Mkuu, uko sahihi kabisa, ila type za akina magu huwa wanaongea na kutenda.Jamaa kakimbia saana....wasije wakamvunja mguu.
Hili ni tatizo la Dunia... wanasiasa wakishafika maofisini wanayasahau walioahidi.
Lakini ni tatizo la karibia kila mmoja. Je, ni wangapi wanaotimiza ahadi ndogo ndogo tu kwenye maisha ya kila siku!
[emoji1][emoji1][emoji1] Ndio kawaida yao, wakibanwa huwa wanaanza kutapatapa na hadithi zao za Abunuwasi. Pumba kama hizo huwa nazipuuza tu.Baada ya kuona umekamatwa sasa unakimbilia kw lugha[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti sehemu zilizoendelea wananchi huaga hawasumbuani na wanasiasa wao
Ukiachana na wakikuyu wenye wivu kwa Tanzania, Africa yote imekubali kwamba Magufuli is the best president, au unataka wazungu ndio wakuambie hivyo?, soma comments za waafrika ikiwemo wakenya wenzako baada ya kusikiliza video
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Only South Africa and Nigeria have more dollar millionaires than Kenya in Africa and Kenya has more than the rest of East Africa combined. What's wrong with your head?Hahahaha, Tanzania has 3times number of dollar Millionaires than Kenya, population below poverty line is 26%, while Kenya is 38%, unemployment rate Kenya is 48%, in Tanzania is 22%, in Tanzania everybody has access to free land for food production, there is no hunger.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Demanding accountability is not poverty, it's enlightenment. Ana unataka tushinde tukisema ndio baba kama wabongolala na CCM?Kama kupo rich, kwanini wamkurupushe huyo MP wenu?
Kadanganye watoto wenu walioko kwa lockdown.
Hivi wakenya mnapata wapi ujasiri wa kuzungumza na Tanzani kuhusu politicians wenu wasivyowajibika kwa wananchi badala yake wao hujilimbikizia Mali.
Katika eneo la wanasiasa kuwajibika na kuwatumikia wananchi badala ya kujilimbikizia mali, Tanzania inaongoza Africa nzima, Tanzanian politicians are closer to wananchi than any other politicians in Africa if not in the World.
Magufuli is the most hardworking president in the World currently still the second poorest and less paid president in Africa after Buhari of Nigeria.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
I see well dressed people in good health, tell me one thing that makes them poor based on that photo?Hapana mkuu, Kenya seems to be so poor,
What do those poor people do for their lives ?
Poleni kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakazi wa kusini mwa Mbeere shukrani sana, huo ndio mwendo, kila kiongozi anayekuja kutafuta kura maeneo yoyote nchini ahakikishe ana kila cha kuonyesha nini amefanya au kufanikisha kwa kipindi amekua kwenye uongozi, la sivyo abaki huko huko, haijalishi wa chama kigani au hata kama anapigiwa debe na rais, tutamchomoa kwenye msafara wa rais na kumtoa nduki.
kuweka mawe na miiba road.I see well dressed people in good health, tell me one thing that makes them poor based on that photo?
kuweka mawe na miiba road.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wakikuona wakenya wenzako wanakushangaa.Only South Africa and Nigeria have more dollar millionaires than Kenya in Africa and Kenya has more than the rest of East Africa combined. What's wrong with your head?
Tanzania Kuna umaskini kishinda huu Tena kwenye sehemu zilizo Na rotuba.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wakikuona wakenya wenzako wanakushangaa.
endelea kuota, anyway umemuona teacher wa middle economy country vile anafanana???
View attachment 1560919
aaaah tutakubaliana kwenye mambo mengi, ila inapokuja kwenye hali ya umasikini kati ya tz na kenya, mnatisha ukanda huu wote.Tanzania Kuna umaskini kishinda huu Tena kwenye sehemu zilizo Na rotuba.
Ccm hoyieeee😂😂😂Demanding accountability is not poverty, it's enlightenment. Ana unataka tushinde tukisema ndio baba kama wabongolala na CCM?
Hapo ni mbugani au makazi ya watu ?Angry residents of Mbeere South pelted stones and chased away their MP, Col. Geoffrey King'ang'i for failing to fulfil numerous promises he made to themView attachment 1559909View attachment 1559910View attachment 1559911
Hii imefuraisha watu kwa comments hapa👇
Mi namcheki tu[emoji1][emoji1][emoji1] Ndio kawaida yao, wakibanwa huwa wanaanza kutapatapa na hadithi zao za Abunuwasi. Pumba kama hizo huwa nazipuuza tu.
Hahaha!!hko watu wanaliwa na fisi kisa kusaka maji[emoji23][emoji23]aaaah tutakubaliana kwenye mambo mengi, ila inapokuja kwenye hali ya umasikini kati ya tz na kenya, mnatisha ukanda huu wote.
watoto wanafuata uji shule mwalimu analalamika watoto wamefuta lengo, wanakwenda kula shule, yet mmekaa nairobi hapo mnajisifia $99bln. guys mna kesi ya kujibu kwa muumba.
tuma video kama hii kutokea tz.
Lete data za 2015 mpka sasa[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha, wewe lazima utakua ni mkikuyu, wakikuyu wanaumia sana tangu Knight Frank ilipotoa ripoti iliyoonyesha kwamba Tanzania has 5363 and Kenya 2932 Millionaires, any way huo ndio ukweli hauhitaji approval from any mungiki [emoji23][emoji23][emoji23]