Kenyans wamechoka! Wakazi wa Mbeere Kusini wamtaka Mbunge wao kutimiza ahadi zake

Kenyans wamechoka! Wakazi wa Mbeere Kusini wamtaka Mbunge wao kutimiza ahadi zake

Jamaa kakimbia saana....wasije wakamvunja mguu.

Hili ni tatizo la Dunia... wanasiasa wakishafika maofisini wanayasahau walioahidi.

Lakini ni tatizo la karibia kila mmoja. Je, ni wangapi wanaotimiza ahadi ndogo ndogo tu kwenye maisha ya kila siku!
Mkuu, uko sahihi kabisa, ila type za akina magu huwa wanaongea na kutenda.
 
Baada ya kuona umekamatwa sasa unakimbilia kw lugha[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti sehemu zilizoendelea wananchi huaga hawasumbuani na wanasiasa wao
[emoji1][emoji1][emoji1] Ndio kawaida yao, wakibanwa huwa wanaanza kutapatapa na hadithi zao za Abunuwasi. Pumba kama hizo huwa nazipuuza tu.
 
Ukiachana na wakikuyu wenye wivu kwa Tanzania, Africa yote imekubali kwamba Magufuli is the best president, au unataka wazungu ndio wakuambie hivyo?, soma comments za waafrika ikiwemo wakenya wenzako baada ya kusikiliza video


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app


Tanzina wasipoangalia, hayo ya wakenya yatakuwa cha mtoto. Mungu atuepushe na janga hili la hiki chama yasije yakagikia hatua ya wanyama kuingia msituni kudai uhuru wao.
Funny-Dangerous-Goat-Picture-For-Whatsapp.jpg
 
Hahahaha, Tanzania has 3times number of dollar Millionaires than Kenya, population below poverty line is 26%, while Kenya is 38%, unemployment rate Kenya is 48%, in Tanzania is 22%, in Tanzania everybody has access to free land for food production, there is no hunger.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Only South Africa and Nigeria have more dollar millionaires than Kenya in Africa and Kenya has more than the rest of East Africa combined. What's wrong with your head?
 
Kama kupo rich, kwanini wamkurupushe huyo MP wenu?
Kadanganye watoto wenu walioko kwa lockdown.
Demanding accountability is not poverty, it's enlightenment. Ana unataka tushinde tukisema ndio baba kama wabongolala na CCM?
 
Hivi wakenya mnapata wapi ujasiri wa kuzungumza na Tanzani kuhusu politicians wenu wasivyowajibika kwa wananchi badala yake wao hujilimbikizia Mali.

Katika eneo la wanasiasa kuwajibika na kuwatumikia wananchi badala ya kujilimbikizia mali, Tanzania inaongoza Africa nzima, Tanzanian politicians are closer to wananchi than any other politicians in Africa if not in the World.

Magufuli is the most hardworking president in the World currently still the second poorest and less paid president in Africa after Buhari of Nigeria.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Sasa mbona Tanzania bado maskini pamoja Na rasilmali hizo zote mlizo nazo?
 
Mkimalizana na huyo karibuni sana Tanzania kuwapiga mawe Wabunge wa maccm. Muanze na spika Ndugai na naibu wake Tulia.

Wakazi wa kusini mwa Mbeere shukrani sana, huo ndio mwendo, kila kiongozi anayekuja kutafuta kura maeneo yoyote nchini ahakikishe ana kila cha kuonyesha nini amefanya au kufanikisha kwa kipindi amekua kwenye uongozi, la sivyo abaki huko huko, haijalishi wa chama kigani au hata kama anapigiwa debe na rais, tutamchomoa kwenye msafara wa rais na kumtoa nduki.
 
Only South Africa and Nigeria have more dollar millionaires than Kenya in Africa and Kenya has more than the rest of East Africa combined. What's wrong with your head?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wakikuona wakenya wenzako wanakushangaa.

endelea kuota, anyway umemuona teacher wa middle economy country vile anafanana???
View attachment 1560919
 
Tanzania Kuna umaskini kishinda huu Tena kwenye sehemu zilizo Na rotuba.
aaaah tutakubaliana kwenye mambo mengi, ila inapokuja kwenye hali ya umasikini kati ya tz na kenya, mnatisha ukanda huu wote.

watoto wanafuata uji shule mwalimu analalamika watoto wamefuta lengo, wanakwenda kula shule, yet mmekaa nairobi hapo mnajisifia $99bln. guys mna kesi ya kujibu kwa muumba.

tuma video kama hii kutokea tz.
 
Hahahaha, wewe lazima utakua ni mkikuyu, wakikuyu wanaumia sana tangu Knight Frank ilipotoa ripoti iliyoonyesha kwamba Tanzania has 5363 and Kenya 2932 Millionaires, any way huo ndio ukweli hauhitaji approval from any mungiki [emoji23][emoji23][emoji23]
 
una hasira na mimi na sihusiki na mimba yako!!!!!

dada vipi bana!!
 
aaaah tutakubaliana kwenye mambo mengi, ila inapokuja kwenye hali ya umasikini kati ya tz na kenya, mnatisha ukanda huu wote.

watoto wanafuata uji shule mwalimu analalamika watoto wamefuta lengo, wanakwenda kula shule, yet mmekaa nairobi hapo mnajisifia $99bln. guys mna kesi ya kujibu kwa muumba.

tuma video kama hii kutokea tz.
Hahaha!!hko watu wanaliwa na fisi kisa kusaka maji[emoji23][emoji23]
 
Hahahaha, wewe lazima utakua ni mkikuyu, wakikuyu wanaumia sana tangu Knight Frank ilipotoa ripoti iliyoonyesha kwamba Tanzania has 5363 and Kenya 2932 Millionaires, any way huo ndio ukweli hauhitaji approval from any mungiki [emoji23][emoji23][emoji23]
Lete data za 2015 mpka sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nishakukimbiza[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom