pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Mnajitekenya wenyewe kisha mnacheka kwa nguvu nyingiii. Mbona list ya Superbrands za kikenya ipo, hilo tuzo za E.A mlipewa lini na wapi na nani? Unabisha sana wakati unajua kabisa kwamba quality ya media za Kenya mpo mbali sana kuifikia.Ahaaa haaa haaa
acha povu bwana mdogo.
kweli Tanzania media zake ni za hovyo wakati kituo pendwa cha ITV kinapata tuzo za SUPER BRAND EAST AFRIKA MIAKA MITATU MFULULIZO?
Teh teh teh tihiii
yaani wewe naona akili huna kabisa naona hapa tutabishana mpaka kesho au ufatilii hata tv kila siku itv wanasema ni superbrandy east africa na tuzo wamepewa kwa kupigiwa kura kwq mara ya tatu mfululizo wewe unasema ni tz tu sasa unaakiri kweli bhasi hao citzeni waambie nao wqjitangaze kua superbarnd afrika mashariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hekaya za abunuasi wewe , how do you know that they are not trained in the mentioned professional? Ama unataka kila mwanahabari awe anatangaza amesomea nini ndio uridhike?Nakumbuka Julie Gichuru alikua anahojiwa na alisema hajawahi somea journalism yeye alifanya law lakini alipotafuta kazi pale ktn aliuliza mbona amechukuliwa licha ya yeye kua mwanasheria na wale HR walimjibu kua walimchukua Kwa sababu yeye ni mwanasheria na tena amefanya ile criminal law na itasaidia Sana haswa kupata taarifa kutoka upande wa mahakama .Kwa hivyo hicho ni kiashiria kua media house inaajiri mwanahabari kulingana na mahita ya idara mbalimbali.Don't feel so bad... Hapa Kenya pia ni jokers tu. Some try, a lot of times they do good.. but they are just as clueless. I personally believe , because of the importance of the media to a society, journalists need training in more than presentation and the like. They need to learn law, psychology, political science, economics and be taken through a class on patriotism.
Azam imewekeza nini kwenye media industry? Wana products aina ngapi? Na Azam yenyewe turnover yake ni ngapi?.utakua mtu ambaye hana maana ukikompea Azam na NMG.So according to your broad mind Azam media hipo Tz peke yake!! I know your not informed ila unaeza ukafanya ka research kidogo.. i agree NMG hipo E.A na ni big media house ila kwa uwekezaji wa Azam NMG anangoja sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi nilikua nafwatilia cloud tv,Kwa siku mbili mtawalia walikua na tangazo moja Tu la Coca-Cola mpaka nikajiuliza kwani kampuni za kitanzania hazinaga vitu za kutangaza.ITV ni superbrandy tv kwa upande wa TZ tu huwezi fananisha investment ya ITV na citizen tv kk kwanza tazama studio ya citizen ni super b compare ya itv .... ukweli lazima usemwe hapa alafu kitu kingine biashara ya media kenya imekuwa imara sana maana matangazo ni mengi mnoooo yaani ukiangalia citizen tv kwa mfano unakuta matangazo ya bidhaa tofauti tofauti matangazo yanakwenda dakika 10+
I didn't say I know.. It was just a recommendation that it should be a requirement. If there are any that have such qualifications, good, I wish all would or most.Acha hekaya za abunuasi wewe , how do you know that they are not trained in the mentioned professional? Ama unataka kila mwanahabari awe anatangaza amesomea nini ndio uridhike?Nakumbuka Julie Gichuru alikua anahojiwa na alisema hajawahi somea journalism yeye alifanya law lakini alipotafuta kazi pale ktn aliuliza mbona amechukuliwa licha ya yeye kua mwanasheria na wale HR walimjibu kua walimchukua Kwa sababu yeye ni mwanasheria na tena amefanya ile criminal law na itasaidia Sana haswa kupata taarifa kutoka upande wa mahakama .Kwa hivyo hicho ni kiashiria kua media house inaajiri mwanahabari kulingana na mahita ya idara mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Even CNN sometimes do pull the weirdest stunt and you know that very well,but you can't make a blanket judgement because of that.I didn't say I know.. It was just a recommendation that it should be a requirement. If there are any that have such qualifications, good, I wish all would or most.
Do you think they would have the githeri media tag if we were OK..
They pull some of the weirdest stunts sometimes.
