Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Kenyan economy is 90 % white dominated while Tanzanian economy is 80 localy dominated by Tanzanians

Cha kushangaza ni kwamba wazungu hawajafika hata 1% ya 'population' yote ya Kenya. Kwa hivyo hesabu yako ni ya kukariri tu kama ile ya 1,2,3 kwenye shule ya chekechea! Kijana, tembea ujionee kwa macho yako!
Kumbuka 62% ya uchumi wa Kenya upo mikononi mwa watu 8300, je Wazungu waliopo Kenya hawafikii hiyo idadi?. 1% ya population ya Kenya ni watu laki 4.5, kama watu 8300 pekee wanamiliki 62% ya uchumi wote, je watu 450000 watamiliki % ngapi ya uchumi wote?. Kenya economy is the most ruthless economy in Africa, stupid Kenya.
 
Kiuchumi hatuangalii idadi ya watu kuwa wingi ndo kumiliki asilimia kubwa ya uchumi ila tunaangalia who is the controller of the market

Shida hapa ni kuwa hata kama kenya uchumi wao unamilkiwa 90 percent na wazungu je faida wanayoipata wakenya inalingana na tanzania

Kumiliki 90 sio sababu ya nchi kuyumba kiuchumi kwa hata kidunia ni asilimia chini ya 10 ya watu ndio wanamiliki robo tatu ya uchumi wote wa dunia

Sera za nchi ndo kitu pekee kitakacho fanya nchi ifaidike na uchumi wake na sio kuangali sehemu moja tu
Hivi wewe unajitambua kweli?, kama uchumi wote upo mikononi mwa watu wachache na majority ya wananchi hawana kitu zaidi ya kutumikishwa na hao matajiri, kunafaida gani?. Duniani kote nchi zinapambana kuhakikisha kwamba uchumi unakuwa distributef fairly kwa wananchi wote, wewe unaleta maneno ya ulevi hapa jamvini.

Nchi inayosifika duniani kuwa na uchumi mzuri na bora ni Norway, kwa sababu tu uchumi vipato kati ya wananchi wake havitofautiani sana, kwamba uchumi umegawanywa karibu sawa kwa wananchi wote, Norway haina hata tajiri mmoja kati ya matajiri wakubwa 100 wa dunia. Huwezi kuwa na nchi yenye matajiri elfu 10 na masikini milioni 20 na ukaona sio tatizo. Kenya ni nchi yenye matatizo mengi yaliyosababishwa na kufuata ubepari kichwakichwa.
 
Hao watanzania wazawa ndo kina mo, rostam na bakhressa au kuna wengine?
 
Mfano ni omba omba kutoka Tz walotapakaa kwenye miji ya Kenya. Afu kwa akili zenu mnasema wanatoroka utajiri kwenye nchi yao. Takwimu zinaonesha kuwa idadi ya maskini Tz ni kubwa kuliko Kenya. Lakini mtajuaje wakati mpo radhi kukomalia vijiweni mkila chipsi mayai na kubugia kahawa. Yaani watz kwa usingizi nawapa heshima. Hamjui kujituma wala kujinasua, nyie mmezubaa tu ndo maana Tanzanite tulizitafuna hadi basi.
8,300 super-wealthy control two-thirds of Kenya’s economy

Katika mazingira ha ya uchumi unategemea nini?, lazima mtasababisha na kuzalisha watoto chokoraa na slums dwellers wengi. Ni lazima mkubaliane na ukweli kwamba mlifanya kosa kufuata uchumi wa kibepari bila kuwalinda na kuwajali the weak ones, matokeo yake viongozi wa kisiasa na matajiri walijilimbikizia mali na kuwaacha wananchi wa kawaida katika ufukara wa kutisha sana.
 
Ujamaa, matokeo yake ni akili mgando. Hizi enzi za mtandao na vifurushi vya bei rahisi zitatufanya tujionee mengi. Acha nijitizamie kwa mbali hawa wataalamu wa majungu wakifanya yao! 🙂
 
Hivi wewe unajitambua kweli?, kama uchumi wote upo mikononi mwa watu wachache na majority ya wananchi hawana kitu zaidi ya kutumikishwa na hao matajiri, kunafaida gani?. Duniani kote nchi zinapambana kuhakikisha kwamba uchumi unakuwa distributef fairly kwa wananchi wote, wewe unaleta maneno ya ulevi hapa jamvini.

