Kenyan media sector VS Tanzania media sector

Kenyan media sector VS Tanzania media sector

Unaumwa, lugha za mama au lugha za asili ndio lugha ambazo huwa zinatumika kufikisha ujumbe wowote nyeti virahisi kule mashinani. Sasa tuseme wewe hapo ambaye huna weledi wowote kwenye lugha yako ya asili, na bado huwa unachemsha hapa jukwaani kwenye lugha zote za kiingereza na kiswahili ni mbumbumbu wa kutupwa au? Alafu pia hujajibu swali langu, kinachozuia media za Tz. kufanya kazi zao kwa weledi ni nini?
Mmh.. mtu ambae ni mgeni anaeza amini maneno yako unavyo yatoa kwa uhakika! Hamna regular wa hii sub section ambae hajui angalau lugha moja kati ya mbili za Kiswahili na English! Huo uweledi unao utaka ni upi wakati mnawasiliana kila siku. Ukishindwa kwa hoja siyo busara kuanza kutoa tuhuma mfukoni nakubambikizia watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I am able to communicate effectively even to complete idiots thats why you understand and quote me.
I wonder where in kenya you come from where Tribal languages are used as the language of instruction to students. Stop being dishonest
The reason why Tz has no Tribal Media stations is because Mwalimu nyerere understood that language difference can severly fan tribal hatred. The media in TZ is patriotic, yes they can make extra money by targeting spefic markets with tribal radio stations but they understand that the country is bigger than a few coins
Bure kabisa, sasa tumeanza kuongea kuhusu lugha inayotumika kufunza mashuleni? Umetumia kigezo cha lugha kuponda media za Kenya. Nikakuuliza swali rahisi, mbona media za Tz ni za ovyo ovyo kwenye taaluma yao wakati lugha wanayoitumia sana sana ni moja tu, ya kiswahili?
 
Mmh.. mtu ambae ni mgeni anaeza amini maneno yako unavyo yatoa kwa uhakika! Hamna regular wa hii sub section ambae hajui angalau lugha moja kati ya mbili za Kiswahili na English! Huo uweledi unao utaka ni upi wakati mnawasiliana kila siku. Ukishindwa kwa hoja siyo busara kuanza kutoa tuhuma mfukoni nakubambikizia watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma comment yangu tena. Weledi ninaouongelea ni kwenye uanahabari ambao haupo kwenye media za Tz sio kwenye mawasiliano na lugha. Au wewe huwa unaona freshi tu Tv. zenu zikicheza taarabu wakati wa misiba badala ya kuwafahamisha wananchi yanayojiri live? Ukishindwa kuelewa kinachojadiliwa wakati mwingine ni bora kubaki kimya.
 
Soma comment yangu tena. Weledi ninaouongelea ni kwenye uanahabari ambao haupo kwenye media za Tz sio kwenye mawasiliano na lugha. Au wewe huwa unaona freshi tu Tv. zenu zikicheza taarabu wakati wa misiba badala ya kuwafahamisha wananchi yanayojiri live? Ukishindwa kuelewa kinachojadiliwa wakati mwingine ni bora kubaki kimya.
Hamna ulisema jamaa anachemsha hapa jukwaani kwa lugha zote mbili!! anyways tufupishe mambo muda ni mchache. Mnajitahidi ila hizo media za makabila zina wagawa mpaka zina andaaga matamasha maalum ya makabila! unaweza ukatetea kwa hoja tamu ila ukabila Kenya unawatafuna na vitu hivi vinachochea. Media house iliyo invest zaidi kwenye miundo mbinu na rasilimali watu kwa E.A ni Azam media najua hujawai itizama ila siku ukipata fursa uta enjoy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna ulisema jamaa anachemsha hapa jukwaani kwa lugha zote mbili!! anyways tufupishe mambo muda ni mchache. Mnajitahidi ila hizo media za makabila zina wagawa mpaka zina andaaga matamasha maalum ya makabila! unaweza ukatetea kwa hoja tamu ila ukabila Kenya unawatafuna na vitu hivi vinachochea. Media house iliyo invest zaidi kwenye miundo mbinu na rasilimali watu kwa E.A ni Azam media najua hujawai itizama ila siku ukipata fursa uta enjoy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Stop being narrow minded. Nation Media Group(NMG) is all over E. Africa but do we say. In print and mass media too. Tz media is so close to being just a flip of imagination. Quality, zero.
 