Hiyo ni studio moja 2015! By Giordano designs, hawa hamna media kouse inaeza walipa hapo Kenya. Halafu huyo Tido alikua top wa BBC huko London. Wengine wengi wamevutwa kutoka Asia na Europe kuja kuongeza uweledi! Sasa kabla hatujaenda kwenye mapato niambie cost za studio ya Citizen!Azam imewekeza nini kwenye media industry? Wana products aina ngapi? Na Azam yenyewe turnover yake ni ngapi?.utakua mtu ambaye hana maana ukikompea Azam na NMG.
Sent using Jamii Forums mobile app
I don't want us to look up to CNN. Is it wrong that I want the best, it is because we got comfortable and super commercial that we are loosing reporting integrity. There is so much self interest, poor research, sorry interview skills and honestly no follow up. and to think they set the agenda for the country and mirror our mood.Even CNN sometimes do pull the weirdest stunt and you know that very well,but you can't make a blanket judgement because of that.
Sent using Jamii Forums mobile app
Startimes ipo na cloud tv,labda pia ukitumia DStv,Gotv na zuku hazina stations za Tanzania.iv na huko kenya wenzetu mnaona hata tv station moja ya Tz ktk ving'amuzi / visimbusi (decoder) zenu ? swali kwa wa Kenya au MTz aliyewapi fika KE recently pls let me know ?
Okay kumbe mnaona clouds tv peke yake ... hali ni tete kbs ....... bongo huku citizen ndio inaonekana japo wapo wengine wanaona ktn, etcStartimes ipo na cloud tv,labda pia ukitumia DStv,Gotv na zuku hazina stations za Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii clouds niliwatch jana usiku,news zinakaa local sana plus advert ni mbili Kila saa coca-cola na mpesa Vodafome.Startimes ipo na cloud tv,labda pia ukitumia DStv,Gotv na zuku hazina stations za Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hellow Guys, Habari yenu waungwana toka ktk jumuia yetu ya Afrika Mashariki, binafsi nawasilisha UZI leo siku ya Jpili, nimebahatika kutazama television kadhaa za Kenya nimeona hawa jamaa wanafanya investment kubwa sana ktk media houses zao tofauti kabisa na Tanzania, hata ukitazama vipindi vya Tv vya Kenya unaona umakini wa hali ya JUU mnoo kuanzia uandaaji wa habari mpaka makala wanazo tengeneza tofauti na Tanzania ni muda mrefu sanaa ktk Teleision zetu nyingi waandishi wetu wa habari wanashindwa kuandaa makala au habari za utafiti zilizo ktk kiwango kizuri na zenye content. Nikijaribu ku tolea mfano ktk vituo kadhaa vya kenya citizen tv leo Jpili wanaleta makala ya vijana wanaokwenda kujiunga na al shabaab hii kitu POA sanaa na sio mara yao ya kwanza kuleta makala kama izo hapa TZ makala za utafiti kama izi niliwahi kushuhudia kipindi kile cha sakata la watoto yatima pale MAKETE na HIV kule mkoa mpya wa Njombe alikuwepo dada mmoja toka channel Ten alikuwa anaitwa Bahati mndetele Nyembe alileta ile makala ilimpa sifa sanaa kuanzia hapo makala kama zile zimeadimika TZ achana na zile habari za uchunguzi za akina DC JM
Ila tusijadili kwa kutuhumu vibaya nazani kila kitu wanachokifanya kinasababu na #siri wazijuazo zao waoWatangazaji wenyewe wanaokotwa tu mitaani kukithi mahitaji ya boss. Hawana weledi wowote wala uelewa wa kazi waifanyayo, wako standby kuvuliwa chupi at any time na boss akipandwa na mzuka.
Ila tusijadili kwa kutuhumu vibaya nazani kila kitu wanachokifanya kinasababu na #siri wazijuazo zao wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, hapa Tanzania watangazaji wako so fake na dhana hii ilianzishwa na Clouds Media, Ruge alikuwa anajiokotea tu mademu wa mjini na kuwapa ajira mwisho wa siku anawachapa atakavyo kisha kuwagombanisha (kina Zama na wenziwe) huku akiwacheka kumgombania yeye. Baada ya hili la Clouds, wenye media wengine nao wakaanza kumunonea gere Ruge nao wakaanza kumuiga. Ndiyo maana unakuta karibia ya watangazaji 98% wako so fake mpaka mtu unashindwa kuangalia TV. Wanajifanya too much Kiingereza wakati hawajuwi lolote, yaani they are pathetic haswa Clouds Media.
I used to watch clouds TV kwa star times.Hamchezi nyimbo za Kenya.