Nchi inayosifika duniani kuwa na uchumi mzuri na bora ni Norway, kwa sababu tu uchumi vipato kati ya wananchi wake havitofautiani sana, kwamba uchumi umegawanywa karibu sawa kwa wananchi wote, Norway haina hata tajiri mmoja kati ya matajiri wakubwa 100 wa dunia. Huwezi kuwa na nchi yenye matajiri elfu 10 na masikini milioni 20 na ukaona sio tatizo. Kenya ni nchi yenye matatizo mengi yaliyosababishwa na kufuata ubepari kichwakichwa.
Hivi lete facts za kulinganisha kenya na tanzania kwa hicho unachosema kuna tatizo kubwa

Haya tz ndo wazawa wanamiliki 90 percentage ni nini benefits ambazo zipo kuizidi kenya?

Je deni la taifa kati ya kenya na tanzania lipi liko juu

Kama deni la tz ni zaidi ya bajeti ya tz unawezaje kusema uchumi wa tz ndo bora kuliko kenya
In fact unaongea theoretical na dhama hizi sio za theoretical ni za practical
 
Ujamaa, matokeo yake ni akili mgando. Hizi enzi za mtandao na vifurushi vya bei rahisi zitatufanya tujionee mengi. Acha nijitizamie kwa mbali hawa wataalamu wa majungu wakifanya yao! 🙂
Unatapatapa tu huna unachozungumza, ni juzi tu Tanzania imeongoza nchi za kusini mwa sahara katika Inclusive economy, Kenya mnaongoza kwa gap lubwa la kiuchumi kati ya masikini na matajiri, kutokana na sera zenu mbaya za kibepari, Kenya imebaki kuwa na unemployment kubwa, slums nyingi na kubwa, idadi kubwa ya wananchi wasiopata maji ya kutumia, ukosefu wa chakula kwa wananchi wake, na insecurity, kuliko nchi zote hapa EA.
 
Hivi lete facts za kulinganisha kenya na tanzania kwa hicho unachosema kuna tatizo kubwa

Haya tz ndo wazawa wanamiliki 90 percentage ni nini benefits ambazo zipo kuizidi kenya?

Je deni la taifa kati ya kenya na tanzania lipi liko juu

Kama deni la tz ni zaidi ya bajeti ya tz unawezaje kusema uchumi wa tz ndo bora kuliko kenya
In fact unaongea theoretical na dhama hizi sio za theoretical ni za practical
Bado ninakupa nafasi kuona nikiamini unaweza kuwa ni mtu unayejua kile unachozungumza, ila nimeanza kuwa na mashaka na uwezo wako wa kuzungumza mada ngumu ngumu kama hizi, hasa pale ulipogusia kuhusu deni la Taifa la TZ, naomba unijibu kati ya Tanzania na Kenya ni nchi gani yenye deni kubwa na ambalo linaanza kuwa tatizo kwa uchumi wa nchi?
 
Hadi mwaka 2016 kenya ilikuwa inadaiwa $37.08 na tanzania $ 16.74 (www. Coubtryeconomy.com)
Foreign exchange tz $1= tsh 2249.90
Kenya $1=ksh100.90

Ukiweka katika viwango ya thamani ya fedha kwa nchi husika kenya wanadaiwa ksh3.74trillion
Na tanzania tsh 37.6 trillion

Nani hapo yupo kwenye danger zone kati ya tz na kenya kulingana na bajeti ya nchi zao
 
Hadi mwaka 2016 kenya ilikuwa inadaiwa $37.08 na tanzania $ 16.74 (www. Coubtryeconomy.com)
Foreign exchange tz $1= tsh 2249.90
Kenya $1=ksh100.90

Ukiweka katika viwango ya thamani ya fedha kwa nchi husika kenya wanadaiwa ksh3.74trillion
Na tanzania tsh 37.6 trillion

Nani hapo yupo kwenye danger zone kati ya tz na kenya kulingana na bajeti ya nchi zao
Samahani sana ndugu yangu, I think unazungumza na wrong person, tafuta mwenye uelewa wa level yako uweze kujadiliana naye, I am very sorry can't match with you[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
80% my foot.

wp_ss_20180212_0001.png
wp_ss_20180212_0002.png
wp_ss_20180212_0003.png
wp_ss_20180212_0004.png
wp_ss_20180212_0005.png
wp_ss_20180212_0006.png
 
Mfano ni omba omba kutoka Tz walotapakaa kwenye miji ya Kenya. Afu kwa akili zenu mnasema wanatoroka utajiri kwenye nchi yao. Takwimu zinaonesha kuwa idadi ya maskini Tz ni kubwa kuliko Kenya. Lakini mtajuaje wakati mpo radhi kukomalia vijiweni mkila chipsi mayai na kubugia kahawa. Yaani watz kwa usingizi nawapa heshima. Hamjui kujituma wala kujinasua, nyie mmezubaa tu ndo maana Tanzanite tulizitafuna hadi basi.
Leta hiyo Takwimu
na uniambie lini kulitokea Mtanzania akaona heri Anyonge watoto wake
kuliko kufa na njaa
Au lin mtanzania Akategemea Maziwa ya Mbwa!!
 
