Tuwaachie Kenya mambo yao. Kwa akili zetu fupi za kitanzania tunaona Gachagua anaonewa, lakini ukweli ni jamaa moja la hovyo. Yaani kupata u Deputy tu likaota mapembe likaanza kugawa watu likiwa na ndoto za 2027 ligombee urais kwa kutegemea kura za mlima Kenya! Wacha liende!Huyo gachagua anatolewa kwa sababu Ruto hamtaki, sio kwa sababu yeyote ile unayodhani,
Kama mafisadi wapo wengi sanaaaaa ila hawatolewi
So elewa hapo kenya wanalamba viatu vya Ruto
Hivi hilo bunge la Senate utalilinganisha na bunge letu la kipumbavu? Yaani mnataka senate imbebe mtu mpumbavu kama Gachagua?Kwa nikionacho senate Kenya ni wapumbavu.
Nakazia!Gachagua anatolewa kwa sababu ni mtu mjinga mjinga, mkabila wa wazi na fisadi.
Ndugai uoga wake umemuondoa.Sawa. Ila kuna transparency kwenye mchakato wote.
Bongo, angeondolewa kwa design ya Ndugai.
Tanzania ina bunge la maana sana na limetulia chini ya doctor “Tulia”. Huko wanakwaruzana kuitwa malaya nk.Kenya inakimbia kwa kasi sana. Kwa uchumi na ustaarabu pia.
Transparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
Hatuna cha kuiga Kenya kwa huu upuuzi. Watu wametawaliwa na UKABILA tu.Transparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
Wabunge wa Kenya wananunulika tu kama bidhaaKenya Rais hawezi kupanga wabunge,
Ruto pamoja na matatizo yake mengi ni mwanasiasa mwanamikakati smart.
Huku CCM inapambana kupata wajinga wengiTransparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
Usipoteze mda wako,Tanzania haiwezi iga upuuzi wa siasa za Kenya elewa hilo.Transparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
Kwa nini hawakupiga kura za wazi kama Wana jeuri ya transparency!Transparency amongst senators showing clearly their position
Mlima ulimpofusha!!!Hadi kuzikwa na anakosa stahiki zote.
Aliyo yafanya Naibu wa Raisi Gachagua ndio aliyo yafanya Mzee Job Ndugai.Kenya huwezi kukuta Mkwe ni Rais huku mwingine ni Waziri
CCM ni shetani kabisaAliyo yafanya Naibu wa Raisi Gachagua ndio aliyo yafanya Mzee Job Ndugai.
Alitoka kimkakati, hata ingekuwa kupigiwa kura kubunge asinge toboa, jambo dogo sana hilo Kenya limewaangaisha siku kadhaa, waje wajifunze kwa Ccm. Ilikuwa suala la siku mbili tatu tu
Kipi cha kujifunza hapo kaka...president kuchoka na deputy na kuhonga masanate wamtoe wakati wote ndo wanahangaisha wakenya?Transparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.