Stop being narrow minded. Nation Media Group(NMG) is all over E. Africa but do we say. In print and mass media too.
So according to your broad mind Azam media hipo Tz peke yake!! I know your not informed ila unaeza ukafanya ka research kidogo.. i agree NMG hipo E.A na ni big media house ila kwa uwekezaji wa Azam NMG anangoja sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So according to your broad mind Azam media hipo Tz peke yake!! I know your not informed ila unaeza ukafanya ka research kidogo.. i agree NMG hipo E.A na ni big media house ila kwa uwekezaji wa Azam NMG anangoja sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
NMG owns publications all the way in Uganda and Tv. stations. Maybe you should compare their earnings.
 
Don't feel so bad... Hapa Kenya pia ni jokers tu. Some try, a lot of times they do good.. but they are just as clueless. I personally believe , because of the importance of the media to a society, journalists need training in more than presentation and the like. They need to learn law, psychology, political science, economics and be taken through a class on patriotism.
Nilikua nikifuatulia western media kabla social media hazijawa dominant kwangu. Unakuta mwandishi wa habari ana background[degree etc] ya sheria, udaktari, engineer, uchumi etc Ila elimu yake ya juu ni mwandishi wa habari na akiwa kwenye media yupo kwenye specific issue km ni makala ya afya uchumi nk kutokana na background yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow Guys, Habari yenu waungwana toka ktk jumuia yetu ya Afrika Mashariki, binafsi nawasilisha UZI leo siku ya Jpili, nimebahatika kutazama television kadhaa za Kenya nimeona hawa jamaa wanafanya investment kubwa sana ktk media houses zao tofauti kabisa na Tanzania, hata ukitazama vipindi vya Tv vya Kenya unaona umakini wa hali ya JUU mnoo kuanzia uandaaji wa habari mpaka makala wanazo tengeneza tofauti na Tanzania ni muda mrefu sanaa ktk Teleision zetu nyingi waandishi wetu wa habari wanashindwa kuandaa makala au habari za utafiti zilizo ktk kiwango kizuri na zenye content. Nikijaribu ku tolea mfano ktk vituo kadhaa vya kenya citizen tv leo Jpili wanaleta makala ya vijana wanaokwenda kujiunga na al shabaab hii kitu POA sanaa na sio mara yao ya kwanza kuleta makala kama izo hapa TZ makala za utafiti kama izi niliwahi kushuhudia kipindi kile cha sakata la watoto yatima pale MAKETE na HIV kule mkoa mpya wa Njombe alikuwepo dada mmoja toka channel Ten alikuwa anaitwa Bahati mndetele Nyembe alileta ile makala ilimpa sifa sanaa kuanzia hapo makala kama zile zimeadimika TZ achana na zile habari za uchunguzi za akina DC JM
To be honest hata Kenya kwa sasa wameyumba nikiwa na maana ya kuwa sii kama ilivyokuwa miaka kadhaa nyuma. Ukizungumzia watu kama akina JICHO LA SIMBA enzi zao n.k.

Ila kwa ujumla mambo yamebadilika na asilimia kubwa ya wahariri wa siku hizi wanaangalia maslahi ya taasisi zao zaidi kuliko kuitimizia jamii matakwa yake.
 
weww ndio unasema hivyo lakini watu wamichagua ITV kua superbrandy afrika mashariki so iyo citzeni ipo ulaya au

Sent using Jamii Forums mobile app
ITV ni superbrandy tv kwa upande wa TZ tu huwezi fananisha investment ya ITV na citizen tv kk kwanza tazama studio ya citizen ni super b compare ya itv .... ukweli lazima usemwe hapa alafu kitu kingine biashara ya media kenya imekuwa imara sana maana matangazo ni mengi mnoooo yaani ukiangalia citizen tv kwa mfano unakuta matangazo ya bidhaa tofauti tofauti matangazo yanakwenda dakika 10+
 
To be honest hata Kenya kwa sasa wameyumba nikiwa na maana ya kuwa sii kama ilivyokuwa miaka kadhaa nyuma. Ukizungumzia watu kama akina JICHO LA SIMBA enzi zao n.k.

