Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

which international body has said whites dominate 90% of kenya????
Let's finish with Tanzania first, then shall turn to Kenya. Tanzania tops Africa in Economics inclusiveness, that means the economy in Tanzania is evenly distributed, compared to all other African countries.

If a country score very low in this scale, that means few people own big part of economy, can you please tell us the position of Kenya in Economics inclusiveness index?
 
Mkuu

Since Mwinyi,Nyerere days....even Kikwete...wamiliki wa vyanzo vya uzalishaji nchi hii disproportionately ni Wahindi..

Thats a FACT!

Kwa kuanzia tu,list rasmi ya Forbes ya bilionaires Tanzania kati ya watu 10,8 wote ni watu weupe kasoro Mengi na Mufuruki tu ndio weusi!

Hii list unaijua,kila mwaka inatoka,unaijua vizuri!

Mengi na Mufuruki Wamekufa,sasa ni 100% weupe,it is a sad FACT,deal with it!

Yaani maCCM majitiaga wajuaji kumbe mabumunda matupu!
Kaka tatizo wewe unaamini unachokielewa, na mimi ninaamini ninachokielewa, lazima awepo mtu wa tatu aliyepewa maalaka kisheria kuamua nani yupo sahihi, mimi na wewe kila mtu atatetea anachokiamini hatutofikia muafaka.

Duniani kuna mamlaka zilizopewa jukumu la kufanya tafiti za kiuchumi na kuzitangaza duniani kwa matumizi ya watu wote duniani, hizo mamlaka ndio mtu wa tatu kati yetu. Kama unataka huu mjadala uwe ni"Educative", basi tutumie data zao, Kama unataka ligi tu ya kubishana, basi tutumie vile tunavyojua sisi.
 
Mkuu

Forbes nani kaipa mamlaka?

Synovet nani aliipa madaraka na mamlaka?

Redet nani aliipa mamlaka?

Hapa tunazungumzia trust issue,watu world wide tend to trust forbes,etc

Wewe unataka tuamini inachosema ofisi ya serikali ya takwimu ya serikali ya Magufuli?

Amini mambo yako na mimi niamini mambo yangu

You are entitled to your own opinion,ila you are not entitled to your own FACTS!

Kama wote tunaamini Forbes,inasema asilimia 90% ya matajiri Tanzania ni weupe then sidhani kama una swali zaidi!

Endelea kuamini inachosema serikali which is always bias to make serikali look good only and not bad.....
Unaona unavyojichanganya?, mimienimekuambia tutumie data za International bodies zilizopewa mamlaka, wewe unasema ninaamini data za serikali, kaka upo sawa kweli?,

Hao waliosema kwamba Tanzania inaongoza katika Africa katika "Economic inclusiveness Index" kwani ni serikali, au ni Forbes, soma kwanza ujue ni chanzo gani kimefanya huo utafiti, kisha ndio uhoji Kama ni credible au hapana, kamwe sijasema tuamini data za serikali ya Tanzania.
 
Hiyo sijui economic inclusiveness concept .....

Mna-assume Wahindi ni Watanzania,ila sio Watanzania kiivyo kama mnavyodhani,wana double passports,na ndio wanamiliki 90% ya uzalishaji Tanzania

Ukienda deeper kwenye hizo Takwimu za Tanzania,Wahindi sio really wanapenda kua Watanzania to begin with,hivyo hakuna inclusiveness yeyote mnayotanulia matako hapa

Hizo international bodies za takwimu zilipewa "mamlaka" na nani wewe kiazi?

Nashindwa kukuelewa na neno "mamlaka"....hizi ni independent organizations na wala hazijapewa "mamlaka" na mtu au wananchi wa dunia hii....

