Kenyans clash with Tanzanian police after businessman is abducted.

Mjinga Sana wewe, hiyo Ndungu's report hujawahi kuisoma na Wala hutokaa uisome kamwe. Haya ninayosema kuhusu land injustice huko Kenya nimeyajua Baada ya kupitia Ndungu's report, ungekua umeisoma usingejiaibisha na kusema kwamba Mzee Kenyatta alinunua hiyo ardhi.
1)Hiyo ardhi ilichukuliwa kwa nguvu na wakoloni toka kwa wananchi, kama ilivyo South Africa.
2)Baada ya Uhuru, ardhi iliyoachwa na wakoloni, viongozi wa Kenya walichukua na kugawana wao pamoja na rafiki zao wakiwemo watu waliokua wanawaunga mkono kisiasa Badala ya kuigawa kwa wananchi kama ambavyo Julius Malema anavyoshauri ifanyike huko South Africa.
3)Kitendo cha wakoloni kuchukua ardhi kwa nguvu toka kwa wananchi, na baadae viongozi wa Kenya akiwemo mzee Jommo Kenyatta kuipokea na kujimilikisha ardhi toka kwa wakoloni bila kurudisha kwa wananchi, ndio ripoti ya Ndungu inachokiita "Historical land injustice in Kenya".

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aha ha haa, it's gud for you, kenyans, if every individual is owning the land.
 
unataja alshabab ukiwa na furaha kwenu kuna amani...alafu wafurahia ugaidi...na mm pia sina budi kufurahia utekaji...kisha kumbe huelewi...mi nimekwambia km billionaire katekwa we ni nani...

na ukiendelea kuishi bongo utatekwa tu...hyo ndio sera moja kuu katika nchi yenu...teka,futa,teua,tengua,futa,tuta...

hta ukimtaja mamangu haiwezi kukusaidia wewe kutotekwa na wasiojulikana
 
nchi gani hyo ambayo haijengi hospitali,barabara...we kubali tu ni refugee katika nchi...imagine...ujamaa umewalemaza sana...

alafu hij pointi yako mbna ya kiboya...hta somalia hoslitali wanajenga na watu hawalipii ardhi kodi
 
tuma ramani ya hyo ardhi hapa tuione...au hyo article yako wameandika maneno matupu bila evidence...haki ya nani...ukiniletea hyo ramani ya hyo ardhi ya watu 20million natoka jf
 
polisi wako mahakamani...waliomuuwa akwilina wameshawai fikisha hta kw mkuu wa kata...kw upande wa unyama mnaongoza dunia nzima...kwenu askari akiuwa anapandishwa cheo...hku watu wanapelekwa mahakamani...
 
wajinga hawa...mbna hao ma bloggers hwaleti hyo ramani...inamaana kenyatta mikoa yote ya kenya anamiliki nusu ya ardhi hyo kulingana na hyo article yao ya kijinga..

tatizo wanaogopa kusema ukweli ndio wasitekwe
 
ngoja ile siku wasiojulikana wakuteke...ndio utajuwa heri hawa alshabab huja kw kutegea mahali pa watu wengi wala si kw mtu binafsi...

muulize nanii kwnn siku hz haimbi nanii...si walimteka na wakamnanii...shauri yako hyo
haaa hadi hiyo ngoma unaijua?

mi nilikuwa nasubiri wale waandamanaji wavuke boda waje upande huu wa tz nishuhudie show kali ya ffu,bahati mbaya wakenya walivyo ona ffu wakaanza kurudi kwao mmoja yaani wangethubutu kuvuka boda wangerudi upande wa kenya wakiwa wanatambaa
 
Hooliganism and conmanship has nothing to do with competition with Kenya.
The fact is a kenyan conned a Tanzania while changing Tsh money into Ksh. This is not the first time for such incident to occur in the area.
Your government has let in a lot of Somali's in the area. and Actually they are the ones who are causing all the fracas.
 
Vibrant my ass , Tanzanian are incompetent that is why you are a protectionist nation , kwani wanaakili zipi kuliko hizi za jf? Bongolala trying to protect another bongolala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bakia ivyo ivyo ukisema bongolala nchi kama hii asilimia 70 ni vijana na kila mwaka zaidi ya wahitimu 400000 wana graduate elimu ya juu we unasema eti bongo lala ..... Amka mzee inaonekana we huijui Tz unaisikia izo story za vijiweni huko kenya ndio atory zenu eti Tz watu ni wavivu hawana akili sijui nn ....endeleeni tu na story zenu UK alikuja kuomba madaktari 200 standby doctors embu kaeibia siku moja apa tz uoneeee
 
wacha kujifurahisha...hao polisi si walipigwa kwenu tu...au unabisha...waliingia upande wetu wakala bano..mpka wajarufi kwao na wakala bana tu...wachezea wakenya wewe
 
mkenya gani hyo anaye kaa kijiweni...huu uvivu wenu bakini nao hkohko kwenu...msituambukize sisi
 
mkenya gani hyo anaye kaa kijiweni...huu uvivu wenu bakini nao hkohko kwenu...msituambukize sisi
Acha uboya wakenya kibao wanashinda vijiweni ...we unaelewaje kuhusu vijiweni .ata kazini unaweza mkafanya kijiwe chenu cha kudanganyana kuhusu Tz ...hapo ndipo mnapo kosea No one is perfect ata nyie mnamapungufu yenu kibaooooo tunafanya kazi na wakenya tunawajua acha upoyoyo
 
wacha kujifurahisha...hao polisi si walipigwa kwenu tu...au unabisha...waliingia upande wetu wakala bano..mpka wajarufi kwao na wakala bana tu...wachezea wakenya wewe
acha kujidanganya wakenya inawezekana hata hiyo namanga boda yenyewe hamuijui mpo mpo tu hapo kibera,washukuru mungu aliwapa akili ya kutokuvuka ile kibanda ya boda maana ffu hawanaga akili kabisa mngerudi kenya side mkitambaa
 
If at all you read it, does it say that Kenyatta family own what you always claim here? .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…