Kenyan media houses against Tanzania

Kenyan media houses against Tanzania

Hili ni janga la dunia, lazima tufuate template inayoeleweka, nyie wenyewe hapo bila aibu mnaomba misaada mabeberu ilhali bado mnataka mfanye mambo yenu yasiyoendana na mantiki yoyote, data za nini unakaa ndani nazo, hii hata mabingwa wa kuficha data akina China na Urusi wote wanataarifu hali yao, nyie na umaskini wenu wa Kiafrika mnasuasua ya nini halafu mnakuja kushtukiza na kupita majirani zenu wote kwa idadi ya maambukizi.

Halafu nyie ndio nchi ambayo mpaka leo mnakusanyika kwenye vilabu vya pombe, majirani zenu wamewafungia mipaka maana nyie ni wakaidi na wabishi kuliko maelezo, mnapukutika hadi wabunge na bado mnaendelea kukaidi, namba za waathirka wenu zinapandisha kwa kishindo ilhali mnapima watu wachache sana na bado hamuoni kama issue.
Mngekua mnapima kwa kasi kama majirani zenu yaani ndio mngeelewa nini kinaendelea duniani.
Sisi hatujashikiwa akili kama ninyi, kama mmeamua kufuata template kwendeni nayo. Rais wetu ni huru kuamua vile anataka kwa maslahi ya nchi yake sio wakwenu aliyeshikwa akili na brits na kusahau ndugu zake wanaolala mabandani
 
Siwezi kubishana na wewe, subiri hero wako anaenda kukaliwa kooni, believe me ataimplement WHO guidelines bila kupenda, ikiwemo lockdown.

Dunia hii wapo vichwa maji zaidi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaomba utuonyeshe hiyo guideline ya WHO kwanza ili tuijue, inaonekana huna ufahamu wowote kuhusu tofauti kati ya "Guideline, Recommendations na Advices".

Kamwe WHO haijasema lolote kuhusu kutangaza kwa matokeo ya Corona hadharani, kama unaushaidi kwamba WHO wamesema kula nchi ni lazima itangaze hadharani kila siku, tafadhani tuonyeshe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaomba utuonyeshe hiyo guideline ya WHO kwanza ili tuijue, inaonekana huna ufahamu wowote kuhusu tofauti kati ya "Guideline, Recommendations na Advices".

Kamwe WHO haijasema lolote kuhusu kutangaza kwa matokeo ya Corona hadharani, kama unaushaidi kwamba WHO wamesema kula nchi ni lazima itangaze hadharani kila siku, tafadhani tuonyeshe.

Sent using Jamii Forums mobile app
You are playing games here, an advice from an organisation such as WHO on a pandemic like COVID-19 if ignored will result to what we are now seeing in Brazil and Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko mbona mbali mwambie atafsiri hiki alichoandika (i) kwa kiswahili na (ii) kwa uwingi
Yaani kiswahili chetu tume hangaika nacho weee, Nyerere kahangaika nacho kukisambaza nchi nzima, baadae kukisambaza duniani, serikali imewekeza mapesa mengi kwenye kukisanifu, kukikuza, kukisimamia

Wasanii wetu wamehangaika nacho kukitangaza na kukitambulisha ulimwenguni kote kupitia kazi za za kisanaa leo kiswahili kimekua maarufu kinasifika huko mitandaoni kwenye platforms za wasanii wetu mpaka saivi kiswahili ndio African language inayoongoza kufundishwa Marekani

Ghafla minyang'au iliyokua daima dawamu inatucheka na kuita lugha yetu ya kishenzi kwamba English hatujui ndio maana tunajibaraguza na Kiswahili chetu, leo kimependeza kimechanua Ghafla bin vuu kimekua Chao 😂😂😂😂😂😂


Ila uzuri mmoja hata waking'ang'ania bado Hakuna Mkenya anayeishi kwa sasa anaweza kuongea sentence mbili za kiswahili sanifu, ukiwasikiliza tu wasomi wao wa lugha wa naongea utopolo mtupu 😅😅😅
 
Tunga insha ya maneno yasiyopungua 500 juu ya chimbuko LA Kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
Insha ndefu, chukua wimbo wowote wa Tanzania huko youtu.be mwambie akutafsirie neno kwa neno kwenye lyrics za huo wimbo

Yaani wakenya 99% wanasikiliza bongoflava bila kujua maana ya almost 95% ya lyrics za hizo nyimbo, means wasanii wa bongo wanaweza kutunga nyimbo za matusi kuwatukana wakenya na Wakenya wakazicheza na kuzifurahia hizo ngoma bila kustuka wanatukanwa.
 
And always Tanzanian media are waiting for Kenyan Covid 19 updates! Kenya wakitangaza kuongezeka kwa wagonjwa basi media za Tanzania zinawahi kuandika habari hiyo kupita hata media za Kenya, hii itoshe kuonyesha kuwa watanzania wanasubiri cha kuandika ila hawapewi wanasubiri za Kenya, Uganda na nje ya Afrika, uhuru wa vyombo vya habari kitanzini!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaomba utuonyeshe hiyo guideline ya WHO kwanza ili tuijue, inaonekana huna ufahamu wowote kuhusu tofauti kati ya "Guideline, Recommendations na Advices".