Ni self made organizations

Hao Wazungu wa Kenya clear cut passports zao sio za Kenya na wala hawapendi uraia wa Kenya,ni raia wa original nchi zao,ndio maana unaona report inasema sio inclusive

In Tanzania na hawa Wahindi wetu kuna reality underneath,kwamba hawa Wahindi kwanza hawapendi Utanzania kama uraia wapo kujenga mali..Mistakenly wao wanadhani ni raia na wanapenda Tanzania kiivyo kumbe sio kweli...Ni sawa na Wazungu wa Kenya tu....

Hakuna tofauti ya Tanzania na Kenya na hiyo inclusiveness yako unayosemea hapa...reality ni kwamba 90% ya uchumi wa Tanzania wanamiliki Wahindi,kuhusu uraia zao ni complex issue hata hayo mashirika ya hizo report seemed to be confused of...

Wewe kuamini mashirika ya takwimu,ni sawa na mimi,shida tafsiri unayofanya ya hizi takwimu ndio unafeli wewe kama wewe!

Hizo mali unazodai Watanzania wote inclusive ni a big lie maana unashindwa kuelewa hizo takwimu vizuri,umechukua on the surface bila deeper analysis...

Watanzania more than 52% ni the poorest in the world,halafu uniambia wanamiliki 90% ya uchumi wa Tanzania?You must be stupid

Hivyo,get along with the program!

Wakenya kuna vitu huwa vinawauma sana,alafu kujifanya mnaweza wakati 0% mpaka leo unajua kwa nini east africa kuna baazi ya vitu mtasikia tu,mna mlicho na nacho mnapata support sana huku kujitangaza kuwa vinatoka kwenu mfano madini,utalii,kiswahili (alafu amjui kabisa),vyakula (eti ndizi made in kenya wakati mna nunua huku kwenda kuuza ulaya [emoji23]).

Njo na dada ako tuone kama hatarudi huku unafikili wote tunaishi kibela ,huku ukilala nje umependa toka moyoni.ardhi ya kumwaga na ichi ndicho mnalilia east africa lakini tulisha washitukia .acha kumponda baba yako hanaye kuwezesha kubadilisha sukuma wiki
 
Meanwhile Kenya
Screenshot_20201010-190528.png
Screenshot_20201010-190457.png
 
Hiyo sijui economic inclusiveness concept .....

Mna-assume Wahindi ni Watanzania,ila sio Watanzania kiivyo kama mnavyodhani,wana double passports,na ndio wanamiliki 90% ya uzalishaji Tanzania

Ukienda deeper kwenye hizo Takwimu za Tanzania,Wahindi sio really wanapenda kua Watanzania to begin with,hivyo hakuna inclusiveness yeyote mnayotanulia matako hapa

Hizo international bodies za takwimu zilipewa "mamlaka" na nani wewe kiazi?

Nashindwa kukuelewa na neno "mamlaka"....hizi ni independent organizations na wala hazijapewa "mamlaka" na mtu au wananchi wa dunia hii....

Ni self made organizations

Hao Wazungu wa Kenya clear cut passports zao sio za Kenya na wala hawapendi uraia wa Kenya,ni raia wa original nchi zao,ndio maana unaona report inasema sio inclusive

In Tanzania na hawa Wahindi wetu kuna reality underneath,kwamba hawa Wahindi kwanza hawapendi Utanzania kama uraia wapo kujenga mali..Mistakenly wao wanadhani ni raia na wanapenda Tanzania kiivyo kumbe sio kweli...Ni sawa na Wazungu wa Kenya tu....

Hakuna tofauti ya Tanzania na Kenya na hiyo inclusiveness yako unayosemea hapa...reality ni kwamba 90% ya uchumi wa Tanzania wanamiliki Wahindi,kuhusu uraia zao ni complex issue hata hayo mashirika ya hizo report seemed to be confused of...

Wewe kuamini mashirika ya takwimu,ni sawa na mimi,shida tafsiri unayofanya ya hizi takwimu ndio unafeli wewe kama wewe!

Hizo mali unazodai Watanzania wote inclusive ni a big lie maana unashindwa kuelewa hizo takwimu vizuri,umechukua on the surface bila deeper analysis...

