Kenyan VP Impeachment in Senate. Kenya is a million miles away in Democrat Practice. Tanzania inahitaji miaka 1000 kufikia kiwango hichi

Ndugai yoga wake umemuondoa.
Alijiondoa mwenyewe kwa kujiudhuru.
Angekomaa asubiri mchakato wa kumuondoa kwa sheria na kanuni zilizopo.

Mkuu, siyo uoga. Alijua na alishinikizwa. Ndiyo maana hata ile barua ya kujiuzulu ilitumwa kwa Katibu wa Chama.

Angejifanya kudinda wangemfukuza chama. Ndiyo maana Katiba mpya ni muhimu kuondoa Ubabe wa design hiyo.
 
Hapa kwetu tuna wachawi na vigagura pale ikulu, yawning kuchoma picha ya Raisi uliyoichora wewe mwenyewe,ni kosa!unapotezwa kabisa,! Ukitulinganisha na Kenya, bado tupo mwaka 1922! Wakati nyerere anazaliwa
 
wal hatuhitaji kuwafikia na sisi tunayetu wao hawajayafikia
 
Kenya wametuacha mbali sana mambo ya kulamba miguu ya Moi na KANU ilikuwa ni 1980s sisi bado tuko huko.
 
Hakuna cha maana ni usanii tu
 
Kama wangemtoa Ruto ningewaelewa sio huo uhuni wa Gachagua
 
Hakuna kitu,wabunge wamepangwa na Raisi Rutto
Uliangali viambatanisho lakini? Hahaha, hata Mimi nilikuwa nawaza kama wewe ila nilichokiona, hapana Kenya sio wenzetu....vithibiti Hadi clips za tiktok..
 
Sijui kama unajua kwamba huyo Gachagua kaondolewa kwa sababu ni mkikuyu!.

Tanzania inafikiria maendeleo ya kweli kuliko hizo siasa za kikabila. Kenya wamejawa na roho mbaya.

Tanzania ni nchi ya wastaarabu yenye kutengeneza mazingira ya ukuaji wa kweli wa uchumi.
 
Lazima ukweli usemwe. Kenya imeiva kidemokrasia ndio maana hawana chama tawala chama dola. Nchi nyingine ni Ghana, Zambia, Nigeria na Malawi. Nchi zote zilizosaidiwa na Nyerere wana mfumo wa kitanzania ambapo Rais ni kama mfalme. Msumbiji, Angola, Zimbabwe,Uganda, Rwanda nk.
 
Ingekuwa anatolewa kwasababu sio Mkikuya hapo tungesema ukabila. Wakikuyu ndio wengi Kenya na wao ndio huamua nani awe Rais. Rais Ruto anataka kuondoa huo ukabila.
 
Ingekuwa anatolewa kwasababu sio Mkikuya hapo tungesema ukabila. Wakikuyu ndio wengi Kenya na wao ndio huamua nani awe Rais. Rais Ruto anataka kuondoa huo ukabila.
Yeye sio wa kwanza kuja na mbinu hiyo ya chini ya kapeti. Wakikuyu watajipanga na kutaka kulipiza kisasi na hapo ndipo jamii inapokosa mwelekeo mmoja wa kuipeleka nchi yao mbali zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…