Kamwe WHO haijasema lolote kuhusu kutangaza kwa matokeo ya Corona hadharani, kama unaushaidi kwamba WHO wamesema kula nchi ni lazima itangaze hadharani kila siku, tafadhani tuonyeshe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha... Guideline definition:
A general rule, a principle or piece of advice.

Kuna watu wanapenda ligi sijawahi kuona. Haya nenda kwenye website ya WHO utaziona, little monkey!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
For about a month now media houses in Kenya has come up against Tanzania as a country for what they term as Covid 19 rising case as a point to interferes the internal matters. Every country has its own ways of dealing and handling different matters, it may not look the way you wish it should be as it is in your country.

Kenya has been harassing TANZANIA to behave the way they behave towards the fight against Covid19. Citizen TV were forced to apologize to the globe community for the negative motive they have against the Tanzanian President Magufuli.
Last week NTV came up with another lie that 50 people died in a single day in Tanzania...of which is not true at all and NTV has no evidence.

Mediamax through operanews frequently has been airing articles of clear hatrade to president of Tanzania and his way he runs the country.They seem to have a better way to show how the country should run.

Today mediamax has come up with an article saying " We should term Magufuli before he terms us".This is clear that Kenya through its different media houses is well prepared during vthis perndemi period to tell the world that Tanzania and it's President is not safe.

Kenya through its media houses is mobilising his citizens to hate Tanzania and his people that they have Covid 19 and they should never intertained.

For several years Kenya has been portraying a wrong Image about Tanzania especially in tourism Industry by telling that Mount Kilimanjaro is in Kenya, It can be easily seen from 209 km from Nairobi city by naked ayes.

That's just 1 example among many. Locust invaded Kenya and swept may hecters of crops leaving the country with no food.The media changed it into a problem for East African countries including Tanzania., which is not True.

The question is, What does rest Kenya media houses want from The Republic of Tanzania?
Tha answer is very simple and clear.
Tanzania media has been cut off no freedom of speech in Tanzania.

So we all due respect we thanks our sisters Kenyan for speaking out on behalf. And we urge our Kenyan friend to help Tanzania the new Wuhan and hotbed of Africa coronavirus.
#ukaidi wa magufuli
 
Magufuli ni tishio kwa uchumi wa kenya hatua zake za kuimarisha uchumi wa Tanzania
Kelele za wakenya hazinistui
Usijitoe ufahamu.

Magufuli anaua uchumi wa Tanzania.

Kwa akili za kitoto tu. Niambie kafanya juhudi gani kuinua uchumi unaoangamizwa na virus?

Usijitoe ufaham aisee labda kama baba yako ni waziri hapo nitakuelewa au labda wewe ni msuKUMa upo chato hapo nitakuwa sina shida na wewe
 
Tz Media i s under strict censorship!
Tz has no independent media,the same is controlled by state machinations. How foolish is her people!
Jamaa grammar ni sifuri kabisa. Kwanini hakuandika Kiswahili? Eti Media houses has..., as a point to interferes.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Naye anaamini akisifia kama alivyofanya Mwigulu, atasikika na hatimaye kuonekana. Shame.....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are playing games here, an advice from an organisation such as WHO on a pandemic like COVID-19 if ignored will result to what we are now seeing in Brazil and Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ya Kenya na Tanzania ni ipi?, Kenya ina idadi kubwa ya vifo kuliko Tanzania, na Tanzania ina idadi kubwa ya wagonjwa kuliko Kenya. Mapendekezo yapi ya WHO ambayo Tanzania haijayafuata lakini Kenya inayafuata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And always Tanzanian media are waiting for Kenyan Covid 19 updates! Kenya wakitangaza kuongezeka kwa wagonjwa basi media za Tanzania zinawahi kuandika habari hiyo kupita hata media za Kenya, hii itoshe kuonyesha kuwa watanzania wanasubiri cha kuandika ila hawapewi wanasubiri za Kenya, Uganda na nje ya Afrika, uhuru wa vyombo vya habari kitanzini!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha kuripoti kile kilichotangazwa na vyombo vya habari vya Kenya kama vilivyo bila kubadilisha, hiyo ndio kazi na jukumu la media zote. Tatizo vyombo vyenu vya habari vinatangaza mambo ya Tanzania bila kujtaja " sources" za hizo habari, wanatangeneza habari za uzushi kwa sababu ya wivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofautisha kuripoti kile kilichotangazwa na vyombo vya habari vya Kenya kama vilivyo bila kubadilisha, hiyo ndio kazi na jukumu la media zote. Tatizo vyombo vyenu vya habari vinatangaza mambo ya Tanzania bila kujtaja " sources" za hizo habari, wanatangeneza habari za uzushi kwa sababu ya wivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie basi mamlaka za Tz zitoe habari, wengine wanataka kuandika zenu ila hamtoi sasa, inabidi kinachopatikana ndo kiandikwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofauti ya Kenya na Tanzania ni ipi?, Kenya ina idadi kubwa ya vifo kuliko Tanzania, na Tanzania ina idadi kubwa ya wagonjwa kuliko Kenya. Mapendekezo yapi ya WHO ambayo Tanzania haijayafuata lakini Kenya inayafuata?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alikuambia, Tanzania kwa siku wanaondoka wa kutosha...hata picha tu huoni, umejificha kwenye pango gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom