Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Hawa jamaa huwa wameliwa na kubaki mifupa, wanatajwa kama maskini wa kutupwa duniani ilhali wana raslimali za kumwaga, zote zinaliwa na waarabu na wahindi na hata Wachina.
Tatizo lao kubwa ni uzembe.....
Nani anayekula pesa ya umma, mfanyabiashara au corrupt politicians?. Moi, Biwot na Uhuru wamepata wapi pesa kama sio kupitia ofisi za Umma?
 
Nine out of ten rich people are politicians, they steal money from poor Kibera people [emoji23][emoji23][emoji23]
Is Chris Kirubi a politician?
Is S.K Macharia a politician?
Is James Mwangi a politician?
Is Peter Kahara Munga a politician?
Is Manu Chandaria a politician?
Is Merali a politician?
Is Depar Shar a politician?
Is Atul Shah a politician?

Hao watu wote nimetaja wako top 10 richest people in Kenya,
 
Wote wanasiasa, za kuambiwa changanya na zako
Chris Kirubi, SK Macharia na James Mwangi ni wanasiasa wa wapi[emoji848].
KCB, Royal Media na Equity Bank zinatengeneza pesa Kuliko makampuni zenu za waarabu zote na ni za hawa wakenya watatu pekee.
Tuletee Mtanzania anamiliki kampuni Kubwa kama Equity tujue nani anamilikiwa na Wazungu.
 
Ss na cc tukiamua kuweka wanasiasa si mtakimbiana humu, hao ni wanasiasa wanaokula pesa ya nyani[emoji3][emoji3][emoji3]
Tuletee Mwanabiashara mmoja Mweusi wa TZ ako na Pesa Kuliko SK.Macharia.
Tanzania biashara zote ni za mwarabu. Huwezi Linganisha na Kenya.
images%20-%202020-10-10T192218.693.jpg
images%20-%202020-10-10T192158.957.jpg
 
Is Chris Kirubi a politician?
Is S.K Macharia a politician?
Is James Mwangi a politician?
Is Peter Kahara Munga a politician?
Is Manu Chandaria a politician?
Is Merali a politician?
Is Depar Shar a politician?
Is Atul Shah a politician?

Hao watu wote nimetaja wako top 10 richest people in Kenya,
Uhuru has the biggest dairy Factory in East and Central Africa.
Uhuru has several Banks.
Uhuru was rich even before he became the President.
I am sure you all know the connections of the mentioned tycoon buissness men with the most influential politicians since independence. It is all about who knows who!
 
Is Chris Kirubi a politician?
Is S.K Macharia a politician?
Is James Mwangi a politician?
Is Peter Kahara Munga a politician?
Is Manu Chandaria a politician?
Is Merali a politician?
Is Depar Shar a politician?
Is Atul Shah a politician?

Hao watu wote nimetaja wako top 10 richest people in Kenya,
Bado nangoja kuona hao Wazungu wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ama Kina Kirubi wamekua Wazungu sikuizi[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bado nangoja kuona hao Wazungu wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ama Kina Kirubi wamekua Wazungu sikuizi[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata ndio nashangaa, hakuna mzungu hata moja in the top 20 richest people in Kenya wakati top ten richest people in Tanzania wote ni wahindi.
 
Remember in East Africa there is only one dollar Billionaire, that man is from Tanzania. Kenya Hakuna $ Billionaire hata mmoja.

Huu ujinga wenu mumekua mkidanganya na media zenu toka utoto wenu, endeleeni kubaki nao huko kwenu, media zenu zinewajaza ujinga kiasi cha kushindwa kutumia akili zenu.
There are very many dollar Billionaires if you consider offshore accounts. In Kenya the Kenyatta & Moi families are extremely rich if offshore wealth is Considered. They own most of Kenya's private land too.
 
Chris Kirubi, SK Macharia na James Mwangi ni wanasiasa wa wapi[emoji848].
KCB, Royal Media na Equity Bank zinatengeneza pesa Kuliko makampuni zenu za waarabu zote na ni za hawa wakenya watatu pekee.
Tuletee Mtanzania anamiliki kampuni Kubwa kama Equity tujue nani anamilikiwa na Wazungu.