Ila kwa ujumla mambo yamebadilika na asilimia kubwa ya wahariri wa siku hizi wanaangalia maslahi ya taasisi zao zaidi kuliko kuitimizia jamii matakwa yake.


okay asante kwa inputs, lkn bado wanafanya poa sanaaa mfano juzi ile makala ya SIRI YA ISIOLO it was super b japo ilikuwa dakika chache
 
ITV ni superbrandy tv kwa upande wa TZ tu huwezi fananisha investment ya ITV na citizen tv kk kwanza tazama studio ya citizen ni super b compare ya itv .... ukweli lazima usemwe hapa alafu kitu kingine biashara ya media kenya imekuwa imara sana maana matangazo ni mengi mnoooo yaani ukiangalia citizen tv kwa mfano unakuta matangazo ya bidhaa tofauti tofauti matangazo yanakwenda dakika 10+
yaani wewe naona akili huna kabisa naona hapa tutabishana mpaka kesho au ufatilii hata tv kila siku itv wanasema ni superbrandy east africa na tuzo wamepewa kwa kupigiwa kura kwq mara ya tatu mfululizo wewe unasema ni tz tu sasa unaakiri kweli bhasi hao citzeni waambie nao wqjitangaze kua superbarnd afrika mashariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow Guys, Habari yenu waungwana toka ktk jumuia yetu ya Afrika Mashariki, binafsi nawasilisha UZI leo siku ya Jpili, nimebahatika kutazama television kadhaa za Kenya nimeona hawa jamaa wanafanya investment kubwa sana ktk media houses zao tofauti kabisa na Tanzania, hata ukitazama vipindi vya Tv vya Kenya unaona umakini wa hali ya JUU mnoo kuanzia uandaaji wa habari mpaka makala wanazo tengeneza tofauti na Tanzania ni muda mrefu sanaa ktk Teleision zetu nyingi waandishi wetu wa habari wanashindwa kuandaa makala au habari za utafiti zilizo ktk kiwango kizuri na zenye content. Nikijaribu ku tolea mfano ktk vituo kadhaa vya kenya citizen tv leo Jpili wanaleta makala ya vijana wanaokwenda kujiunga na al shabaab hii kitu POA sanaa na sio mara yao ya kwanza kuleta makala kama izo hapa TZ makala za utafiti kama izi niliwahi kushuhudia kipindi kile cha sakata la watoto yatima pale MAKETE na HIV kule mkoa mpya wa Njombe alikuwepo dada mmoja toka channel Ten alikuwa anaitwa Bahati mndetele Nyembe alileta ile makala ilimpa sifa sanaa kuanzia hapo makala kama zile zimeadimika TZ achana na zile habari za uchunguzi za akina DC JM
Siyo tv tuu elimu maisha, upangaji wa mipango tofauti na tanzania ni sisi tuko kijijini, tunajua kuchonga mdomo tuu
 
Media za kenya ni very tribal..Kuna Tv na radio za wakikuyu wakalejin wajaluo n.k
Zinazo baki ni za wanasiasa na agenda yao ni kupigia debe mwanasiasa mmiliki..
Hakuna media inayo egemea mahitaji ya mwananchi wa kawaida.
Kenya hakuna media freedom, kuna tribal freedom..Makabila yapo huru kuchochea migawanyiko ya kikabila kupitia media

kweli kabisa, hata kuna mmoja mmiliki wa radio moja ya kikabila alishitakiwa na kina uhuruto kule the Hague. sijui kesi iliisheje!!?

CC: Pingli-Nywee
 
Bure kabisa, sasa tumeanza kuongea kuhusu lugha inayotumika kufunza mashuleni? Umetumia kigezo cha lugha kuponda media za Kenya. Nikakuuliza swali rahisi, mbona media za Tz ni za ovyo ovyo kwenye taaluma yao wakati lugha wanayoitumia sana sana ni moja tu, ya kiswahili?

Ahaaa haaa haaa
acha povu bwana mdogo.
kweli Tanzania media zake ni za hovyo wakati kituo pendwa cha ITV kinapata tuzo za SUPER BRAND EAST AFRIKA MIAKA MITATU MFULULIZO?

Teh teh teh tihiii
 
Back
Top Bottom