani hata wasauzi weusi hawakuwagi na akili maandas kiasi hicho.
Jamaa kahama jukwaa la lavu konnekti na akili zake za kuazima. Elimu, elimu, elimu watanzania wengine bana! Yaani hata wasauzi weusi hawakuwagi na akili maandas kiasi hicho.
akili maandazi ndio nini nifahamishe# maandazi yapi
 
Cha kushangaza ni kwamba wazungu hawajafika hata 1% ya 'population' yote ya Kenya. Kwa hivyo hesabu yako ni ya kukariri tu kama ile ya 1,2,3 kwenye shule ya chekechea! Kijana, tembea ujionee kwa macho yako!
Kiuchumi hatuangalii idadi ya watu kuwa wingi ndo kumiliki asilimia kubwa ya uchumi ila tunaangalia who is the controller of the market

Shida hapa ni kuwa hata kama kenya uchumi wao unamilkiwa 90 percent na wazungu je faida wanayoipata wakenya inalingana na tanzania

Kumiliki 90 sio sababu ya nchi kuyumba kiuchumi kwa hata kidunia ni asilimia chini ya 10 ya watu ndio wanamiliki robo tatu ya uchumi wote wa dunia

Sera za nchi ndo kitu pekee kitakacho fanya nchi ifaidike na uchumi wake na sio kuangali sehemu moja tu
 
Back
Top Bottom