Unajua nyinyi wakenya mnaodhani Tz ni ile ya 90's early 2000. Uijua ipp media ww, unamfaham Tz kuna dollar millionaires wengi kushinda kwenu, unajua tuna dollar billionaire, nyinyi hamna hata mmoja.
Na hakuna wazungu, sanasana utakutana na wahindi wazawa waloanzisha export import bizness kitambo, huwezi Kuta wanasiasa.
Rudi kwenu hapo, wamewaibia na mnawasifia, mtaendelea kuibiwa hadi mtii, bado ruto kwa iyo list

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
wakiwaudhi hao minority nchi inageuka zimbabwe
Black Kenyan will continue suffering until Lucifer come to them # hii ni kwakuwa kenya bado colony la mzungu na uchumi wa Kenya 90 % is white owned economy.
ka zimbabwe
 
Unajua nyinyi wakenya mnaodhani Tz ni ile ya 90's early 2000. Uijua ipp media ww, unamfaham Tz kuna dollar millionaires wengi kushinda kwenu, unajua tuna dollar billionaire, nyinyi hamna hata mmoja.
Na hakuna wazungu, sanasana utakutana na wahindi wazawa waloanzisha export import bizness kitambo, huwezi Kuta wanasiasa.
Rudi kwenu hapo, wamewaibia na mnawasifia, mtaendelea kuibiwa hadi mtii, bado ruto kwa iyo list

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Wote ni wahindi
 
I am sure you all know the connections of the mentioned tycoon buissness men with the most influential politicians since independence. It is all about who knows who!

You don't get wealthy without connections, ndio maana hata hao wahindi wanaoshikilia utajiri wenu utakuta ndio wafadhili wakubwa wa CCM.
 
There are very many dollar Billionaires if you consider offshore accounts. In Kenya the Kenyatta & Moi families are extremely rich if offshore wealth is Considered. They own most of Kenya's private land too.
The biggest problem which affects majority of Kenyans is to believe in hearsays, I don't know when you will be cured from this problem.

The way you exaggerating things is outrageous for sure. You don't have any evidence to support what you say and what most of Kenyans believe, apart from many years of unsupported allegations and rumours on the streets.

Raila Odinga, Willium Rutto, Soko and many others had been dying to have such amount of wealth as per most Kenyans think. In Kenya the word "Sonkonization" means to became very rich man, while in Tanzania the number of people with money equivalent to Sonko is uncountable.
 
You don't get wealthy without connections, ndio maana hata hao wahindi wanaoshikilia utajiri wenu utakuta ndio wafadhili wakubwa wa CCM.
Hakuna hata mfadhali mmoja anayefadhili CCM, uchumi wenu wa Kenya umejengwa katika misingi hiyo ya kujuana na rushwa.

Ukoo wa Mo Dewji umejijengea biashara mizizi ya Biashara zake toka enzi za Nyerere, hivyo hivyo kwa marehemu Reginald Mengi, mzee Bakhressa na karibu matajiri wengi wa Tanzania, sio rahisi kumtaja hata tajiri mmoja ambaye aliwahi kuwa mwanasiasa au alikua na mahusiano na wanasiasa.

Enzi za Nyerere ilikua ukijulikana una mali, huwezi kujihusisha na siasa, wanasiasa walikua wanaogopa kwa njia yoyote ile kuwa karibu na matajiri kwa aina yoyote ile. Hiyo ndio tofauti kati ya Kenya na Tanzania.

Bahati mbaya sana wakenya mna hilo tatizo katika vichwa vyenu kwamba, kila jambo linalofanyika Kenya, mnadhani ndio hivyo hivyo karibu duniani kote. Mnapaswa mjifunze kwamba dunia ni kubwa sana, kuna maisha tofauti na yanayofanyika Kenya, nadhani huu ugonjwa wa Covid-19 umewafungua macho, lazima muanze kubadili mitazamo yenu.
 
Uhuru has the biggest dairy Factory in East and Central Africa.
Uhuru has several Banks.
Uhuru was rich even before he became the President.
Actually they don't mention Uhuru, It is Kenyatta family, you know very well how this family got it wealth.
 
Back
Top Bottom