Acha kutapatapa na kutafuta screenshot za kujitetea, juzi tu hapa umoja wa mataifa umeitangaza Tanzania kuongoza katika Africa kwa kuwa na the most Inclusive economy, umeanza kuweweseka kwa kuanza kutafuta taarifa za vichochoroni ili kujiliwaza.

Haya mambo yanatokana na research za kitaalamu zilizofanywa na wataalamu wenye level na sifa za kidunia, sio maneno au tafiti za Twaweza zinazofanywa na wajaluo na wakamba wenye njaa na wala rushwa, wapo tayari kupokea pesa na kupika data ili kumridhisha mtu fulani. Kwa ufupi" Tanzania leads sub sahara in Inclusive economy".
 
Leta hiyo Takwimu
na uniambie lini kulitokea Mtanzania akaona heri Anyonge watoto wake
kuliko kufa na njaa
Au lin mtanzania Akategemea Maziwa ya Mbwa!!
Takwimu ziko wapi hizo za kuonesha Kenya inamilikiwa kwa asilimia tisini na wazungu. Hao wazungu pia majina yao nayangoja. Au ndo upo kwenye shughuli ya kutafuna minofu ya albino? Maliza fasta basi. Afu ukishashiba pitia ujumbe wa Kafrican hapo juu.
 
Cha kushangaza ni kwamba wazungu hawajafika hata 1% ya 'population' yote ya Kenya. Kwa hivyo hesabu yako ni ya kukariri tu kama ile ya 1,2,3 kwenye shule ya chekechea! Kijana, tembea ujionee kwa macho yako!
Wewe ni Kichwa Maji kabisa
Hebu jiulize
Nairobi ina Watu 4ml
Na imezungukwa na Slum kila pande
bila kusahau Slum mbaya na za hatari Duniani zinapatikana Kenya!
hizo Slum zina zaidi ya wakenya 3ml
Nimoja ya picha inayo kuonyesha umasikini Kenya ni Mbaya sana kuliko taifa lolote Hapa EA
 
Wewe ni Kichwa Maji kabisa
Hebu jiulize
Nairobi ina Watu 4ml
Na imezungukwa na Slum kila pande
bila kusahau Slum mbaya na za hatari Duniani zinapatikana Kenya!
hizo Slum zina zaidi ya wakenya 3ml
Nimoja ya picha inayo kuonyesha umasikini Kenya ni Mbaya sana kuliko taifa lolote Hapa EA
Un pia walisema 70% dar ni slum
 
Takwimu ziko wapi hizo za kuonesha Kenya inamilikiwa kwa asilimia tisini na wazungu. Hao wazungu pia majina yao nayangoja. Au ndo upo kwenye shughuli ya kutafuna minofu ya albino? Maliza fasta basi.
Wacha kugeuza mada
Nshu hapa ni umasikini kati ya Tanzania na Kenya
lete hizo Takwimu zako
ulizo sema Kenya ipo vizuri kuliko Tanzania
 
Wacha kugeuza mada
Nshu hapa ni umasikini kati ya Tanzania na Kenya
lete hizo Takwimu zako
ulizo sema Kenya ipo vizuri kuliko Tanzania
Hizi comment zako unaandikiwa na mtu mwingine au? Yaani hueleweki kabisa. Unabadilisha gia sana. Rudi kwenye zile mada zako za magaidi wenzako al-shabaab. Au tamaa yako ya kujilipua iliisha?
 
We Hujitambui kabisa
Lete Orodha ya Slum 100
Kama da imo nami nitakunywa maziwa ya mbwa kama wakenya
Asilimia kubwa ya watz wanaishi kwenye slum. Asilimia ndogo iliyobaki wapo Kenya wakiombaomba. Acha ikuingie akilini ndo upate hasira ya kuenda kudai bikra zako 72!
 
Back
Top Bottom