it is called accountability..... Not herbal InteligencyThis is nonsense anafukuzwa mtu ili iweje? basi wafukuzwe wote na wasaidizi wake na Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi. Waliasha onywa kuwa watashambuliwa kwanini hawakuwa ready?
This is nonsense anafukuzwa mtu ili iweje? basi wafukuzwe wote na wasaidizi wake na Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi. Waliasha onywa kuwa watashambuliwa kwanini hawakuwa ready?
Uwajibikaji wa Kipumbavu mpaka Watuit is called accountability..... Not herbal Inteligency
Pamoja na hivyo Watu wamepoteza Roho zao ilikuwa wawajibike naMambo hayaendi hivyo mkuu, Familia yako ikifa njaa wewe mkuu wa kaya ndio unawajibika hata kama,kuna mtoto kamwaga unga.
Ulikuwa wapi kuwabana wachini wafanye kazi!!
take time to learn how systems work before you politicize everythingUwajibikaji wa Kipumbavu mpaka Watu
wamekufa zaidi ya watu 70 Eti Serikali inamfukuza Kazi Mkuu wa Usalama wa Taifa ili iweje ? huyo mkuu wa Usalama wa Taifa ni
sawasawa na Watu zaidi ya 70 waliopoteza Roho zao? hiyo kweli inaonyesha kwenye Wizara husika huko Kenya kuna Uzembe wa kazi
huo Usalama waTaifa Kenya haufanyi kazi yake sawasawa. For me this is nonsense.
Pamoja na hivyo Watu wamepoteza Roho zao ilikuwa wawajibike na
wakubwa wahusika kama Waziri wa Mambo ya Ndani pia ahusike kuwajibika sio lawama lote anatupiwa Mkuu Wa Usalama wa Taifa
tu, kwangu mimi hilo jambo la kumfukuza kazi Mkuu wa Usalama wa Taifa ni Upuuzi mtupu.
Kuna hourly na daily briefings zinazomweka jamaa konaUko entitled to your opinion mkuu.
Lakini sehemu iendeshwayo ki nidhamu, kuna daraja za uwajibikaji. Wahusika wamefikia uamuzi kua mkuu wa Intelligensia kachemsha hivyo kalazimishwa kubwaga manyanga.
Hivi ndivyo idara, wizara na hata nchi inavyoendeshwa mzee. Ingekuwa Bongo sidhani kama angwajibishwa mtu, pengine angepewa promosheni....
Angalia RPC wa Iringa alivyopeta japokuwa ushahidi wa wazi na picha ukimuonyesha akiwa usoni na Mwangosi...
Wenzetu japokuwa wamechemsha kwa Westgate, ni lazima kurudia mkanda kuona kosa limetokea wapi na nani kachemsha awajibishwe. Usishangae na wengine pia wakaenda.
If the confession I posted here is true, then none is clean nor safe in UhuRuto's Government. The implication of top security officials, Senior Govt workers and KDF commander in planning and executing Westgate assault will not leave the country in harmony.kutoka statehouse it is not good, reports are that very many people are going home
Uko entitled to your opinion mkuu. Lakini sehemu iendeshwayo ki nidhamu, kuna daraja za uwajibikaji. Wahusika wamefikia uamuzi kua mkuu wa Intelligensia kachemsha hivyo kalazimishwa kubwaga manyanga. Hivi ndivyo idara, wizara na hata nchi inavyoendeshwa mzee. Ingekuwa Bongo sidhani kama angwajibishwa mtu, pengine angepewa promosheni.... Angalia RPC wa Iringa alivyopeta japokuwa ushahidi wa wazi na picha ukimuonyesha akiwa usoni na Mwangosi... Wenzetu japokuwa wamechemsha kwa Westgate, ni lazima kurudia mkanda kuona kosa limetokea wapi na nani kachemsha awajibishwe. Usishangae na wengine pia wakaenda.