The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Ndugai yoga wake umemuondoa.
Alijiondoa mwenyewe kwa kujiudhuru.
Angekomaa asubiri mchakato wa kumuondoa kwa sheria na kanuni zilizopo.
Uku yaki piga piga meza na vigelegele kama ma zombieIngekuwa bunge la Afghanistan chini ya Spika Betina, ungesikia, wabunge wakiimba tuna imani na Makamu…Oyaaaa…Oyaaa!!
Hapa kwetu tuna wachawi na vigagura pale ikulu, yawning kuchoma picha ya Raisi uliyoichora wewe mwenyewe,ni kosa!unapotezwa kabisa,! Ukitulinganisha na Kenya, bado tupo mwaka 1922! Wakati nyerere anazaliwaTransparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
wal hatuhitaji kuwafikia na sisi tunayetu wao hawajayafikiaTransparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
HakikaKenya inakimbia kwa kasi sana. Kwa uchumi na ustaarabu pia.
Hiyo mikakati ndo kuwapanga..Ruto ni diktetaKenya Rais hawezi kupanga wabunge,
Ruto pamoja na matatizo yake mengi ni mwanasiasa mwanamikakati smart.
Hakuna cha maana ni usanii tuTransparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
Baki na ujinga wako,Hiyo mikakati ndo kuwapanga..Ruto ni dikteta
Uliangali viambatanisho lakini? Hahaha, hata Mimi nilikuwa nawaza kama wewe ila nilichokiona, hapana Kenya sio wenzetu....vithibiti Hadi clips za tiktok..Hakuna kitu,wabunge wamepangwa na Raisi Rutto
Sijui kama unajua kwamba huyo Gachagua kaondolewa kwa sababu ni mkikuyu!.Transparency amongst senators showing clearly their position.
Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani.
Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura.
Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and Good VETTING kuwapa watu nafasi na sio CONNECTIONS na UDUGU.
All the best KENYA and DP Gachagua.
Siasa za nyuma ya pazia zinawasumbua majirani zetu wa kaskazini. Wabongo wakiyaona yanayotokea wanadhani yameibuka tu kama uyoga.Kenya wanna katiba mpya lakini matatizo yao ndiyo yanazidi tu
Ingekuwa anatolewa kwasababu sio Mkikuya hapo tungesema ukabila. Wakikuyu ndio wengi Kenya na wao ndio huamua nani awe Rais. Rais Ruto anataka kuondoa huo ukabila.Sijui kama unajua kwamba huyo Gachagua kaondolewa kwa sababu ni mkikuyu!.
Tanzania inafikiria maendeleo ya kweli kuliko hizo siasa za kikabila. Kenya wamejawa na roho mbaya.
Tanzania ni nchi ya wastaarabu yenye kutengeneza mazingira ya ukuaji wa kweli wa uchumi.
Yeye sio wa kwanza kuja na mbinu hiyo ya chini ya kapeti. Wakikuyu watajipanga na kutaka kulipiza kisasi na hapo ndipo jamii inapokosa mwelekeo mmoja wa kuipeleka nchi yao mbali zaidi.Ingekuwa anatolewa kwasababu sio Mkikuya hapo tungesema ukabila. Wakikuyu ndio wengi Kenya na wao ndio huamua nani awe Rais. Rais Ruto anataka kuondoa huo ukabila.