Kenyan VP Impeachment in Senate. Kenya is a million miles away in Democrat Practice. Tanzania inahitaji miaka 1000 kufikia kiwango hichi

Kenyan VP Impeachment in Senate. Kenya is a million miles away in Democrat Practice. Tanzania inahitaji miaka 1000 kufikia kiwango hichi

mchemsho

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
3,230
Reaction score
933
Transparency amongst senators showing clearly their position.

Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.

Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.

Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.

All the best KENYA and DP Gachagua.
 
Mimi nikianzishaga juzi za kenya maswala ya impeachment kina Melo wanazipiga chini jamaa wapo bias kinoma. Ngoja nione kama ww utadumu.

Jamaa wana mabayas kinoma
 
Transparency amongst senators showing clearly their position.

Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.

Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.

Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.

All the best KENYA and DP Gachagua.
Kwa nikionacho senate Kenya ni wapumbavu.
 
Transparency amongst senators showing clearly their position.

Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.

Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.

Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.

All the best KENYA and DP Gachagua.
Gachagua anakwenda nyumbani bila mbambamba yoyote. Tanzania haihitaji katiba yoyote kwasasa na kwakweli hakuna cha kujifunza hata kimoja kwenye katiba mbovu sana ya Kenya ya 2010 inayowahenyesha wenyewe kwa hila zao binafsi za kikabila badala ya kushughulikia masuala muhimu ya kuchochea maendeleo ya wanainchi wao...

nini matokeo ya hiyo impeachment kama sio kuongeza uhasama, uadui wa kikanda na migawanyiko ya kikabila zaidi?

Zaidi sana ni kujenga tu uadui na ubabe ambao hausaidii wa Kenya, wala hauna maana yoyote Kenya baina ya bunge la kitaifa na bunge la seneti 🐒
 
Transparency amongst senators showing clearly their position.

Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.

Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.

Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.

All the best KENYA and DP Gachagua.
Kenya wanna katiba mpya lakini matatizo yao ndiyo yanazidi tu
 
Back
Top Bottom