pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Mnajitekenya wenyewe kisha mnacheka kwa nguvu nyingiii. Mbona list ya Superbrands za kikenya ipo, hilo tuzo za E.A mlipewa lini na wapi na nani? Unabisha sana wakati unajua kabisa kwamba quality ya media za Kenya mpo mbali sana kuifikia.Ahaaa haaa haaa
acha povu bwana mdogo.
kweli Tanzania media zake ni za hovyo wakati kituo pendwa cha ITV kinapata tuzo za SUPER BRAND EAST AFRIKA MIAKA MITATU MFULULIZO?
Teh teh teh tihiii