Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku ni Kwetu nyanda za Juu Kusini,Taarifa za huu uzi zinapaswa ziwape fundisho fulani Watanzania, muache kuishi kwa mazoea, mpo kwenye kipindi cha kampeni, wanakuja kuwaambia watakachowafanyia, muache kufia chama ilhali mpo maskini wa kutupwa.
Je, wewe uko kwa hawa 66% wasio na elimu? Kazi yenu kuimba mapambio mkikesha kuponda Kenya.
![]()
![]()
Miraa ni zao linalohitaji ardhi yenye rutuba na maji kiasi, sasa kwa ukame huo itaotaje?wana Lima miraa ,,, actually in real life they're not poor
Imagine, Hawa watu wana Shida aisee, umaskini kama huu sijawahi ona,Is that a desert or what?
Jesuuuuu!! Ndio pamechakaa namna hii huko Kenya!?
hebu Google kidogo u will see that mbeere leads in miraa farmingMiraa ni zao linalohitaji ardhi yenye rutuba na maji kiasi, sasa kwa ukame huo itaotaje?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kuna nchi ni desert 100% ila zinaleta misaada ya Chakula Kenya kila mwaka, Sababu maelfu ya Wakenya wanakufa njaa, Ardhi yenye ruruba ni Mali ya Kenyata na Wazungu wanalima Chai na maua wanasafirisha ulaya, inayobaki wakikuyu wameishikilia ndio wanalima Mirungi,climate inafaa Sana kulima miraa
Huku ni Kwetu nyanda za Juu Kusini,
700Km from Dar,
Ingekuwa ni Wewe upo kwenye Mazingira kama haya, utaenda kuweka mawe barabarani ukaacha kuchakarika kutafuta pesa?
Halafu huku Kuna Barabara za Lami, na Kuna Umeme, maji umeletewa hadi nje ya nyumba yako, well established modern Healthcare facilities, Education tuition free kwa watoto, unahitaji nini tena? Msituambukize shida.View attachment 1560285View attachment 1560286View attachment 1560288View attachment 1560290View attachment 1560291
Sent using Jamii Forums mobile app
I know u can't believe unless u get here n see for yourself, huku watu hawajawahi receive relief food wanajidepend , that area mnasema ni desert actually provides food n fees for their childrenKuna nchi ni desert 100% ila zinaleta misaada ya Chakula Kenya kila mwaka, Sababu maelfu ya Wakenya wanakufa njaa, Ardhi yenye ruruba ni Mali ya Kenyata na Wazungu wanalima Chai na maua wanasafirisha ulaya, inayobaki wakikuyu wameishikilia ndio wanalima Mirungi,
View attachment 1560301
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania yenye ardhi nzuri lakini bado imewekeza katika kilimo cha umwagilia, hadi sasa takriban hekta 700000 zina mifumo ya umwagiliaji.Kuna nchi ni desert 100% ila zinaleta misaada ya Chakula Kenya kila mwaka, Sababu maelfu ya Wakenya wanakufa njaa, Ardhi yenye ruruba ni Mali ya Kenyata na Wazungu wanalima Chai na maua wanasafirisha ulaya, inayobaki wakikuyu wameishikilia ndio wanalima Mirungi.
View attachment 1560301
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kwamba Tanzania yote in Rutuba, Wewe umesafiri mikoa ya Dodoma, Singida na Tabora na baadhi ya maeneo ya Iringa, Ni kukame sana ila watu wanalima na Kumwagilia alizeti na Zabibu like no one's bussiness.Sijaelewa nini unachojaribu kueleza maana Tanzania yote inafahamika ina rotuba nzuri, sema nyie wazembe na ndioa maana mpo bado maskini.
I travell in Kenya regularly,I know u can't believe unless u get here n see for yourself, huku watu hawajawahi receive relief food wanajidepend , that area mnasema ni desert actually provides food n fees for their children
Sehemu zilizoendelea ulishawahi kuona wanalalama kwa viongozi wao juu ya ahadi za uongo?Kwahivyo masikini ni wale ambao huwa wanawawajibisha wawakilishi wao na matajiri huwa hawana kero ambazo wanategemea zitatuliwe na viongozi wao? Hongera kwa kutumia kichwa chako kwenye shughuli moja tu ya kubebea meno.
What do you expect for a Nation that have been ruled by 2 (two) Tribes for over 50years?Tanzania yenye ardhi nzuri lakini bado imewekeza katika kilimo cha umwagilia, hadi sasa takriban hekta 700000 zina mifumo ya umwagiliaji
Kenya ambayo ardhi yake ni jangwa, ndio ingefaa iwekeze zaidi katika miundombinu ya umwagiliaji zaidi ya Tanzania, lakini cha ajabu ni kwamba ni hekta 125,000 pekee ndio wamejenga mifumo ya umwagiliaji, Kenya ni nchi ya ajabu Sana.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Yaani kwa mazingira hayo ni wazi hakuna maji, hakuna Umeme, hakuna Chakula, watu wana hasira sana,Sehemu zilizoendelea ulishawahi kuona wanalalama kwa viongozi wao juu ya ahadi za uongo?
Hapo ndio utaona bora kichwa changu kinasaidia hata kubeba meno, ila cha kwako kina mzigo wa uchafu tu hapo ndani.
Huku ni Kwetu nyanda za Juu Kusini,
700Km from Dar,
Ingekuwa ni Wewe upo kwenye Mazingira kama haya, utaenda kuweka mawe barabarani ukaacha kuchakarika kutafuta pesa?
Halafu huku Kuna Barabara za Lami, na Kuna Umeme, maji umeletewa hadi nje ya nyumba yako, well established modern Healthcare facilities, Education tuition free kwa watoto, unahitaji nini tena? Msituambukize shida.View attachment 1560285View attachment 1560286View attachment 1560288View attachment 1560290View attachment 1560291
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kwenye Uzi hawajafika kumi😂😂😂 uko nikujifariji tu wakenya mnajituma linapokuja swala la kuhujumu taifa lenu tu, yahani wizi kwa kwenda mbele yahani ukiona wakenya kumi basi jua nane kati yao ni wezi wazuri tu
Aiseee, ndio sababu wakenya wanakasirika wakisikia watanzania tunatafuta kujua habari za Kanya, hawapendi huu uvundo wao wa maisha ujulikane.
Wajifanya kufahamu Kenya kuliko wazawa. What an epic fail!Kuna nchi ni desert 100% ila zinaleta misaada ya Chakula Kenya kila mwaka, Sababu maelfu ya Wakenya wanakufa njaa, Ardhi yenye ruruba ni Mali ya Kenyata na Wazungu wanalima Chai na maua wanasafirisha ulaya, inayobaki wakikuyu wameishikilia ndio wanalima Mirungi,
View attachment 1560301
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kwetu hakuna walimu wamepauka kama huyo mwalimu wao aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna nchi ni desert 100% ila zinaleta misaada ya Chakula Kenya kila mwaka, Sababu maelfu ya Wakenya wanakufa njaa, Ardhi yenye ruruba ni Mali ya Kenyata na Wazungu wanalima Chai na maua wanasafirisha ulaya, inayobaki wakikuyu wameishikilia ndio wanalima Mirungi,
View attachment 1560301
Sent using Jamii Forums mobile app