Watanzania more than 52% ni the poorest in the world,halafu uniambia wanamiliki 90% ya uchumi wa Tanzania?You must be stupid

Hivyo,get along with the program!
Sasa kama unabishana na Sources za UN, basi wewe akili zako sio za safari hii, wewe unastahili utangulie kwenda kuishi katika sayari ya Mars peke yako kwasababu hukubaliani na jinsi hapa duniani na jinsi mambo yanavyoendeshwa.

Kaka wewe una akili nyingi sana, hapa duniani sidhani kama utaelewana na watu, kwasababu duniani data Za UN bodies ndizo zinazotumika, kama hata hao unawabishia, basi wewe sio mtu wa kawaida, wewe ukifa dunia inapaswa kuchukua ubongo wako na kuchunguza kipi cha ziada kipo kichwani mwako, hongera sana kaka kwa kuwa na akili nyingi kupitiliza.
 
black Kenyan will continue suffering until Lucifer come to them # hii ni kwakuwa kenya bado colony la mzungu na uchumi wa Kenya 90 % is white owned economy
kwani kina Dewji, Bakhresa, Patel na yule mfadhili wa CCM MATAGA ni Wabantu?
 
Mkuu

Kuna Takwimu na "kutasfiri" takwimu...

Unapokosea ni "kutafsiri" takwimu....

Hilo tu!
Mkuu jaribu kutumia muda mrefu kusikiliza na kujifunza toka kwa watu zaidi ya kupenda kulazimisha vile unavyofikiria wewe kwamba ni sahihi.
 
Niwasikilize watu niwapeleke wapi?

Nijifunze nini na sitaki kujifunza vitu ubongo wangu unaona vya kijinga..ni ubongo wangu kwa utashi wake umeamua kuona ni upumbavu,sasa unanipangia?

Mimi nikae nimsikilize mtu wa CCM nimpeleke wapi kwa mfano?

Sina muda mchafu huo...

Na wewe usipoteze muda wako kunisikiliza kwa lolote!

After all,huo ushauri uliotoa sijauomba to begin with,never hired you to be my adviser!

Advice yourself not me,sijakuomba ushauri!
Sawa mkuu, ila inathibitisha ukweli kwamba wewe akili zako si za ulimwengu huu au kama ni za ulimwengu huu basi ulipaswa uzaliwe karne ijayo, yaani una akili nyingi hadi kero mkuu, wanasema upo dakika kadhaa mbele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Remember in East Africa there is only one dollar Billionaire, that man is from Tanzania. Kenya Hakuna $ Billionaire hata mmoja.

Huu ujinga wenu mumekua mkidanganya na media zenu toka utoto wenu, endeleeni kubaki nao huko kwenu, media zenu zinewajaza ujinga kiasi cha kushindwa kutumia akili zenu.
 
Remember in East Africa there is only one dollar Billionaire, that man is from Tanzania. Kenya Hakuna $ Billionaire hata mmoja.

Huu ujinga wenu mumekua mkidanganya na media zenu toka utoto wenu, endeleeni kubaki nao huko kwenu, media zenu zinewajaza ujinga kiasi cha kushindwa kutumia akili zenu.
Muhindi. Ten out of ten richest people in Tanzania are Indians.
 
Muhindi. Ten out of ten richest people in Tanzania are Indians.

Hawa jamaa huwa wameliwa na kubaki mifupa, wanatajwa kama maskini wa kutupwa duniani ilhali wana raslimali za kumwaga, zote zinaliwa na waarabu na wahindi na hata Wachina.
Tatizo lao kubwa ni uzembe.....
 
Hawa jamaa huwa wameliwa na kubaki mifupa, wanatajwa kama maskini wa kutupwa duniani ilhali wana raslimali za kumwaga, zote zinaliwa na waarabu na wahindi na hata Wachina.
Tatizo lao kubwa ni uzembe.....
Nioneshe article inayosema Tz ni among poorest country niondoke Jf ss hv.
 
Back
Top Bottom